L U C Y KOMBA AMPELEKEA MZUNGU MWANAYE AMLEE

Stori: Mayasa Mariwata STAA wa filamu Bongo ambaye miezi michache iliyopita alifunga pingu za maisha na mwanaume mwenye asili ya Denmark, Lucy Komba amekwea pipa kuelekea nchini humo kwenda kuishi na mumewe sambamba na kumpelekea mwanaye amlee. Staa wa filamu Bongo, Lucy Komba akiwa na mume wake(mdenmark) wakati wa harusi yao. Akipiga stori na paparazi wetu kupitia Mtandao wa WhatsApp akiwa nchini Denmark, Lucy alisema aliamua...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Bongo Movies23 Dec
Lucy Komba Ampelekea Mzungu Mwanaye Amlee
Mwigizaji mkongwe wa filamu za kibongo ambaye miezi michache iliyopita alifunga pingu za maisha na mwanaume mwenye asili ya Denmark, Lucy Komba amekwea pipa kuelekea nchini humo kwenda kuishi na mumewe Janus, sambamba na kumpelekea mwanaye amlee.
Akipiga stori na paparazi wa GPL kupitia Mtandao wa WhatsApp akiwa nchini Denmark, Lucy alisema aliamua kuondoka kimyakimya na kumfuata mumewe kwa kuwa alimisi mambo mengi kwake, pia suala la ndoa halimuhitaji aishi mbali na mumewe na kwa kuwa...
11 years ago
GPLLUCY KOMBA: NIACHENI NIDENDEKE NA MZUNGU
11 years ago
Tanzania Daima11 Jul
Lucy Komba na Mzungu wake kuoana Septemba
UVUMI kwamba mwigizaji Lucy Komba kuwa katika mahusiano na mzungu kutoka nchini Denmark, zimedhihirika kuwa ni kweli baada ya wawili hao kupanga kufunga ndoa Septemba mwaka huu. Lucy, muongozaji, mtunzi...
10 years ago
GPL
LUCY KOMBA AGOMA KUMZALIA MZUNGU WAKE!
11 years ago
GPL
BABA ALIVYOMCHINJA MWANAYE
10 years ago
GPL
SHIJA AMWANIKA MWANAYE
10 years ago
GPL
NISHA AMWANIKA MWANAYE
11 years ago
Habarileo25 Feb
Mgimwa- Mimi si Mzungu
MGOMBEA ubunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Jimbo la Kalenga, Godfrey Mgimwa amesema hana chembe yoyote ya uzungu. Amesema anakishangaa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kwa kumtuhumu kwamba si Mtanzania.
11 years ago
GPL
DUH! MZUNGU AFUMANIWA