Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA VICTORIA WILBERT NKWABI

Leo ni miaka miwili sasa tokea  Mpendwa wetu VICTORIA,uliposikia sauti ya Mungu  wetu ikikuita nawe ukaitika. Bado tunakukumbuka kwa namna ya pekee kwa Ucheshi, Upendo na Upole.Kwetu kumbukumbu hizi ni hazina zetu.Victoria unakumbukwa sana na mimi mama yako LYDIA,Baba yako mlezi mpendwa Japheth Mbwana,Mumeo mpenzi Emmanuel Kilato, Ndugu zako Godfrey, Mercy, Viollah, na wengine  wengi sana kama  Mama mkubwa, Wajomba zako, Wakwe zako, wanaukoo wote,Majirani wa Lumala,- Mwanza,Geita,Dodoma,...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

MCHUNGAJI WA KANISA LA KISABATO KIGOMA MCH,WILBERT NFUBHUSA ATEMBELEA UBALOZI

 Mchungaji wa kanisa la kisabato Wilbert Nfubhusa atembelea ubalozi wa Tanzania Washington DC.
 Mch Wilbert Nfubhusa akiwa pamoja na ujumbe aliofuatana nao pamoja na Balozi Liberata Mulamula na afisa Swahiba Mndeme.
 Mch Wilbert Nfubhusa akipokea zawadi ya vitabu kutoka kwa Mhe balozi Liberata Mulamula .
 Mhe balozi Liberata Mulamula akipokea zawadi ya fulana kutoka kwa ndg,Shukrani Magoma kama ukumbusho wa uwepo wao.


Kuanzia kulia ni mkuu wa utawala Lily Munanka akifuatiwa na Shukrani Magoma...

 

10 years ago

Vijimambo

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.

Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU.Jamaa ana kumbukumbu sana.Na nahisi hapo anamuangalia Lowassa na kukumbuka yote aliyowahi kusema juu yake.Kisha.......
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO

 

11 years ago

We Will Never Forget You

Nkwabi Ng'wanakilala


Daily News
Nkwabi Ng'wanakilala - We Will Never Forget You
AllAfrica.com
JUNE 28, 2014, was a sad day to many in the media and even stakeholders. This is the day when death grabbed from the media fraternity a hard working teacher, lecturer and journalist, who dedicated a larger part of his life serving the public and publishing ...
Kikwete pays glowing tribute to Ng'wanakilalaDaily News

all 6

 

11 years ago

GPL

NKWABI NG’WANAKILALA AZIKWA

Marehemu Nkwabi Ng’wanakilala enzi za uhai wake. MHADHIRI Mwandamizi Idara ya Uandishi wa Habari na Mawasiliano ya Umma, Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustine Tanzania (Saut), Nkwabi Ng’wanakilala, amezikwa leo katika shamba lake lililopo Kibamba-Mloganzila jijini Dar es Salaam. Marehemu alifariki dunia Juni 28 mwaka huu katika Hospitali ya Rufaa Bugando mkoani Mwanza alipokuwa akitibiwa baada ya kufanyiwa upasuaji...

 

11 years ago

Habarileo

Nkwabi Ng’wanakilala kuzikwa Dar

MWILI wa nguli katika tasnia ya habari aliyeandikwa vitabu vingi vinavyotumika kufundishia uandishi wa habari nchini, Nkwabi Ng’wanakilala aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza unatarajiwa kuzikwa Dar es Salaam.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Nkwabi aiteka Friends of Simba

MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...

 

10 years ago

Bongo Movies

Nkwabi:Mimi sio Jambazi

Staa wa Bongo Movies, Nkwabi Juma amefunguka na kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.

“Msanii mzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine ndio kitu...

 

9 years ago

Bongo Movies

Mimi si Jambazi ni Uhusika Tu- Nkwabi

Nkwabi Juma mwigizaji nyota wa filamu ya C.P.U amefunguka kwa kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.

“Msanii mnzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Rutiginga ampigia chapuo Nkwabi

WAKATI uchaguzi wa klabu ya Simba ukitarajia kufanyika leo jijini Dar es Salaam, mwanachama aliyekuwa akiwania nafasi ya ujumbe, Ramson Rutiginga, amewasihi wenzake kumchagua Swedi Nkwabi kwa nafasi ya makamu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani