Kwa siasa hizi, polisi, CCM mtatuingiza katika machafuko
MATUKIO ya polisi kuendelea kuua raia wasio na hatia kwa kutumia risasi za moto sehemu mbalimbali nchini, ni ishara kwamba Serikali ya CCM imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda usalama...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Kwa siasa hizi tutafika tunapotaka?
WANASHERIA wana msemo wao kwamba si tu haki itendeke, bali ionekane imetendeka. Naam, baada ya kupata taarifa kwamba Ridhiwani Kikwete ameteuliwa na chama chake kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze,...
11 years ago
Tanzania Daima18 Jun
Polisi afanya siasa CCM
ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...
11 years ago
Tanzania Daima23 Apr
Hizi ni sababu dhaifu kwa Jeshi la Polisi
JESHI la Polisi nchini limefuta mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani kuhusu mchakato wa Bunge Maalumu linaloendelea, kupitia umoja wao maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Marufuku...
5 years ago
CCM Blog![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s72-c/kin.jpg)
KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI
![](https://1.bp.blogspot.com/-WdaJ4iTGcog/XtoGbOZyVOI/AAAAAAACMSU/L-PFss0IuHobtLmboSemKai5OO--fnl2ACLcBGAsYHQ/s400/kin.jpg)
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.
Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.
Katika...
11 years ago
Tanzania Daima29 Jan
Kwa harakati hizi za CHADEMA, CCM ijiandae kuanguka
HONGERA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hongereni sana viongozi wa CHADEMA kwa harakati zenu za kisiasa. Wiki iliyopita, CHADEMA ilianzisha ziara ya nchi nzima kupitia Operesheni M4C Pamoja Daima...
10 years ago
Vijimambo13 May
MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895A51A00000578-3078438-image-a-46_1431442534670.jpg)
Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895C13D00000578-3078438-image-a-47_1431442534692.jpg)
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895B5BD00000578-3078438-image-a-55_1431442615764.jpg)
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
![](http://i.dailymail.co.uk/i/pix/2015/05/12/15/2895BBA000000578-3078438-image-a-45_1431442534656.jpg)
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...
10 years ago
Tanzania Daima29 Oct
Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu
SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...
11 years ago
Mwananchi25 Jun
UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani
10 years ago
Vijimambo20 Sep
HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA
![](https://fbcdn-sphotos-c-a.akamaihd.net/hphotos-ak-xfa1/v/t1.0-9/1907844_296860830516152_1936768200218849652_n.jpg?oh=3a3c6ce546a7a1c5416e1f3681005be1&oe=54CEAEDE&__gda__=1422949262_1d62cb09b57fa35cca6b5f8edd31248b)
Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...