Kwanini Wazungu wanaomtukuza Kikwete walimchukia Nyerere?
SEPTEMBA 20 mwaka jana, Rais Jakaya Kikwete alitunukiwa shahada ya uzamivu ya udaktari wa sheria na Chuo Kikuu cha Guelph cha nchini Canada. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kurugenzi...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
VijimamboRais Kikwete aifariji familia ya Nyerere kufuatia kifo cha John Nyerere
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaini kitabu cha maombolezo leo asubuhi nyumbani kwa Baba wa Taifa Hayati Julius Nyerere nyumbani kwake Msasani jijini Dar es Salaam kufuatia kifo cha mwanaye John Nyerere kilichotokea hivi karibuni.Aliyesimama pembeni ya Rais ni mdogo wa marehemu Makongoro Nyerere.
10 years ago
Habarileo12 May
Kikwete amfariji Mama Nyerere
RAIS Jakayao Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9, 2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.
10 years ago
GPLTOFAUTI YA MAWAZIRI WA KIKWETE NA WALE WA NYERERE!
11 years ago
Tanzania Daima12 Mar
Mwl. Nyerere angewakemea Mgimwa, Kikwete
BAADA ya kuona matokeo ya kura za wagombea ubunge katika majimbo ya Chalinze na Kalenga kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), nilijikuta nikimkumbuka hayati baba wa taifa, Mwalimu Julius Nyerere. Nilitamani...
10 years ago
Tanzania Daima14 Nov
Mama Maria Nyerere akerwa na wanasiasa wanaomkejeli Kikwete
FAMILIA ya baba wa Taifa, Hayati mwalimu Julius Nyerere, imetoa pole kwa Rais Jakaya Kikwete, kutokana na kufanyiwa upasuaji wa tezi dume. Taarifa iliyotolewa jana na kusainiwa na mbunge wa...
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/yLvRo7uABBM/default.jpg)
10 years ago
Daily News12 May
Kikwete consoles Nyerere's family over death of Mwalimu's son
Daily News
PRESIDENT Jakaya Kikwete has sent a condolence message to the wife of the Father of the Nation, Mama Maria Nyerere, following the death of her son, John Nyerere, who passed away on Saturday at Muhimbili National Hospital (MNH). In his message ...
10 years ago
Dewji Blog11 May
Rais Kikwete aomboleza kifo cha John Nyerere
Rais Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salama za rambirambi kwa mama Maria Nyerere na familia yake kwa kuondokewa na mmoja wa wana familia yake, Bw. John Nyerere aliyefariki Jumamosi Mei 9,2015 katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam
Pamoja na salamu hizi, Rais Kikwete ambaye yuko nchini Alrgeria kwa ziara ya kikazi, amefanya mawasiliano binafsi na Mama Maria na kumpa pole kwa kuondokewa na kijana wake.
“Hakuna mzazi anayependa kuondokewa na mwanae, ni kitu kigumu sana kwa mzazi...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/-nMzymXXjMJ5CgPscjZefT8*-zlHFPmOe0OYFfD3wfJsKO0tX*us3lF0HR5yLa975rQcdOFkilFJ7gYpsJ7hWocXQOmJDVA7/somazaidi.gif)
RAIS KIKWETE AKIONGELEA WANAOWASEMA VIBAYA KARUME NA NYERERE