Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwa siasa hizi, polisi, CCM mtatuingiza katika machafuko

MATUKIO ya polisi kuendelea kuua raia wasio na hatia kwa kutumia risasi za moto sehemu mbalimbali nchini, ni ishara kwamba Serikali ya CCM imeshindwa kutimiza wajibu wake wa kulinda usalama...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa siasa hizi tutafika tunapotaka?

WANASHERIA wana msemo wao kwamba si tu haki itendeke, bali ionekane  imetendeka. Naam,  baada ya kupata taarifa kwamba Ridhiwani Kikwete ameteuliwa na chama chake  kugombea  ubunge wa  Jimbo  la Chalinze,...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Polisi afanya siasa CCM

ASKARI Polisi, Mwashibanda Shibanda wa Wilaya ya Kibondo mkoani Kigoma, anadaiwa kujihusisha na siasa za Chama Cha Mapinduzi (CCM), suala ambalo ni kinyume na taratibu za jeshi. Kwa sasa Mwashibanda...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Hizi ni sababu dhaifu kwa Jeshi la Polisi

JESHI la Polisi nchini limefuta mikutano na maandamano ya vyama vya upinzani kuhusu mchakato wa Bunge Maalumu linaloendelea, kupitia umoja wao maarufu kama Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA). Marufuku...

 

5 years ago

CCM Blog

KINANA ONYESHA UKOMAVU KATIKA SIASA, AMUOMBA RADHI MWENYEKITI WA CCM RAIS DK. MAGUFULI

CCM Blog, Arusha
Katibu Mkuu Mstaafu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahaman Kinana (pichani) amemuomba radhi Mwenyekiti wa CCM Rais Dk.John Magufuli kwa kauli mbalimbali alizotoa hadi Chama kulazimika kumpa adhabu hivi karibuni.

Kinana alitoa tamko la kumuomba radhi Mwenyekiti wa CCM, Rais Dk. Magufuli, alipozungumza na Waandishi wa habari baada ya kukutanha na Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa mkoa huo Zelothe Stephen na kufanya mazungumzo naye katika ofisi za CCM mkoa wa Arusha leo.

Katika...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Kwa harakati hizi za CHADEMA, CCM ijiandae kuanguka

HONGERA Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA). Hongereni sana viongozi wa CHADEMA kwa harakati zenu za kisiasa. Wiki iliyopita, CHADEMA ilianzisha ziara ya nchi nzima kupitia Operesheni M4C Pamoja Daima...

 

10 years ago

Vijimambo

MACHAFUKO YA BURUNDI NI MZIGO WAWAKIMBIZI TANZANIA POLISI WAZIDIWA NGUVU NA WAANDAMANAJI WENYE JAZBA



Waandamanaji wakimkimbiza polisi wa kike baada ya kukimbiwa na polisi wenzake pale polisi walivyozidiwa nguvu na waandamanaji.
Waandamanaji wamesha mkamata polisi wa kike na kumbeba mzobe mzobe amani imetoweka kabisa kwa ndugu zetu hawa.
Wakimburuza chini uku wakimshutumu kwanini wanawashuti na wao sasa watalipiza kisasi kwa kumuua kwa mikono yao.
Baati mzuri kulikuwa na wasamalia wema ambao walikuwa na roho ya utu na walimuokoa kabla ya mabaya zaidi kumkuta hii yote inatokea polisi wenzie...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Siasa sio mchezo mchafu bali CCM ndiyo yenye siasa chafu

SIASA safi ni kitu chema na siasa ni maisha na naamini Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai atakubaliana na mimi asilimia mia kwa hili na kama si kweli hapana shaka...

 

11 years ago

Mwananchi

UKWELI UTAKUWEKA HURU: Kwa ishara hizi umefika mwisho wa CCM kuwa madarakani

>Wahenga walisema, ‘kila kitu  chenye mwanzo pia kina mwisho wake.’ Usemi huu una ukweli ndani yake ingawa katika baadhi ya nyakati  unapuuzwa na watu hasa wenye upeo  mdogo wa kufikiri au wale waliochanganyikiwa.

 

10 years ago

Vijimambo

HIZI NDIO SALAMU ZA MWIGULU KWA WOTE WALIOHUJUMU FEDHA HIZI ZA UMMA

Waliosababishia Serikali hasara ya bn 40/- kukiona Na Mwandishi wetu Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu NchembaWizara ya Fedha imeziagiza taasisi zilizokabidhiwa jukumu la kuchunguza wakuu wa mashirika na taasisi za umma waliojihusisha katika kughushi malipo hewa ya wafanyakazi na kuisababishia serikali hasara ya Sh. bilioni 40 kila mwezi wafichuliwe.
 Agizo hilo lilitolewa na Naibu Waziri wa Fedha, Mungulu Nchemba, akisema wakuu hao pamoja na waajiri wametumia mwanya wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani