Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


KWAHERI ELIAS DEDE SENGEREMA

Picha ya enzi za uhai wa wake marehemu Elias Dede Sengerema. Waombolezaji wakishuka kwenye gari eneo la makabuli ya familia, Ipango, Salawe, Shinganya Vijijini.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Habarileo

Kiemba ampa somo Elias Maguli

KIUNGO wa Stand United, Amri Kiemba amemtaka mshambuliaji wa timu hiyo Elias Maguli kutokimbilia timu kubwa kipindi hiki badala yake aendelee kuitumikia timu hiyo ili kukuza kiwango chake na kupata uzoefu wa kutosha.

 

10 years ago

BBCSwahili

Barnaba Elias amebarikiwa vipaji vingi

Upande wa burudani imekuwa ni nadra kwa wanamuziki kuwa na vipaji vyote yaani uimbaji pamoja na utunzi wa nyimbo.

 

9 years ago

Raia Mwema

Kwaheri 2015

HILI ni toleo la mwisho la gazeti la Raia Mwema kwa mwaka huu wa 2015.

Mwandishi Wetu

 

10 years ago

GPL

Kwaheri phiri

Kocha Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri. Na Wilbert Molandi
KOCHA Mkuu wa Simba Mzambia, Patrick Phiri, jana alioondoka nchini kuelekea Zambia kwa mapumziko ya wiki moja, baada ya Ligi Kuu Bara kusimama kupisha michuano ya Cecafa iliyopangwa kuanza mwishoni mwa mwezi huu. Mzambia huyo, anarejea kwao baada ya kukabidhi ripoti ya raundi ya kwanza ya Ligi Kuu Bara kwa Kamati ya Utendaji ya Simba, iliyokutana hivi karibuni na...

 

11 years ago

Habarileo

Kwaheri Madiba

Mjane wa Rais wa kwanza Mwafrika nchini Afrika Kusini, Nelson Mandela, Graca Machel akimuaga mume wake. Mwili wa shujaa huyo wa dunia ulilazwa katika jengo la serikali la Union kutoa nafasi kwa wananchi kumuaga mpendwa wao. (Picha na AFP).MAELFU ya Waafrika Kusini jana walijitokeza kutoa heshima zao za mwisho kwa mwili wa Rais wa Kwanza Mweusi wa Afrika Kusini, Nelson Mandela katika majengo ya Serikali ya Union jijini Pretoria.

Wengine walijipanga barabarani kutoa heshima zao wakati mwili ukipitishwa kutoka hospitalini ulikohifadhiwa na kupelekwa katika majengo ya Union na jioni kurudishwa hospitalini.

Mwili huo ulipelekwa hapo jana asubuhi ili kutoa fursa kwa wananchi kuuaga rasmi kabla ya kusafirishwa kwenda kijijini kwao...

 

5 years ago

Wrestling Inc.

Elias Vs. King Corbin Possibly Airing On WrestleMania 36 Night One

Elias Vs. King Corbin Possibly Airing On WrestleMania 36 Night One  Wrestling Inc.Elias goes on the offensive against King Corbin after shocking return: WrestleMania 36  WWEWWE WrestleMania 36 Results: Elias And Baron Corbin’s Best Days Are Clearly Behind Them  ForbesWWE Fans Spin Smackdown's Tragic 'Disney Moment' into Internet Gold  CBR - Comic Book ResourcesElias is satisfied with his WrestleMania win: WWE Exclusive, April 4, 2020  WWEView Full coverage on Google...

 

5 years ago

Forbes

WWE WrestleMania 36 Results: Elias And Baron Corbin’s Best Days Are Clearly Behind Them

WWE WrestleMania 36 Results: Elias And Baron Corbin’s Best Days Are Clearly Behind Them  ForbesElias goes on the offensive against King Corbin after shocking return: WrestleMania 36  WWEWWE Fans Spin Smackdown's Tragic 'Disney Moment' into Internet Gold  CBR - Comic Book ResourcesWWE WrestleMania 36 (Night One) results: Elias vs. Baron Corbin  Wrestling NewsElias is satisfied with his WrestleMania win: WWE Exclusive, April 4, 2020  WWEView Full coverage on Google...

 

10 years ago

Michuzi

MARAEHEMU ELIAS ANTHONY MAPUNDA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI

1
Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy Mapunda wakiwa wamesimama mbele ya jeneza la marehemu Anthony tayari kwa kiungia katika kanisa katoliki la Mtakatifu Matha Mikocheni kwa ajili ya misa maalum ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana Fullshangwe inampa pole Ndugu Nesto Mapunda pamoja na ndugu na jamaa kwa kuondokewa na ndugu yao mpendwa marehemu Elias Anthony Mapunda. Wao walimpenda lakini mungu amempenda zaidi Mungu...

 

10 years ago

Vijimambo

MAREHEMU ELIAS ANTHONY MAPUNDA AZIKWA MAKABURI YA KINONDONI

1Kaka wa Marehemu Elias Anthony Mapunda Bw. Nesto Mapunda wa pili kutoka kulia na Mkewe Teddy Mapunda wakiwa wamesimama mbele ya jeneza la marehemu Anthony tayari kwa kiungia katika kanisa katoliki la Mtakatifu Matha Mikocheni kwa ajili ya misa maalum ya mazishi yaliyofanyika kwenye makaburi ya Kinondoni jana Fullshangwe inampa pole Ndugu Nesto Mapunda pamoja na ndugu na jamaa kwa kuondokewa na ndugu yao mpendwa marehemu Elias Anthony Mapunda. Wao walimpenda lakini mungu amempenda zaidi Mungu...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani