LEO NI SIKU YA MASHUJAA
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza sherehe za Maadhimisho ya Siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa Mkoani Kagera katika Kambi ya Jeshi la Wananchi Kaboya Wilayani Muleba. Kumbukumbu ya Mashujaa huadhimishwa kila mwaka jana Julai 25, 2013 ambapo mashujaa waliopigana vita katika kuikomboa nchi kutoka katika utawala wa wakoloni au kuikomboa nchi yao na wavamizi kama Nduli Idd Amini. Katika kuadhimisha siku hiyo ya Mashujaa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
Michuzi
Habari Zinazoendana
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/mrjGDDFzeeHUNvnZryrKF5jUJRlx1qcWZtMc91fkrOvPYv*vN-fdNoKU9X1owJqjgkGH30F4lfFnrSrnvGP-aX6h6jZm*5er/ma39.jpg?width=650)
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA LEO
11 years ago
CloudsFM26 Jul
RAIS KIKWETE MGENI RASMI KWENYE MAADHIMISHO YA SIKU YA KUMBUKUMBU YA MASHUJAA SIKU YA JANA
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika jana katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam.
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa iliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam jana. Wengine ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-psC6Tb5Q4Do/VbO079OpTgI/AAAAAAAD0xY/iLQ7P07Z81Q/s72-c/01.%2BASKARI%2BWAKILIPUA%2BRISASI%2BHEWANI%2BWAKATI%2BWA%2BMAADHIMISHO%2BMWANZA..jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA MWANZA.
![](http://1.bp.blogspot.com/-psC6Tb5Q4Do/VbO079OpTgI/AAAAAAAD0xY/iLQ7P07Z81Q/s640/01.%2BASKARI%2BWAKILIPUA%2BRISASI%2BHEWANI%2BWAKATI%2BWA%2BMAADHIMISHO%2BMWANZA..jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-TDhqRJum8MM/VbO076tGEZI/AAAAAAAD0xU/U8rmMgFIUmc/s640/02.ASKOFU%2BSABINIUS%2BISSAYA%2BAKITOA%2BSALA%2BWAKATI%2BWA%2BMAADHIMISHO%2BYA%2BSIKU%2BYA%2BMASHUJAA%2BMWANZA..jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-iOnWNpY15Mo/VbO07z8xp4I/AAAAAAAD0xc/ngbFXf2BANs/s640/03.%2BBASE%2BKAMANDA%2BAKIPOKEA%2BSIME%2BKUTOKA%2BKWA%2BMOJA%2BYA%2BASKARI%2BJESHI%2BTAYARI%2BKUWEKA%2BKATIKA%2BMNARA%2BWA%2BMASHUJAA..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-h3Q1Wo06WW0/VbO08mW5zuI/AAAAAAAD0xg/PvChXAO40EY/s640/04.%2BDUWA%2BIKISOMWA%2BNA%2BSHEIKH%2BKWA%2BNIABA%2BSHEIKH%2BWA%2BMKOA..jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-IwMl7A0vnlI/VbO085LSiqI/AAAAAAAD0x4/RQSHY-DbSTE/s640/05.%2BMDAU%2BATLEY%2BKUNI%2BKATIKA%2BSIKU%2BYA%2BMASHUJAA%2BHAPA%2BKATIKA%2BPICHA%2BYA%2BENEO%2BLA%2BUKUMBUSHO.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-cPWhUl_USQI/VbO09E0lRqI/AAAAAAAD0xk/wsl3y-j6heo/s640/06.%2BKANALI%2BKIVAMBA%2BAMBAYE%2BNI%2BBASE%2BCOMMENDER%2BAKIWEKA%2BSIME%2BWAKATI%2BWA%2BMAADHIMISHO%2BHAYO.1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-H5bIQhLE_NE/VbO09Vx3xuI/AAAAAAAD0x0/fzhqWtTfDYg/s640/07.HAPA%2BWANAJESHI%2BWAKIENDELEA%2BNA%2BGWARIDE%2BLA%2BSIKU%2BYA%2BMASHUJAA..jpg)
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/1-Askari-wa-kikosi-cha-bendeara-kutoka-JWTZ-wakiwa-kwenye-mazoezi-kama-inavyoonekana-pichani..jpg)
MAADHIMISHO YA SIKU YA MASHUJAA YAIVA
11 years ago
Tanzania Daima26 Jul
Siku ya Mashujaa yatawaliwa na maombi ya katiba
MAADHIMISHO ya Siku ya Mashujaa jana yalitawaliwa na maombi kutoka kwa viongozi wa dini ya kuiombea serikali na mchakato wa katiba unaoendelea nchini. Katika maadhimisho hayo ambayo yaliongozwa na Rais...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Q9JKAyO9-k6VenL0ZqptbYGA0z2IYjbRGaRZR6qwjeWbbHKedGIBYMK9HR3nwlUmm3Gnax4vdzfiJ2X*-wtfKx68nWLAbXLj/Pichana1..jpg?width=650)
RAIS JAKAYA KIKWETE MGENI RASMI SIKU YA MASHUJAA.
10 years ago
Vijimambo10 Oct
Mwisho Urejeshaji Fomu Shindano la Mashujaa wa Kesho ni leo
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki..jpg)
![Vijana katika biashara ya uuzaji mapambo mbalimbali](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-mapambo-mbalimbali.jpg)
![Vijana katika biashara ya uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-uuzaji-samaki.1.jpg)
![Vijana katika biashara ya ukaangaji na uuzaji samaki.](http://www.thehabari.com/wp-content/uploads/2014/10/Vijana-katika-biashara-ya-ukaangaji-na-uuzaji-samaki..jpg)
Na Mwandishi Wetu, Mtwara WAKATI siku ya mwisho ya urejeshaji wa fomu kwa vijana watakao shiriki Shindano la Mashujaa wa Kesho ukiwadia na dirisha la upokeaji fomu hizo kutarajiwa kufungwa leo majira ya saa nane idadi ya vijana waliorejesha fomu hizo imeendelea kupanda. Akizungumzia zoezi hilo juzi mchana,...
11 years ago
Tanzania Daima23 May
Mashujaa kuwashukuru mashabiki
BENDI ya muziki wa dansi ya Mashujaa, wanatarajiwa kufanya ziara nchi nzima ikiwa na lengo la kutoa shukrani kwa wadau wao waliofanikisha kutwaa tuzo nane za Kilimanjaro Music ndani ya...
11 years ago
Mtanzania27 Jul
JK aongoza kumbukumbu ya mashujaa
![Rais Jakaya Kikwete](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/07/Jakaya-Kikwete1.jpg)
Rais Jakaya Kikwete
Na Patricia Kimelemeta
RAIS Jakaya Kikwete, jana aliongoza mamia ya wananchi na wageni mbalimbali kutoka ndani na nje ya nchi katika maadhimisho ya siku ya mashujaa nchini, ambapo kitaifa yalifanyika katika Viwanja vya Mnazi Mmoja, jijini Dar es Salaam.
Maadhimisho hayo yaliyoanza saa tatu kamili asubuhi na kumalizika saa tano, yalipambwa na gwaride rasmi la maombolezo ya mashujaa hao kutoka kwa majeshi ya ulinzi na usalama.
Wakizungumza wakati wa kuomba dua ya...