Tahadhari watoto wanapotumia Tehama
Kumekuwa na malalamiko mengi kutoka kwa watu mbalimbali kuhusu watoto kuharibikiwa wanapoangalia au kutumia vifaa mbalimbali vya teknolojia kama simu na kompyuta
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi13 Jan
KUWAONA WATOTO WADOGO KUHUSU TEHAMA
11 years ago
Tanzania Daima24 Jul
Mradi wa Tehama uwe faraja kwa watoto wenye uhitaji
KUMEKUWA na malalamiko katika jamii kuwa shule za watoto wenye ulemavu zimesahaulika katika kupatiwa huduma mbalimbali ikiwemo nyenzo za kujifunzia. Ili kukabiliana na tatizo hilo hivi karibuni serikali ilizindua mpango...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s72-c/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
WANAWAKE NA WATOTO WA KIKE BADO WAPO NYUMA KATIKA MATUMIZI YA TEHAMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-B6GBgWBkzgg/VnIwm_zlO2I/AAAAAAAIM7U/3rJqLkWxRPw/s640/657229%2B-%2BGA%2Bpm%2B-%2B16_12_2015%2B-%2B11.31.04%2B%25282%2529.jpg)
Na Mwandishi Maalum, New YorkWanawake na watoto wa kike wanaelezwa kama kundi ambalo bado halijanufaika ipasavyo na matumizi ya Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s72-c/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
Kusherehekea wiki ya wanawake duniani Vodacom yatoa hamasa kwa watoto wa kike kujifunza Tehama
![](https://1.bp.blogspot.com/-qWaXDknmMoc/XmN56mpKT-I/AAAAAAAEGHQ/oGZ1S0Y6_ncBz42QkZUFkucsfHoRtZuIQCLcBGAsYHQ/s640/71df1999-7f84-43e8-8de8-87a92892b7a5.jpg)
![](https://fullshangweblog.co.tz/wp-content/uploads/2020/03/e17805d8-71fb-4bf2-99a2-5ac51c2778e9.jpg)
11 years ago
Habarileo09 Mar
RC Dar ataka tahadhari homa ya ini kwa watoto
MKOA wa Dar es Salaam umesema watoto waliozaliwa kabla ya mwaka 2008 hawana kinga ya ugonjwa wa homa ya ini, hivyo imeagiza Manispaa zote kuwapima na kuwapatia kinga ili kukabiliana na ugonjwa huo hatari. Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadiki alisema hayo leo katika maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani na kuwasisitiza wanawake kuhakikisha wanapatiwa chanjo ya ugonjwa huo hasa wakati wa ujauzito.
5 years ago
Ykileo![](https://1.bp.blogspot.com/-v9cvm3QrKRo/WxPB85eheDI/AAAAAAAACRU/cjUfTeHkUtATUg4KoTLQNS2xg64gglRBwCLcBGAs/s72-c/001.jpg)
NAMNA BORA YA KULINDA VIFAA VYA TEHAMA VYA WATOTO
![](https://1.bp.blogspot.com/-v9cvm3QrKRo/WxPB85eheDI/AAAAAAAACRU/cjUfTeHkUtATUg4KoTLQNS2xg64gglRBwCLcBGAs/s640/001.jpg)
KWA UFUPI: Kutokana na ukuaji wa teknolojia pamoja na muunganiko wa vitu vingi katika mtandao (IoT) vifaa vingi vya watoto vimekua mhanga mkubwa wa uhalifu mtandao – Hii imepelekea kuchukuliwa kwa hutua mbali mbali za kulinda watoto mitandaoni. Andiko hili lina angazia namna bora ya kulinda vifaa vya watoto vya TEHAMA.-----------------------------------------
Kumekua na matukio kadhaa yaliyo husisha kuingiliwa kimtandao (kudukuliwa) kwa vifaa vinavyo tumiwa na watoto huku wahalifu mtandao...
5 years ago
YkileoKENYA: WAKUU WA TEHAMA WAKUTANA
KWA UFUPI: Wakuu wa vitengo vya TEHAMA wamekutana kujadili changamoto na namna nzuri ya kuzitatua changamoto hizo katika vikao vilivyo kamilika Nchini Kenya.-------------------------------
Watunga sera na sheria mbali mbali wamekua wakifanya maamuzi ya TEHAMA bila kushirikisha wadau wa TEHAMA – Hii imekua moja ya changamoto inayo leta mkinzano wa utendaji wenye manufaa kwa wana TEHAMA maeneo mengi barani Afrika.
11 years ago
Tanzania Daima28 May
EPZA, COSTECH kuendeleza Tehama
MAMLAKA ya Ukanda Maalumu wa Uwekezaji nchini (EPZA) imefikia makubaliano na Tume ya Sayansi na Teknolojia (COSTECH) kuanzisha na kuendeleza eneo la Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Eneo...
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/WbJM1RNTL3w/default.jpg)
MKUTANO WA WAKUU WA TEHAMA - RADIO ONE