Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuzuia maambukizi ya Covid 19 ni hatia kutembesha mbwa Afrika Kusini

Waziri wa afya Zweli Mkhize awali Jumatano alisema kuwa watu wangeruhusiwa kukimbia na kutembea na mbwa wao, mradi wangefanya kwa uwajibikaji

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya Corona: Je, nchi za Afrika zimeweza kuzuia kasi ya maambukizi?

Rwanda, Nigeria zaungana na Afrika Kusini, Ghana, Kenya kulegeza masharti.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vy corona: Jinsi Korea Kusini ilivyofanikiwa kuzuia maambukizi ya corona

China, Italia, Iran na Korea Kusini hadi kufikia leo ni miongoni mwa mataifa yaliyoathirika zaidi ya usambazaji wa virusi vya corona, na serikali zao zimechukua hatua kukabiliana na usambaaji wa virusi hivyo.

 

5 years ago

CCM Blog

NCHI 24 ZA AFRIKA ZAFUNGA MIPAKA KUZUIA KUENEA VIRUSI VYA COVID-19

Nchi 24 za Afrika zafunga mipaka kuzuia kuenea virusi vya COVID-19Takriban nchi 24 za Afrika zimefunga mipaka yake kutokana na hofu ya kuenea kwa virusi vya ugonjwa hatari wa COVID-19 au corona ambao unazidi kuenea kwa kasi barani humo.Katika taarifa, Kituo cha Kudhibiti na Kuzuia Magonjwa cha Afrika (Africa CDC), ambacho ni taasisi maalumu la Umoja wa Afrika, kimesisitiza kwamba nchi nyingine saba za Afrika zimeweka vizuizi vya kusafiri kutoka baadhi ya nchi. Aidha taarifa hiyo imeseba nyingine saba zimetoa maelekezo ya vizuizi vya kuingia nchini kwa...

 

5 years ago

BBCSwahili

Je, ni hatia kwa mwanamke kumiliki mbwa?

Sahba Barakzai, familia yake na mbwa wao wa miezi saba kwa jina Aseman, hutembea kukwea milima karibu na nyumba yao huko Magharibi mwa Afghanastan

 

5 years ago

Michuzi

Rwanda yaongoza Afrika Mashariki kwa Maambukizi ya COVID-19, wagonjwa wafikia 70

Rwanda imethibitisha visa 10 vipya vya maambukizi ya ugonjwa wa Corona  siku ya Jumapili na kufikisha 70 jumla ya watu wanaougua corona, Wizara ya afya Rwanda imetangaza.
Katika hotuba yake kwa taifa usiku wa Ijumaa Rais Paul Kagame alisema idadi hiyo itaendelea kuongezeka kwasababu wale waliotangamana na waathirika wanaendelea kutafutwa.
Katika visa vya hivi punde vya maambukizi, watu sita walitokea Dubai, wawili kutoka Afrika Kusini, mmoja kutoka Nigeria na mwigine alikuwa amesafiri maeneo...

 

5 years ago

BBCSwahili

Kwanini maambukizi ya corona yamepungua ghafla Afrika Kusini?

Nadharia moja ni kwamba raia wa Afrika Kusini wanakinga dhidi ya virusi hivyo.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Changamoto za wanakijiji Afrika Kusini wanaokabilwa na maambukizi

Kijiji kimoja Afrika kusini chajitahidi kukabiliana na corona licha ya umaskini

 

5 years ago

BBCSwahili

Coronavirus: Zaidi ya watalii 1700 wawekwa karantini melini kwa hofu ya maambukizi Afrika Kusini

Zaidi ya watu 1,700 wamewekwa karantini kwenye meli ya kitalii na meli ya kubeba mizigo kwenye pwani ya Cape Town nchini Afrika Kusini kwa hofu kwamba baadhi yao wameambukizwa na virusi vya corona.

 

5 years ago

BBCSwahili

Virusi vya corona: Kijiji kilicho Afrika Kusini chajiandaa kupambana na Covid-19

Kijiji kisicho na mgonjwa wa corona kinavyojiandaa kukabiliana na ugonjwa huo huku kikikabiliwa na changamoto ukosefu wa maji

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani