Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


IPTL presha tupu

HATIMAYE ripoti ya uchunguzi ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) kuhusu kashfa ya kuchota fedha zaidi ya sh. bilioni 200, kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow zilizohifadhiwa katika Benki...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Presha tupu,

Ni presha kila kona ndivyo unavyoweza kusema kwa sasa jinsi Ligi Kuu Bara inavyoendelea katika mbio za ubingwa na wale wanaopigania kujinasua na janga la kushuka daraja msimu huu.

 

10 years ago

GPL

GWAJIMA PRESHA TUPU!

Mwandishi  wetu
SIYO siri! Huku jana akiwa ametarajiwa kuripoti tena Kituo Kikuu cha Polisi, Dar (Central) kauli ya serikali kwamba, taasisi za dini ambazo viongozi wake wamekuwa wakitoa matamshi yenye mlengo wa kisiasa zitafutwa mara moja kwani ni kinyume na sheria ya usajili inadaiwa kumpa presha Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Mchungaji wa Kanisa la Ufufuo na Uzima, Josephat Gwajima. Juzi,...

 

10 years ago

GPL

JB PRESHA YAPANDA

ISHU! Wakati Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi ikikutana leo mjini Dodoma kupitia na mwishowe kukata majina ya wagombea wanaowania kuteuliwa kwa nafasi ya Urais katika uchaguzi wa Oktoba mwaka huu, presha ya muigizaji Jacob Stephen ‘JB’ imepanda, kwa hofu ya kutokea tafrani miongoni mwa wanachama wa chama hicho. Muigizaji maarufu wa Bongo movie , Jacob Stephen ‘JB’ .
Akizungumza na gazeti hili...

 

10 years ago

Bongo Movies

Lulu : Kuhongwa ni Presha Tu!

UBUYU: Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth  Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa  fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.

Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa

" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili...

 

10 years ago

Habarileo

‘Hatutachagua kwa presha’

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye.CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimesema hakitachagua mgombea wa kiti cha urais kwa presha za wapambe wa wagombea.

 

10 years ago

Mwananchi

Presha juu CCM

 Wakati vikao vya juu vya CCM vya kuchuja wagombea urais vikianza leo, hofu na wasiwasi umezidi kutanda miongoni mwa wagombea, viongozi na wanachama wa chama hicho kuhusu namna ya kuikabili minyukano baina ya wagombea hao na kibarua cha Uchaguzi Mkuu wa Oktoba.

 

11 years ago

GPL

UZEMBE TUPU

KIMENUKA! Hospitali ya Mwananyamala jijini Dar es Salaam imebainika kuwa na uzembe uliopitiliza, hali inayowafanya wagonjwa kuendelea kuilalamikia kila kukicha, Uwazi lina mlolongo wote. Uzembe huo umebainika baada ya makachero wa Oparesheni Fichua Maovu ‘OFM’ kupokea malalamiko kutoka kwa wananchi wanaopata huduma duni katika hospitali hiyo huku wakilalamikia uzembe wa matabibu na rushwa kwa baadhi ya wahudumu. Mtoa...

 

9 years ago

Habarileo

Presha yapanda Ligi Kuu

LIGI Kuu Tanzania Bara iliyokuwa imesimama karibu mwezi mmoja na nusu inatarajiwa kuendelea tena kesho katika viwanja mbalimbali, huku timu mbalimbali zikitamba kuibuka na ushindi. Timu mbalimbali tayari zimeshasogea vituoni kwa ajili ya michezo yao ya kesho na nyingi zikitamba kwamba zitang’ara ili kujiweka vyema katika msimamo wa ligi.

 

10 years ago

GPL

MATOKEO YAMPA PRESHA KINGWENDU

Komediani maarufu Bongo, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’. Imelda mtema Pole! Komediani maarufu Bongo, Rashid Mwinshehe ‘Kingwendu’ amesema kuwa matokeo ya uchaguzi wa ubunge katika Jimbo la Kisarawe ambapo alikuwa mmoja wa wagombea, yamemfanya kupata ugonjwa wa presha baada ya kuwa ameshindwa. Akizungumza na gazeti hili, Kingwendu alisema kipindi chote wakati akisubiria matokeo alikuwa akipata simu nyingi kutoka kwa watu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani