SHAMSA AJITETEA SKENDO YA KUHONGWA SIMU
![](http://api.ning.com:80/files/mJm3snXM0mzBooWxFyjgho7tiasNN5T*lodD7pQ1NXrK43bG*zI0xaE*bQx*BE9krd75ZGIbQ25xgT4n7*iqXda-qblrjf-7/shamsaford.jpg?width=650)
Gabriel ng’osha STAA wa sinema za Kibongo, Shamsa Ford amefunguka kuwa ameeleweka vibaya alipoandika mitandaoni kuwa hajawahi kununua simu za bei mbaya zaidi ya kupewa na watu. ... Soma zaidi===>http://bit.ly/1Io5jQQ
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/hpMD5afDfdaey0GJlNkSjXbqV1bEGkG2xg324epB5GpnuZ5dH5rtj8pQFmrPqwnV9N5Yx-eSGpW86PZflkj*1kvtRhqlwnO6/lulu.jpg)
SKENDO YA MASTAA KUHONGWA MAGARI: LULU AANDIKA HISTORIA
10 years ago
Bongo Movies10 Apr
Penzi la Nay na Shamsa la Sababisha Vilio kwa Siwema na Mume wa Shamsa
Penzi la staa wa Bongo Movies, Shamsa Ford na Staa wa Bongo Fleva Emmanuel Elibariki ‘Nay wa Mitego’ limeibua tafrani kubwa huku waliokuwa wapenzi wa mastaa hao wakijikuta wakiangua vilio kweupe.
Kwa mujibu wa gazeti la Ijumaa, Mara baada ya wawili hao kutangazwa rasmi kuwa sasa ni mahaba niue huku picha za ushahidi zikimwagwa, aliyekuwa mwandani wa Nay, Siwema a.k.a Wemalicious na aliyekuwa mume wa Shamsa, Dickson ‘Dick’ wanadaiwa kujikuta kwenye hali mbaya kiasi cha kumwaga...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/dMNnaPiQ3VhvVq8FWRvQvkm8yteaMqCsQcVPGBaznIAly7u77pSRlQUnCxyQg7lOCQRkiwgo9xFRUEPDvCBoJ8X5xqp3zTgP/FRONTIJUMAA.gif?width=650)
PENZI LA NAY, SHAMSA SIWEMA, MUME WA SHAMSA VILIO
10 years ago
Bongo Movies14 Mar
Lulu : Kuhongwa ni Presha Tu!
UBUYU: Mrembo na staa wa Bongo Movies, Elizabeth Michael, ‘Lulu’ ametoboa kuwa fedha za kuhongwa na wanaume ni nzuri lakini zina presha kubwa kwa msichana aliyepewa.
Lulu alisema kuwa wasichana walio wengi wanapenda kupokea fedha na vitu mbali mbali kutoka kwa wanaume lakini changamoto kubwa inayowakuta ni namna ya kulipa fadhila ya walivyopewa
" vitu vya kuhongwa ni vizuri lakini vina presha kubwa katika suala la kulipa fadhila kwani msichana unalazimika kufanya kila aina ya ujuacho ili...
11 years ago
Tanzania Daima16 Jan
Hivi Mbowe ni wa kuhongwa vijisenti?
KIONGOZI wa watuhumiwa wa uasi na usaliti ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Zitto Kabwe, ameendelea kumshambulia kwa tuhuma za uongo Mwenyekiti wa taifa wa chama hicho, Freeman...
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/09/aunty33.jpg)
AUNT ADAIWA KUHONGWA GARI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/yKWLMefqYBzAVcezIo62uF653oFqKXWtK-03iJZJmuLGoBpXEGkUc49EC9CgH2B1ZNsnq4CqI9L5QsMMdST5AwmmoDoxnihR/C.jpg?width=650)
NANI ANASTAHILI KUHONGWA, MWANAUME AU MWANAMKE?
9 years ago
Habarileo08 Oct
Magufuli afichua mpango mawakala CCM kuhongwa
MGOMBEA Urais kwa tiketi ya CCM, Dk John Magufuli ameelezea kuandaliwa kwa mpango wa kugawa fedha kwa mawakala siku ya upigaji kura ili kushawishi kuchaguliwa kwa mmoja wa wagombea urais wa upinzani na hivyo amewataka watakaofikiwa na fedha hizo kuzichukua lakini bila kumchagua mgombea huyo.
11 years ago
Tanzania Daima23 Dec
Kaseja ajitetea
KIPA wa Yanga, Juma Kaseja, amejitetea na kipigo cha mabao 3-1 kutoka kwa Simba katika mechi ya Nani Mtani Jembe, akisema ni hali ya kimchezo. Akizungumza baada ya mechi hiyo...