Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KUWAONA WATOTO WADOGO KUHUSU TEHAMA

Teknolojia ya habari na mawasiliano inaendelea kukua na kutumika kwa kiasi kikubwa nchini.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Tahadhari watoto wanapotumia Tehama

Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu watoto kuharibikiwa wanapoangalia au kutumia vifaa mbalimbali vya teknolojia kama simu na kompyuta

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mradi wa Tehama uwe faraja kwa watoto wenye uhitaji

KUMEKUWA na malalamiko katika jamii kuwa shule za watoto wenye ulemavu zimesahaulika katika kupatiwa huduma mbalimbali ikiwemo nyenzo za kujifunzia. Ili kukabiliana na tatizo hilo hivi karibuni serikali ilizindua mpango...

 

9 years ago

Michuzi

WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA

Balozi Tuvako Manongi, Mwakilishi wa Kudumu wa   Tanzania katika Umoja wa Mataifa  akizungumza wakati wa Mkutano wa Ngazi ya Juu wa Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa kuhusu Teknolojia ya  Habari na Mawasiliano kwa Maendeleo. Mkutano huo wa siku mbili umefanyika hapa Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa jijini New York, Marekani
Na  Mwandishi Maalum,  New York

Wanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado  halijanufaika ipasavyo na  matumizi ya   Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...

 

10 years ago

Mwananchi

Google kwa watoto wadogo, tumejipangaje?

Kampuni ya Google, inaandaa matoleo ya huduma zake mbalimbali kama youtube, Gmail na nyingine zitakazokuwa maalumu kwa ajili ya watoto wadogo wa chini ya miaka 13.

 

10 years ago

GPL

UNESCO YAENDESHA MAFUNZO YA TEHAMA KUHUSU MABADILIKO YA RADIO JAMII‏

Ofisa Miradi ya Mawasiliano, Habari na Tehama wa Shirika la Kimataifa la Sayansi, Elimu na Utamaduni (UNESCO) nchini, Al Amin Yusuph, akiendesha mafunzo ya matumizi ya kutumia TEHAMA kwa kupeleka na kupokea habari yaliyofanyika katika kituo cha Sengerema Telecentre mkoani Mwanza chini ya ufadhili wa Shirika la Maendeleo la Sweden (SIDA) kwa ushirikiano na Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu Sayansi na Utamaduni (UNESCO). Ofisa...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazazi, walimu wawakabili watoto wangali wadogo

Nilieleza hapo nyuma kwamba walimu wana nafasi kubwa sana katika suala zima la malezi kwa watoto.

 

5 years ago

Michuzi

Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama


Mwanafunzi wa kidato cha nne, shule ya sekondari Kinyerezi jijini Dar Es Salaam, Rahma Seif akielezea namna ya kujisomea kupitia mfumo wa Instant Schools unaowezesha kupata  materials‘ kwa njia ya mtandao bure kutoka Vodacom. Hii ni hamasa iliyowekwa na Vodacom kuelekea siku ya wanawake Duniani kwa mtoto wa kike kupenda masomo ya sayansi yenye kauli mbiu I am the face of Tech.Mkuu wa Idara ya IT na Miradi Vodacom Tanzania PLC, Cleopatra Mukangara akitoa zawadi kwa wanafunzi mbalimbali wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwanini watendaji wa mitaa hawazuii video za ngono kwa watoto wadogo?

NILIWAHI kuandika makala kama hii takriban miaka mitatu iliyopita, lakini kutokana na kile kinachoendelea kutokea katika baadhi ya mitaa ya Jiji la Dar es Salaam, lililojaa uchafu wa kila aina...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani