‘Kuwepo Muungano miaka 50 ni jambo kubwa’
MAFANIKIO makubwa ya Muungano nchini ni kudumu kwa muundo huo kwa miaka 50, imeelezwa. Hayo yamesemwa na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Dar es Salaam juzi, katika mahojiano na TBC 1, yaliyohudhuriwa pia na waandishi wa habari wa vyombo vingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
TAHADHARI YA KUWEPO MVUA KUBWA MAENEO YA PWANI YA NCHI
10 years ago
GPL
11 years ago
Habarileo23 Mar
Profesa Lipumba akiri muungano ni jambo zuri
MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ametaka kuachwa kuingiza misimamo ya vyama bali kuweka mbele maslahi ya taifa wakati wa kujadili katiba na kuhakikisha muungano unalindwa kwa maslahi ya Taifa. Alisema hayo katikati ya wiki mjini hapa katika mahojiano .
10 years ago
VijimamboJAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA
Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
10 years ago
Dewji Blog02 Jul
Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo

Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...
11 years ago
BBCSwahili22 Apr
Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania
11 years ago
GPLMIAKA 50 YA MUUNGANO YAFANA
11 years ago
BBCSwahili26 Apr
Tanzania yatimiza miaka 50 ya Muungano
11 years ago
Mwananchi01 May
Miaka 50 ya Muungano ilivyonufaika Watanzania