Lulu : Kuhongwa ni Presha Tu!
UBUYU: Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.
Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa
" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaey0GJlNkSjXbqV1bEGkG2xg324epB5GpnuZ5dH5rtj8pQFmrPqwnV9N5Yx-eSGpW86PZflkj*1kvtRhqlwnO6/lulu.jpg)
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s72-c/Lulu-na-mama.png)
LULU ASEMA NYUMBA ALIYOMZAWADIA MAMA YAKE SI YA KUHONGWA, AMEJENGA KWA MIAKA MINNE
![](http://1.bp.blogspot.com/-To0OIx5pOFg/VVbMhJ9UtpI/AAAAAAABOg0/_LqlRJUafqY/s640/Lulu-na-mama.png)
Lulu alimpa zawadi hiyo mama yake kwenye sherehe ya siku yake ya kuzaliwa January, 2015. Je Lulu aliwezaje kufanya mambo makubwa kama hayo katika umri mdogo na kwa kipato cha kuigiza peke yake? Hayo ni maswali ambayo wengi walijiuliza, kiasi cha kuwafanya wengine waamini kuwa labda amehongwa.Lulu amesema...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Hivi Mbowe ni wa kuhongwa vijisenti?
KIONGOZI wa watuhumiwa wa uasi na usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameendelea kumshambulia kwa tuhuma za uongo Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/aunty33.jpg)
AUNT ADAIWA KUHONGWA GARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzBooWxFyjgho7tiasNN5T*lodD7pQ1NXrK43bG*zI0xaE*bQx*BE9krd75ZGIbQ25xgT4n7*iqXda-qblrjf-7/shamsaford.jpg?width=650)
SHAMSA AJITETEA SKENDO YA KUHONGWA SIMU
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBzAVcezIo62uF653oFqKXWtK-03iJZJmuLGoBpXEGkUc49EC9CgH2B1ZNsnq4CqI9L5QsMMdST5AwmmoDoxnihR/C.jpg?width=650)
NANI ANASTAHILI KUHONGWA, MWANAUME AU MWANAMKE?
9 years ago
Habarileo08 Oct
Magufuli afichua mpango mawakala CCM kuhongwa
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameelezea kuandaliwa kwa mpango wa kugawa fedha kwa mawakala siku ya upigaji kura ili kushawishi kuchaguliwa kwa mmoja wa wagombea urais wa upinzani na hivyo amewataka watakaofikiwa na fedha hizo kuzichukua lakini bila kumchagua mgombea huyo.
9 years ago
Habarileo28 Aug
Akana kuhongwa asikate rufaa kura za maoni CCM
MMOJA wa wagombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo mkoani Pwani ambaye alishindwa kwenye kura za maoni kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdul Sharifu amekanusha kupewa fedha ili asikate rufaa dhidi ya matokeo.
11 years ago
Habarileo11 Jun
Mangula asubiri Ukawa wajibu hoja za kuhongwa mabilioni
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara, Phillip Mangula, amesema vyama vinavyounda Umoja wa Katiba Tanzania (Ukawa), vinasubiriwa kujibu tuhuma zinazokabili umoja huo, za kuhongwa mabilioni ya Shilingi, ili wasihudhurie katika Bunge Maalumu la Katiba, linalotarajiwa kuanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.