Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Leicester kuwapa mashabiki wake zawadi ya Krismasi?

CHELSEA'S MANAGER RANIERI LOOKS AT THE CROWD AFTER ENGLISH PREMIER LEAGUE SOCCER MATCH AGAINST LEEDS IN ...ADAM MKWEPU NA MITANDAO

KOCHA wa vinara wa Ligi Kuu England, Leicester City, Claudio Ranieri, ana mtihani mgumu leo pale timu yake itakapoikabili Everton kwenye moja ya michezo ya Ligi Kuu England.

Ushindi wa Leicester City utakua zawadi tosha kwa mashabiki wake kuelekea Sikukuu ya Krismasi kwani watakua wamejihakikishia timu yao kukaa kileleni mwa ligi wakati wa sherehe hizo.

Leicester City inajitupa uwanjani baada ya kuibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya mabingwa watetezi wa ligi,...

Mtanzania

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Ray Kuwapa Zawadi ya Pasaka Mashabiki Wake

Staa wa Bongo Movies, anaemiliki kampuni ya RJ, Vicent Kigosi (Ray) anatarajia kuachia filamu yake ya Kichwa cha Kuku tarehe 01.04.2015 kama zawadi ya pasaka kwa mashabiki wake.

Ray amesema kwenye filamu hiyo amecheza na waigizaji wengi nyota akiwemo Skyner Ally na Rayuu na kueleza kuwa  filamu hiyo inamafundisho makubwa sana kwa wanawake wanaoishi kwenye ndoa zao akifafanua filmu hiyo anasema "Unajua katika maisha siku zote mwanamke anatakiwa kujiamini na anachokokifanya usidhani kama...

 

11 years ago

GPL

SKYLIGHT BAND YAENDELEA KUWAPA RAHA MASHABIKI WAKE, NI IJUMAA HII THAI VILLAGE

Vijana wa Skylight Band wakitoa burudani Ijumaa iliyopita kwa mashabiki wao kwenye kiota cha Thai Village Masaki jijini Dar... Burudani inaendelea kama kawaida tukutane tena leo jioni......ni balaaaaa..! Divas wa Skylight Band... Kutoka kushoto ni Digna Mbepera, Mary Lucos na Aneth Kushaba AK47 wakikonga nyoyo za mashabiki wao ndani ya kiwanja chao cha nyumbani Thai Village Ijumaa iliyopita.… ...

 

9 years ago

Mtanzania

Amani atoa zawadi kwa mashabiki wake

amani4NAIROBI, Kenya

STAA wa muziki nchini Kenya, Cecilia Wairimu ‘Amani’, ametoa zawadi ya video yake mpya ya ‘Heart breaker’ kwa mashabiki wake waliokuwa wakimsubiri kwa muda mrefu.

Msanii huyo alikuwa kimya kwa muda mrefu kiasi cha kudhaniwa ameachana na muziki. Wimbo huo uliachiwa mwezi uliopita na video yake imetoka juzi,

“Najua mashabiki wangu walivunjika moyo baada ya kukaa kimya kwa muda mrefu bila kuachia wimbo, lakini kwa sasa watakuwa na furaha kutokana na video hiyo mpya, kikubwa...

 

11 years ago

Dewji Blog

Skylight Band wazidi kuwapa raha zisizo na kifani mashabiki wake Jijini Dar, usikose leo ndani ya Thai Village

Sam Mapenzi akiliazisha Taratibuuuuu ndani ya Thai Village Ijumaa iliyopita.

Vijana wa Skylight kwa Taaratibuuu wakiimba kwa hisiaa kali kuwapa burudani mashabiki wao ndani ya kiwanja cha Thai village.

Anaitwa Hashim Donode (mzee wa viduku)akiimba kwa Hisia kaliiiii kabisaaa ndani ya  kiwanja cha Thai Village Ijumaaa iliyopita ili kuwapa ile kitu  roho inapenda mashabiki  wao.

Toka kushoto Digna Mbepera akimpa sapoti ya nguvu kijana  machachariiiiii anayejulikana kwa jina la Donode...

 

10 years ago

Mtanzania

Nisha kuwapa elimu ya maisha mashabiki

nishaNA MWALI IBRAHIM, DAR ES SALAAM
MWIGIZAJI wa filamu nchini, Salma Jabu ‘Nisha’, amesema anatarajia kuachia kazi yake mpya aliyoipa jina la ‘Shida’, ambayo itatoa mafunzo kwa mashabiki kukabiliana na hali yoyote ya maisha.
Akizungumza na MTANZANIA jana, Nisha alisema filamu hiyo inatarajia kuingia sokoni mwishoni mwa mwezi huu, ambapo ameweza kumshirikisha nguli mwingine, Gabo.
“Mashabiki wakae tayari kwa ujio wangu mpya naamini watajifunza vitu vingi vinavyohusu maisha yetu ya Kitanzania...

 

10 years ago

BBCSwahili

Suarez atoa zawadi ya krismasi

shambuliaji wa Barcelona, Luis Suarez ametoa zawadi kwa watoto 500 na familia zao.

 

11 years ago

Habarileo

JK atoa zawadi ya Sikukuu ya Krismasi

RAIS Jakaya Kikwete, ametoa kilo za mchele 1,200, lita za mafuta 220 na mbuzi 25 kwa ajili ya zawadi ya Sikukuu ya Krismasi kwa makundi maalumu.

 

9 years ago

Habarileo

Simba, Yanga zasaka zawadi ya Krismasi

LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea leo kwa mechi sita kuchezwa katika viwanja mbalimbali kusaka pointi tatu muhimu na kutoa ‘zawadi’ ya Krismasi kwa mashabiki wake. Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam, Yanga ambao ni mabingwa watetezi wataikaribisha Mbeya City, mchezo ambao unatarajiwa kuvuta hisia za mashabiki wakitaka kujua nini kitavunwa leo.

 

9 years ago

Michuzi

BENKI YA CRDB TAWI LA WATER FRONT WAWASHUKURU WATEJA KWA KUWAPA ZAWADI JIJINI DAR LEO.

 Meneja wa Benki ya CRDB  tawi la Water Front, Donath Shirima akimkabidhi tunzo katika ofisi za Mkurugenzi Mkuu wa kampuni ya Reli, Benhdard Tito,kwa kumshukuru kuwa mteja benki hiyo katika tawi la Water Front kwa kuadhimisha wiki ya huduma kwa mteja inayoendelea kufanyika katika tawi hilo jijini Dar es Salaam leo. Meneja wa Benki ya CRDB  tawi la Water Front, Donath Shirima akimkabidhi tunzo, Mkurugenzi Mkuu wa Fedha wa kampuni ya NAS, Prakash Shenoy kumshukuru mteja huyo wakati wa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani