Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa harakati hizi za CHADEMA, CCM ijiandae kuanguka

HONGERA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hongereni sana viongozi wa CHADEMA kwa harakati zenu za kisiasa. Wiki iliyopita, CHADEMA ilianzisha ziara ya nchi nzima kupitia Operesheni M4C Pamoja Daima...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

CCM ijiandae kuanguka na Lowassa

MBUNGE wa Monduli, Edward Lowassa (CCM), sasa ndiye anayekitesa chama chake kwa harakati zake ‘haramu’ za kuwania urais katika Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani. Nasema harakati haramu kwakuwa chama chake...

 

10 years ago

Mwananchi

9 years ago

Vijimambo

Benard Membe Afunguka Kwa Mara ya Kwanza Baada ya Kuanguka Mbio za Urais- CCM


Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe, amefunguka kwa mara ya kwanza na kuweka wazi kilichotokea mjini Dodoma na kusababisha ashindwe katika uteuzi wa kuwania urais kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Membe amekuwa kada wa tatu kueleza hadharani jinsi uteuzi huo ulivyoendeshwa ambao Waziri wa Ujenzi, Dk. John Magufuli, aliibuka kidedea kati ya makada 42 waliojitokeza kuchukua fomu ya kuomba kuteuliwa.Makada wengine waliojitokeza hadharani kuelezea mchakato huo ni...

 

10 years ago

Mwananchi

Maalim Seif: CCM ijiandae kisaikolojia kukabidhi Z’bar

Katibu Mkuu wa CUF, Maalim Seif Sharif Hamad ameitaka CCM kujiandaa kisaikolojia kukabidhi madaraka kwa chama chake baada ya Oktoba, akisema katika chama chake hakutakuwa na neno “kushindwa”.

 

11 years ago

Mwananchi

Molloimet: Kukataa serikali tatu, CCM ijiandae kuwa chama cha upinzani

Agosti 5 mwaka huu, wajumbe wa Bunge Maalumu la Katiba wanatarajiwa kuanza kukutana tena mjini Dodoma kujadili rasimu ya mabadiliko ya Katiba.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa siasa hizi, polisi, CCM mtatuingiza katika machafuko

MATUKIO ya polisi kuendelea kuua raia wasio na hatia kwa kutumia risasi za moto sehemu mbalimbali nchini, ni ishara kwamba Serikali ya CCM imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda usalama...

 

9 years ago

Mwananchi

Membe afunguka kuanguka urais CCM

Waziri wa Mambo ya Nje ya Ushirikiano wa Kimataifa, Bernard Membe amezungumzia kinyang’anyiro cha urais ndani ya CCM, akifananisha kushindwa kwake na kifo cha ghafla.

 

5 years ago

BBCSwahili

Corona Virus:Dunia lazima ijiandae kwa janga, WHO yasema

Lakini shirika la afya la Umoja wa mataifa linasema mlipuko wa virusi vya corona ubado haujafikia kiwango cha kuitwa janga.

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani