Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kwanini Wazungu wanaomtukuza Kikwete walimchukia Nyerere?

SEPTEMBA 20 mwaka jana, Rais Jakaya Kikwete alitunukiwa shahada ya uzamivu ya udaktari wa sheria na Chuo Kikuu cha Guelph cha nchini Canada. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Rais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere


Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiifariji familia ya marehemu John Nyerere nyumbani kwao Msasani jijini Dar es Salaam leo asubuhi. Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji Mjane wa Baba wa Taifa,...

 

10 years ago

Habarileo

Kikwete amfariji Mama Nyerere

RAIS Jakayao Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9, 2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

 

10 years ago

GPL

TOFAUTI YA MAWAZIRI WA KIKWETE NA WALE WA NYERERE!

Chama legelege huzaa serikali legelege! Haya ni maneno ya Baba wa Taifa, Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alipokuwa akizungumzia aina ya mwanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) anayefaa kuingia ikulu.  Kwamba asiwe mtu wa kutafuta uongozi kwa njia ya rushwa ili kujenga serikali imara. Tukirudi nyuma, ni falsafa hiyohiyo aliyoitumia Mwalimu Nyerere wakati akiunda serikali yake baada ya kupata uhuru wa Tanganyika Desemba...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwl. Nyerere angewakemea Mgimwa, Kikwete

BAADA ya kuona matokeo ya kura za wagombea ubunge katika majimbo ya Chalinze na Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), nilijikuta nikimkumbuka hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Nilitamani...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Mama Maria Nyerere akerwa na wanasiasa wanaomkejeli Kikwete

FAMILIA ya baba wa Taifa, Hayati mwalimu Julius Nyerere, imetoa pole kwa Rais Jakaya Kikwete, kutokana na kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Taarifa iliyotolewa jana na kusainiwa na mbunge wa...

 

10 years ago

Daily News

Kikwete consoles Nyerere's family over death of Mwalimu's son


Kikwete consoles Nyerere's family over death of Mwalimu's son
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has sent a condolence message to the wife of the Father of the Nation, Mama Maria Nyerere, following the death of her son, John Nyerere, who passed away on Saturday at Muhimbili National Hospital (MNH). In his message ...

 

10 years ago

Dewji Blog

Rais Kikwete aomboleza kifo cha John Nyerere

jon

Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salama za rambirambi kwa mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, Bw. John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9,2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam

Pamoja na salamu hizi, Rais Kikwete ambaye yuko nchini Alrgeria kwa ziara ya kikazi, amefanya mawasiliano binafsi na Mama Maria na kumpa pole kwa kuondokewa na kijana wake.

“Hakuna mzazi anayependa kuondokewa na mwanae, ni kitu kigumu sana  kwa mzazi...

 

11 years ago

GPL

RAIS KIKWETE AKIONGELEA WANAOWASEMA VIBAYA KARUME NA NYERERE

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongelea wanaowasema vibaya waasisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Hayati Abeid Aman Karume na Julius Kambarage Nyerere wakati wa mahojiano na vyombo mbalimbali vya habari Ikulu jijini Dar es salaam Aprili 15, 2014. (Video na…

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani