KUMBUKUMBU YA VICTORIA WILBERT NKWABI
![](http://1.bp.blogspot.com/-zaTi1h4Wt5A/VAVUlsc3caI/AAAAAAAGatI/5PV-0w4iGn8/s72-c/New%2BPicture.png)
Leo ni miaka miwili sasa tokea Mpendwa wetu VICTORIA,uliposikia sauti ya Mungu wetu ikikuita nawe ukaitika. Bado tunakukumbuka kwa namna ya pekee kwa Ucheshi, Upendo na Upole.Kwetu kumbukumbu hizi ni hazina zetu.Victoria unakumbukwa sana na mimi mama yako LYDIA,Baba yako mlezi mpendwa Japheth Mbwana,Mumeo mpenzi Emmanuel Kilato, Ndugu zako Godfrey, Mercy, Viollah, na wengine wengi sana kama Mama mkubwa, Wajomba zako, Wakwe zako, wanaukoo wote,Majirani wa Lumala,- Mwanza,Geita,Dodoma,...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboMCHUNGAJI WA KANISA LA KISABATO KIGOMA MCH,WILBERT NFUBHUSA ATEMBELEA UBALOZI
10 years ago
Vijimambo27 Jul
Kati ya mambo ninayomkubali zaidi Dr Slaa ni KUMBUKUMBU. Jamaa ana kumbukumbu sana.
![](https://scontent-lga1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xat1/v/t1.0-9/s480x480/10401981_10206449526990889_6289542229888818994_n.jpg?oh=81839c90cb8deef7131498511492f2b8&oe=565CB2A8)
Afikirie "uchafu" wote waliosema Lowassa anao, bado aonekane "msafi kuwakilisha chama kuliko yeye"Ni hapo unapotamani uwe na SELECTIVE AMNESIASijui kuna sauti ngapi kichwani mwake sasa?Na sijui kama kuna inayomuasa kufanya "maamuzi magumu"?:
SOURCE.:.MUBELWA BANDIO
11 years ago
We Will Never Forget You03 Jul
Nkwabi Ng'wanakilala
Daily News
AllAfrica.com
JUNE 28, 2014, was a sad day to many in the media and even stakeholders. This is the day when death grabbed from the media fraternity a hard working teacher, lecturer and journalist, who dedicated a larger part of his life serving the public and publishing ...
Kikwete pays glowing tribute to Ng'wanakilalaDaily News
all 6
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/2qI9QjpEOxwmG-bdfCR*1U5AeJaOW0muZqcwzgQi9-2LRjEs8Egz2twgP0MsykH*A4Q20ZB9240I3vW-KMrAEPouCQxuKD*i/NKWABINGWANAKILALA2.jpg?width=650)
NKWABI NG’WANAKILALA AZIKWA
11 years ago
Habarileo29 Jun
Nkwabi Ng’wanakilala kuzikwa Dar
MWILI wa nguli katika tasnia ya habari aliyeandikwa vitabu vingi vinavyotumika kufundishia uandishi wa habari nchini, Nkwabi Ng’wanakilala aliyefariki dunia usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Rufaa ya Bugando, Mwanza unatarajiwa kuzikwa Dar es Salaam.
11 years ago
Tanzania Daima25 Jun
Nkwabi aiteka Friends of Simba
MGOMBEA nafasi ya Makamu wa Rais wa Simba, Swedi Nkwabi, amezidi kuiteka klabu hiyo katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Juni 29 jijini Dar es Salaam baada ya kuibua mgawanyiko katika...
10 years ago
Bongo Movies04 May
Nkwabi:Mimi sio Jambazi
Staa wa Bongo Movies, Nkwabi Juma amefunguka na kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.
“Msanii mzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine ndio kitu...
9 years ago
Bongo Movies18 Nov
Mimi si Jambazi ni Uhusika Tu- Nkwabi
Nkwabi Juma mwigizaji nyota wa filamu ya C.P.U amefunguka kwa kusema kuwa yeye si Jambazi bali ni uhusika tu ambao umfanya acheze kama mtu mtata na jambazi liliokubuhu kutokana tu na watayarishaji kumchagua katika nafasi kama hizo lakini hajui hata kuiba kuku na amekuwa akimudu nafasi hizo kwa kufanya utafiti tu.
“Msanii mnzuri ni lazima huwe mbunifu na kuchagua character yako ambayo kila mtengeneza sinema akiandika muswada (script ) anakuona wewe ndio utakayoitendea haki na si mtu mwingine...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jun
Rutiginga ampigia chapuo Nkwabi
WAKATI uchaguzi wa klabu ya Simba ukitarajia kufanyika leo jijini Dar es Salaam, mwanachama aliyekuwa akiwania nafasi ya ujumbe, Ramson Rutiginga, amewasihi wenzake kumchagua Swedi Nkwabi kwa nafasi ya makamu...