‘Hatutachagua kwa presha’
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitachagua mgombea wa kiti cha urais kwa presha za wapambe wa wagombea.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Dewji Blog10 Feb
NAPE: Hakuna mgombea atakayepitishwa CCM kwa presha za makundi, ni kwa kukidhi vigezo vya kanuni na katiba za chama tu
NA BASHIR NKOROMO
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/FBfnXTo9RIGW9JDU2CuJNkKKab8-krrfYZWWCmEzFH9KmvXVaUS3kgBwoGsmyiXyyVUy2AQ4LNjzX-ao65l7EJBKinnX27Sk/aunty.jpg?width=650)
AUNT EZEKIEL AANGUKA KWA PRESHA, ALAZWA
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-jLloq0WUJQg/VNjjVGDnwqI/AAAAAAAAs64/KvQxUEh6Z5k/s72-c/9H.jpg)
HAKUNA MGOMBEA ATAKAYEPITISHWA CCM KWA PRESHA ZA MAKUNDI
![](http://4.bp.blogspot.com/-jLloq0WUJQg/VNjjVGDnwqI/AAAAAAAAs64/KvQxUEh6Z5k/s1600/9H.jpg)
Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema, hakuna kitakayempitisha kugombea urais 2015, kwa presha za makundi au wapambe.
Akizungumza kwa nyakati tofauti katika vyumba vya habari vya magazeti ya Habari Corporation, na Mwananchi Communication Ltd, jijini Dar es Salaam, leo, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye amesema, mfumo wa CCM katika kuwapata wagombea ni imara kiasi kwamba hautaweza kuathiriwa na presha za makundi wakati wa kuteua mgombea urais katika uchaguzi mkuu...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ZNt8FIknlRMf2zpmbdH7Q1BjMAh*BXMOObh06-olWaij09ehE*BOSQ*uvmuMqWA9w2-aSdyagL5a2ljG*KRt33*AwZKrgPOl/CCMJB.gif?width=650)
JB PRESHA YAPANDA
10 years ago
Mwananchi17 Mar
Presha tupu,
10 years ago
Tanzania Daima18 Nov
IPTL presha tupu
HATIMAYE ripoti ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5NKbiQQDvsYaAx5K0W*DanAH0*6NwxvCCPcwrPf8XtrXxNrQrrrK9yHjycQJ4XwGkEhl4OVzyqos11qPOaynTQI/Gwajima.jpg?width=650)
GWAJIMA PRESHA TUPU!
10 years ago
Mwananchi08 Jul
Presha juu CCM
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Lulu : Kuhongwa ni Presha Tu!
UBUYU: Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.
Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa
" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili...