Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘Kuwepo Muungano miaka 50 ni jambo kubwa’

MAFANIKIO makubwa ya Muungano nchini ni kudumu kwa muundo huo kwa miaka 50, imeelezwa. Hayo yamesemwa na Rais Jakaya Kikwete, Ikulu Dar es Salaam juzi, katika mahojiano na TBC 1, yaliyohudhuriwa pia na waandishi wa habari wa vyombo vingine.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

TAHADHARI YA KUWEPO MVUA KUBWA MAENEO YA PWANI YA NCHI

Mamlaka ya Hali ya Hewa nchini imesema kutakuwepo mvua kubwa inayozidi mm 50 katika maeneo ya Dar, Lindi, Mtwara, Pwani na Unguja kati ya Machi 20 hadi 22 mwaka huu.

 

11 years ago

Habarileo

Profesa Lipumba akiri muungano ni jambo zuri

MWENYEKITI wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba ametaka kuachwa kuingiza misimamo ya vyama bali kuweka mbele maslahi ya taifa wakati wa kujadili katiba na kuhakikisha muungano unalindwa kwa maslahi ya Taifa. Alisema hayo katikati ya wiki mjini hapa katika mahojiano .

 

10 years ago

Vijimambo

JAMBO CONCEPTS (T) LTD, WACHAPISHAJI WA GAZETI LA JAMBO LEO WAPATA MSIBA TENA



Na Dotto Mwaibale
KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.
Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.
Marehemu...

 

10 years ago

Dewji Blog

Ni msiba tena Jambo Concepts (T) Ltd, wachapishaji wa Gazeti la Jambo Leo

IMG_8831

Na Dotto Mwaibale

KAMPUNI ya Jambo Concepts (T) Ltd, inayochapisha magazeti ya Jambo Leo, Staa Spoti na Jarida la Jambo Brand, limempoteza mfanyakazi wake mwingine wa idara ya masoko, Kinai Mtinda (pichani), baada ya kufariki dunia saa 7 usiku wa kuamukia leo katika Hospitali ya Sinza Palestina jijini Dar es Salaam alikokuwa amelazwa kwa matibabu.

Msiba na mipango ya mazishi inafanyika nyumbani kwa kaka yake Mbezi Beach na taratibu zingine kuhusiana na msiba huo zitatolewa baadae.

Marehemu...

 

11 years ago

BBCSwahili

Miaka 50 ya Muungano wa Tanzania

Wiki hii Aprili 26 ,Tanzania inaadhimisha miaka 50 ya Muungano tangu Tanganyika na Zanzibar zilipoungana na kuunda nchi ya Tanzania. Kuna nini cha kusherehekewa?

 

11 years ago

GPL

MIAKA 50 YA MUUNGANO YAFANA

Doria ya farasi wa polisi wakikatisha katika Uwanja wa Uhuru  leo  kuhakikisha usalama. Magari  mbalimbali kutoka  idara  tofauti  serikalini yakiwa  yamepaki  katika  Uwanja wa  Uhuru. Hao ni askari wa paredi …

 

11 years ago

BBCSwahili

Tanzania yatimiza miaka 50 ya Muungano

Sherehe za kuhadhimisha miaka 50 ya Muungano wa Tanzania zimefanyika leo mjini Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Miaka 50 ya Muungano ilivyonufaika Watanzania

Ukuaji wa uchumi katika Serikali ya Mapinduzi Zanzibar umeimarika kwa asilimia 7.0 katika kipindi cha mwaka 2012 huku Pato la Taifa kwa bei za miaka husika limefikia jumla ya Sh1,354 bilioni mwaka 2012 ikilinganishwa na Sh1,198 bilioni kwa mwaka 2011, kwa mujibu wa taarifa ya Serikali inayozungumzia hali ya fedha mwaka uliopita.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani