Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kumekucha michuano NSSF

Wakati michuano ya 11 ya Shirika la Taifa la  Hifadhi ya Jamii (NSSF) kwa mwaka huu ikitarajiwa kuanza Jumamosi.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha Kombe la NSSF

Timu za soka na Netiboli za kampuni ya Mwananchi Communications Limited (MCL) ni miongoni mwa timu 19 zitakazoshiriki mashindano ya kila mwaka ya vyombo vya habari vya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) yaliopangwa kuanza Machi 22 kwenye viwanja vya TCC na Duce, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Dewji Blog

NSSF CUP Jambo Leo wakimbia uwanja, Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.

Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana  mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya.

Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...

 

10 years ago

Michuzi

NSSF MEDIA CUP: Jambo Leo watia mpira kwapani Baada ya kuchapwa 3-0 na NSSF

Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69. Wachezaji wa Jambo Leo mpira wa miguu (wenye jezi rangi nyekundu) wakitoka uwanjani mara baada ya kufungwa goli la 3 na kususia mchezo huo kwa madai uwanja umeharibika kwa kujaa maji. Mchezo huo ulivunjika katika dakika 69.Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana  mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69 ikisingizia uwanja mbaya. Wachezaji wa timu ya NSSF mpira wa miguu wakitoka uwanjani huku wakipongezana mara baada ya mwamuzi kumaliza pambano lao na timu ya Jambo Leo. NSSF walipewa ushindi wa magoli 3-0. Baada ya Timu ya Jambo Leo kukimbia uwanjani baada ya kufungwa goli la 3 katika dakika 69...

 

11 years ago

Mwananchi

Kumekucha Maisha Plus

Shindano la Maisha Plus Mama Shujaa wa Chakula mwaka huu litashirikisha washiriki kutoka nchi mbalimbali za Afrika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kumekucha UKAWA

WAKATI Chama Cha Mapinduzi (CCM) kikiendelea na ziara yake Kanda Ziwa ili kuwalainisha wananchi waunge mkono muundo wa Serikali mbili, vyama vitatu vya upinzani kupitia Umoja wao wa Katiba ya...

 

10 years ago

Habarileo

Kumekucha NEC

TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC) imetangaza rasmi kuanza kutoa fomu kwa wagombea urais, ubunge na udiwani leo mpaka Agosti 21 saa kumi jioni, huku vyama saba vya siasa vikithibitisha kusimamia wagombea katika nafasi ya urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

 

10 years ago

Mwananchi

Kumekucha Uhuru Marathoni

Wanariadha zaidi ya 4000 kutoka ndani na nje ya nchi watachuana kwenye mbio za Uhuru Marathon zitakazofanyika kesho jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Kumekucha urais 2015

>Kadri uchaguzi mkuu unavyokaribia ndivyo makundi mbalimbali ya jamii yanavyoibuka kwa staili tofauti za kuwashawishi  baadhi ya makada ili watangaze nia ya kuwania urais ndani ya CCM.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Kumekucha Bunge la Katiba


NA MWANDISHI WETU
WAKATI  Umoja wa Katiba ya Watanzania (UKAWA), wakiendelea kukaidi matamko ya serikali na viongozi wa dini ya kuwataka kurejea bungeni, vikao vya bunge hilo litaanza rasmi Agosti 5, mwaka huu.

Wajumbe wanaounda kundi la UKAWA, ambao ni kutoka CUF, CHADEMA na NCCR-Mageuzi, wakiongozwa na Mwenyekiti wa CUF Taifa, Profesa Ibrahim Lipumba, walisusia vikao hivyo kwa madai ya kuwepo kwa upendeleo na ubaguzi.
Hata hivyo, baadaye walibadili hoja ya upendeleo na ubaguzi na kuibuka na...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani