Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUMBUKUMBU YA MIAKA 3 YA MWENYEKITI WA GLOBAL PUBLISHERS MZEE BUKUMBI YAFANYIKA BUPANDWAMHELA LEO

Picha ya marehemu James Bukumbi ikiwa mbele ya waumini wakati wa ibada leo.Watoto wa marehemu mzee Bukumbi, Eric Shigongo (wa kwanza kulia), Marsha Bukumbi (wa kwanza kushoto) na baadhi ya ndugu wakiweka shada la maua katika kaburi la baba yao.Eric Shigongo akielezea historia ya baba yake, marehemu James Bukumbi wakati wa ibada ya kumbukumbu ya miaka mitatu tangu kifo chake.
Padri George Nzungu ambaye ni Paroko wa Parokia ya Mt. Kizito, Kabila, Magu akiongoza ibada ya kumbukumbu ya miaka...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

Kumbukumbu ya miaka 3 ya Mwenyekiti wa Global Publishers Mzee Bukumbi yafanyika Bupandwamhela

Picha ya marehemu James Bukumbi ikiwa mbele ya waumini wakati wa ibada leo.

Watoto wa marehemu mzee Bukumbi, Eric Shigongo (wa kwanza kulia), Marsha Bukumbi (wa kwanza kushoto) na baadhi ya ndugu wakiweka shada la maua katika kaburi la baba yao.

Eric Shigongo akielezea historia ya baba yake, marehemu James Bukumbi wakati wa ibada ya kumbukumbu ya miaka mitatu tangu kifo chake.

Padri George Nzungu ambaye ni Paroko wa Parokia ya Mt. Kizito, Kabila, Magu akiongoza ibada ya kumbukumbu ya...

 

9 years ago

GPL

KUMBUKUMBU YA MIAKA 3 YA MZEE BUKUMBI YAFANYIKA BUPANDWAMHELA LEO

Picha ya marehemu James Bukumbi ikiwa mbele ya waumini wakati wa ibada. Padri George Nzungu ambaye ni Paroko wa Parokia ya Mt. Kizito, Kabila, Magu akiongoza ibada ya kumbukumbu ya miaka 3 ya mzee Bukumbi.…

 

9 years ago

GPL

MAANDALIZI YA KUMBUKUMBU YA MZEE JAMES BUKUMBI ALIYEKUWA MWENYEKITI WA GLOBAL PUBLISHERS

Watoto wa marehemu Mzee Bukumbi, Eric Shigongo (wa pili kulia) na Marsha Bukumbi (wa tatu kushoto) wakishiriki sala fupi ya kumwombea baba yao. Wanafamilia wakiongozwa na kaka wa marehemu, Mzee Zabron (wa pili kushoto) wakati wa sala fupi ya kumwombea Mzee Bukumbi.…

 

10 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya kifo miaka 9 ya Mzee Donati Kezirahabi


Ni miaka 9 tangu ulipotangulia katika makazi yako ya milele                                         siku ile ya huzuni 5 Dec 2005.                                                                Tunakumbuka kwa huzuni upendo na uongozi wako katika familia.                  Miongozo na mapenzi makubwa uliyotupa ndio yanayotuwezesha kusimama na kumsifu Bwana kila siku. 
Unakumbukwa sana na mke wako Hidaya Kezirahabi,  watoto wako wapenzi na wajukuu, ndugu, jamaa na marafiki wote.
“Bwana akupatie...

 

10 years ago

GPL

MAWAKALA NA WAUZA MAGAZETI WASHEREHEKEA MIAKA 17 YA KAMPUNI YA GLOBAL PUBLISHERS

Mkurugenzi Mtendaji wa Global Publishers Ltd, Eric Shigongo akizungumza na mawakala pamoja na wauzaji wa magazeti Dar Live leo. Wauzaji na mawakala wa magazeti wakiwa kwenye sherehe hizo. Meneja Mkuu wa Global, Abdallah Mrisho (kulia) akiwa na Ofisa Utawala wa Global, Soud Kivea. MAWAKALA na wauzaji wa…

 

10 years ago

Michuzi

KUMBUKUMBU YA MIAKA 7 YA KIFO CHA MZEE SHAURI TIMOTHEO NATHAN


Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007)  Sekunde, Dakika, Saa, Siku, Wiki, Mwezi, Mwaka na hatimaye mika saba sasa imetimia tangu Mzee Shauri Timoth Nathan  (18/08/1925-18/09/2007) ututangulie Mbele za haki kama ulivyotutangulia kuja duniani Tarehe 18/08/2025. 
Nimajonzi sana kwetu hasa ukizingatia kuwa uliondoka katika tarehe ambayo kitinda mimba wako Mroki Mroki alizaliwa na ni siku kumi tu baada ya kufunga ndoa Mroki "Father Kidevu".
Unakumbukwa na wengi sana maana...

 

10 years ago

GPL

PAH ONE WATEMBELEA GLOBAL PUBLISHERS LEO

Wanamuziki wanaounda Kundi la Pah One Ola (kushoto) na Igwee wakiwa katika pozi kwenye studio za Global TV Online leo. Pah One wakiwa na mtangazaji wa Global TV Online, Mourad Alfah kabla ya kuanza mahojiano.…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani