Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Maalim Seif akemea hujuma sekta ya utalii

MAKAMU wa kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad, ameonya hujuma zinazofanywa dhidi ya watalii wanaofika visiwani humo kuwa vinaweza kuathiri uchumi. Alisema Zanzibar inategemea utalii kuendeleza uchumi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

HDP yakutanisha wadau wa sekta ya utalii katika mkutano wa pili wa kukuza sekta ya ukarimu na utalii

__800x800_51d3b4b77dc78

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru.

Na Rabi Hume, Modewjiblog

Shirika la Kimataifa la Ukarimu na Utalii (HDP) kwa kushirikiana na Wamiliki wa Hoteli Tanzania (HAT) wamefanya mkutano wa kukutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya utalii kujadili mambo mbalimbali yanayohusu maendeleo ya sekta hiyo.

Akizungumzia mkutano huo, Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Dk. Adelhelm Meru amesema mashirika hayo yamefanya mkutano huo kwa awamu ya pili kwa ajili ya...

 

10 years ago

Vijimambo

Maalim Seif awavuta wawekezaji wa Ulaya kuwekeza kwenye biashara za viungo na utalii

Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akipokelewa na Mkurugenzi Mkuu wa maonyesho hayo ya Milan 2015 Bw. Bruno Antonio Pasquino mara alipowasili.Maalim Seif kwenye maonyesho ya kimataifa ya biashara Mjini Milan Italy. (Picha zote na Salmin Said, Italy)..Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe. Maalim Seif Sharif Hamad, akiwahutubia washiriki wa maonyesho hayo wakati wa kuadhimisho siku ya Tanzania kwenye maonyesho hayo mjini Milan Italy.

Na: Khamis Haji, Milan...

 

9 years ago

Michuzi

WIZARA YA MALIASILI NA UTALII YAFANYA MKUTANO NA WADAU WA SEKTA YA MALIASILI NCHINI KUJADILI MAENDELEO YA SEKTA HIYO

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akitoa hotuba ya ufunguzi wa Mkutano wa Wadau wa Sekta ya Maliasili nchini leo tarehe 26 Novemba 2015 katika Ukumbi wa Chuo cha Utalii Kampasi ya Bustani Jijini Dar es Salaam. Mkutano huo umeshirikisha wadau mbalimbali wakiwemo wa Wizara zenye muelekeo wa Maliasili, Sekta binafsi, NGOs, Waandishi wa habari na wadau wengine. Mada mbalimbali kutoka katika Sekta ndogo za Wanyamapori, Misitu, Utalii, Mambo ya Kale na Uvuvi...

 

11 years ago

Mwananchi

Balozi Seif amponda Maalim Seif

>Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar,  Balozi Seif Idd ametangaza vita kwa mtu yeyote anayepanga njama za kuvuruga mchakato wa Rasimu ya Pili ya Katiba.

 

11 years ago

Uhuru Newspaper

Sekta za utalii, usafirishaji zaongeza mapato


NA SELINA WILSON, DODOMA
TANZANIA imeendelea kufanya vizuri katika biashara ya nje, ikiwemo huduma za utalii na usafirishaji bidhaa kupitia nchini kwenda nchi jirani na hivyo kuongeza mapato.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais (Uhusiano na Uratibu), Stephen Wassira, alisema hayo jana bungeni mjini Dodoma, alipokuwa akiwasilisha taarifa ya hali ya uchumi kwa mwaka 2013 na mpango wa maendeleo wa taifa wa 2014/2015.
Wassira alisema kwa mwaka 2013, katika huduma za utalii, mapato yaliongezeka kutoka...

 

11 years ago

Mwananchi

Soko la ajira wazi sekta ya utalii

Watanzania wameshauriwa kuzichangamkia fursa za utalii ili kujiongezea kipato na kunufaika na ukuaji wa sekta hiyo na soko la ajira hapa nchini.

 

10 years ago

Mwananchi

CUF kuifanyia mageuzi sekta ya utalii,bandari

Mgombea urais wa Zanzibar kwa (CUF), Maalim Seif Shariff Hamad amesema ataifanyia mageuzi sekta ya utalii na bandari ambazo zina mapato makubwa ili kuifanya Zanzibar kuwa Singapore ya Afrika Mashariki.

 

9 years ago

Dewji Blog

Sekta ya Maliasili na Utalii ndani ya Utawala Mpya

03-Maghenbe

Profesa Jumanne Maghembe, Waziri wa Maliasili na Utalii.

Siku chache zimepita Rais Dkt. John Pombe Magufuli alipomalizia kujaza nafasi za Mawaziri na Naibu Waziri zilizobakia wakati alipotangaza baraza lake la Mawaziri la serikali ya  awamu ya tano.

Katika uteuzi wake, Kampuni ya JovagoTanzania inapendelea kumpa pongezi Profesa Jumanne Maghembe, ambaye aliteuliwa kuwa Waziri wa Maliasili na Utalii katika wa serikali ya mpya ya awamu ya tano.

Kwa upande wake, Bw. Andrea Guzzoni, Meneja Mkazi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kutowekeza sekta ya hoteli Moshi kwadidimiza utalii

WAKATI mji wa Moshi mkoani Kilimanjaro ukihesabika kama mji wa kitalii,  kwa sasa unakabiliwa na changamoto ya kudumaa kwa fursa ya utoaji huduma na kuzidiwa na Mkoa wa Arusha. Licha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani