Mangula asubiri Ukawa wajibu hoja za kuhongwa mabilioni
MAKAMU Mwenyekiti wa CCM, Tanzania Bara, Phillip Mangula, amesema vyama vinavyounda Umoja wa Katiba Tanzania (Ukawa), vinasubiriwa kujibu tuhuma zinazokabili umoja huo, za kuhongwa mabilioni ya Shilingi, ili wasihudhurie katika Bunge Maalumu la Katiba, linalotarajiwa kuanza mwanzoni mwa Agosti mwaka huu.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi23 Jun
Mawaziri wajibu hoja kwa vijembe
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Wanazuoni wa Kiislamu wajibu hoja ya maaskofu
11 years ago
Mwananchi24 Jun
Mangula aifagilia Ukawa
11 years ago
Habarileo28 Oct
Mangula- Ukawa hawana jipya
MAKAMU Mwenyekiti Chama Cha Mapinduzi (CCM) Bara, Philip Mangula amesema, hatua ya vyama vya upinzani vya kundi linalojiita Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA) kuungana rasmi , Dar es Salaam si jambo jipya.
Akizungumza na gazeti hili kwa njia ya simu jana, Mangula alisema hii si mara ya kwanza kwa vyama hivyo kuungana na kwamba hatua hiyo haitaweza kubadilisha uwezo wa chama tawala cha CCM.
Alisema mwaka 2000 waliungana katika viwanja vya Kidongo Chekundu jijini Dar es Salaam na kurusha...
10 years ago
Mwananchi26 Feb
Ukawa waibua hoja nane nzito
10 years ago
Mwananchi14 Sep
Hoja ya ufisadi yawagawa Ukawa, CCM
10 years ago
Raia Mwema23 Sep
Kwa nini Ukawa inatumia hoja ya mfumo?
VIONGOZI wa vyama vinavyounda Ukawa kwa makusudi na kwa malengo maalumu wameamua kubadili mtazamo
Mwandishi Wetu
11 years ago
Mwananchi03 Sep
Mjumbe Arfi arudisha hoja za Ukawa bungeni
11 years ago
Habarileo04 May
Lipumba ang’ang’ania hoja ya Ukawa
PAMOJA na mwito wa Rais Jakaya Kikwete, wasomi na wanasiasa wakongwe na mashuhuri nchini, Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Prof. Ibrahim Lipumba ameweka bayana kuwa chama chake na washirika wengine wanaounda kinachoitwa Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), hawatorejea kwenye Bunge Maalum la Katiba.