Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumekucha Maisha Plus

Shindano la Maisha Plus Mama Shujaa wa Chakula mwaka huu litashirikisha washiriki kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

IBADA YA KUMBUKUMBU NA SHUKURANI YA MAISHA YA MAISHA YA MAREHEMU WILBARD KENTE DMV

Mchungaji Essie Cannon akiongoza ibada ya kumbukumbu na shukurani ya maisha ya marehemu Mr. Wilbard W. Kente aliyefariki February 1, 2015 Tanzania. Ibada ya kumbukumbu ilifanyika katika kanisa la Universal Holiness lililopo Washington, DC nchini Marekani.Deo Mosha akisoma wasifu wa marehemu Mr. Wilbard Kente katika ibada ya kumbukumbu na shukurani iliyofanyika siku ya Jumamosi March 21, 2015 Washington, DC nchini Marekani.Abba Genes akisoma somo.Jerminr Shelukindo akisoma somo.Henry Kente...

 

10 years ago

Bongo5

6 legends; 6 stars; 1 spotlight: Maisha Magic kuja na shindano la muziki ‘Maisha Supastar’

Kituo cha televisheni cha Maisha Magic cha DSTV, kinatarajia kuja na shindano kubwa la kusaka vipaji vya muziki Afrika Mashariki, ‘Maisha Superstar’. “This will be the revolutionary Talent Search Show East Africa has ever had. For the first time viewers will experience the real science behind making a platinum selling music act,” wameandika kwenye website […]

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumekucha UKAWA

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea na ziara yake Kanda Ziwa ili kuwalainisha wananchi waunge mkono muundo wa Serikali mbili, vyama vitatu vya upinzani kupitia Umoja wao wa Katiba ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kumekucha NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza rasmi kuanza kutoa fomu kwa wagombea urais, ubunge na udiwani leo mpaka Agosti 21 saa kumi jioni, huku vyama saba vya siasa vikithibitisha kusimamia wagombea katika nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Kumekucha Uhuru Marathoni

Wanariadha zaidi ya 4000 kutoka ndani na nje ya nchi watachuana kwenye mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika kesho jijini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha sasa Simba

>Wakati Kamati ya Uchaguzi ya Simba ikifungua kuanza kwa kampeni leo, wanachama 66 wa klabu hiyo wakiongozwa na wakili Revocatus  Kuuli wamefungua kesi Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam, kuomba kusimamishwa mchakato wa uchaguzi huo utakaofanyika Juni 29.

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha Kombe la NSSF

Timu za soka na Netiboli za kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa timu 19 zitakazoshiriki mashindano ya kila mwaka ya vyombo vya habari vya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) yaliopangwa kuanza Machi 22 kwenye viwanja vya TCC na Duce, Dar es Salaam.

 

9 years ago

GPL

MAI, WEMA KUMEKUCHA

Staa wa filamu, Wema Sepetu. Mwandishi Wetu KUMEKUCHA! Hivyo ndivyo unavyoweza kusema kufuatia mtifuano kati ya mtangazaji maarufu wa televisheni, Maimartha Jesse na staa wa filamu, Wema Sepetu baada ya bifu la wawili hao kufika jeshi la polisi. Mtangazaji maarufu wa televisheni, Maimartha Jesse. Akipiga stori na gazeti hili, Maimartha alisema Wema alikuwa na nia ya kumdhalilisha kwani baada ya kumtafuta na polisi na kumkosa,...

 

10 years ago

Mwananchi

Kumekucha urais 2015

>Kadri uchaguzi mkuu unavyokaribia ndivyo makundi mbalimbali ya jamii yanavyoibuka kwa staili tofauti za kuwashawishi  baadhi ya makada ili watangaze nia ya kuwania urais ndani ya CCM.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani