Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kutowekeza sekta ya hoteli Moshi kwadidimiza utalii

WAKATI mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro ukihesabika kama mji wa kitalii,  kwa sasa unakabiliwa na changamoto ya kudumaa kwa fursa ya utoaji huduma na kuzidiwa na Mkoa wa Arusha. Licha...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

11 years ago

Dewji Blog

Wamiliki wa hoteli wahimizwa kukuza utalii Zanzibar

143

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akifanya ziara maalum ya kukitembelea Kisiwa cha Bawe kilichopo Magharibi ya Mji wa Zanzibar kuona shughuli za uwekezaji katika sekta ya Utalii. Kulia kwa  Balozi Seif ni:- Waziri wa Habari Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar Mh. Said Ali Mbarouk.

Na Othman Khamis Ame, Visiwani

UONGOZI wa Mradi wa uwekezaji wa sekta ya utalii unaosimamia uendeshaji wa hoteli za Kitalii zilizomo ndani ya visiwa vidogo vidogo vya Bawe na Changuu  {...

 

10 years ago

Michuzi

VETA WATAKIWA KUHAKIKISHA WANAANDAA WANAFUNZI WA HOTELI NA UTALII WENYE VIWANGO VYA KIMATAIFA.

Baraza la ushauri la chuo cha  mafunzo ya hoteli na utalii (VHTTI) limetakiwa kuhakikisha linaandaa wanafunzi vyema na wenye viwango vya kimataifa   ili kukabiliana  na ushindani mkubwa ulioko katika sekta ya hoteli na utalii duniani.
Hayo yamesemwa na mkuu wa wilaya ya Arumeru Nyerembe Munasa wakati akizindua baraza hilo  jana ndani ya chuo cha hoteli na utalii cha VHTTI kilichopo  nje kidogo ya jiji la Arusha .
Alisema kuwa kutokana na changamoto kubwa ya  hoteli zetu kuajiri watu kutoka nje...

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Sekta za utalii, usafirishaji zaongeza mapato


NA SELINA WILSON, DODOMA
TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika biashara ya nje, ikiwemo huduma za utalii na usafirishaji bidhaa kupitia nchini kwenda nchi jirani na hivyo kuongeza mapato.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira, alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2013 na mpango wa maendeleo wa taifa wa 2014/2015.
Wassira alisema kwa mwaka 2013, katika huduma za utalii, mapato yaliongezeka kutoka...

 

10 years ago

Mwananchi

Soko la ajira wazi sekta ya utalii

Watanzania wameshauriwa kuzichangamkia fursa za utalii ili kujiongezea kipato na kunufaika na ukuaji wa sekta hiyo na soko la ajira hapa nchini.

 

9 years ago

Mwananchi

CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari

Mgombea urais wa Zanzibar kwa (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema ataifanyia mageuzi sekta ya utalii na bandari ambazo zina mapato makubwa ili kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Maalim Seif akemea hujuma sekta ya utalii

MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ameonya hujuma zinazofanywa dhidi ya watalii wanaofika visiwani humo kuwa vinaweza kuathiri uchumi. Alisema Zanzibar inategemea utalii kuendeleza uchumi...

 

5 years ago

BBCSwahili

Janga la coronavirus laitikisa sekta ya utalii Zanzibar

Sekta ya Utalii Zanzibar ni moja ya nguzo kuu za uchumi wa visiwa hivyo na Tanzania kwa ujumla, lakini mambo yamebadilika tangu mlipuko wa coronavirus ulipoanza.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani