Mashujaa kuwashukuru mashabiki
BENDI ya muziki wa dansi ya Mashujaa, wanatarajiwa kufanya ziara nchi nzima ikiwa na lengo la kutoa shukrani kwa wadau wao waliofanikisha kutwaa tuzo nane za Kilimanjaro Music ndani ya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPLEFM 93.7 KUFANYA TAMASHA LA MUZIKI MNENE KUWASHUKURU MASHABIKI
10 years ago
Mtanzania12 Aug
Mapacha watatu kuwashukuru Bagamoyo
NA MWALI IBRAHIM
BENDI ya muziki wa dansi ya Mapacha Watatu inatarajia kufanya onyesho maalumu kwa ajili ya shukrani kwa mashabiki wao wa Bagamoyo kutokana na kura walizowapigia hadi wakashinda tuzo za kili.
Mmoja wa viongozi wa bendi hiyo, Khalid Chuma ‘Chokoraa’ alisema, onyesho hilo litafanyika Ijumaa ijayo kwa kutoa nyimbo mbili mpya ambazo ni ‘Mapacha wasasa’ na ‘Wabaya watu’.
“Mashabiki wetu walituwezesha kupata tuzo mbili kwenye mchakato wa tuzo za Kilimanjaro zikiwa ni ‘Mtunzi bora’...
9 years ago
Mtanzania16 Dec
Lowassa kuanza ziara ya kuwashukuru wananchi
Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
ALIYEKUWA mgombea urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), chini ya mwamvuli wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Edward Lowassa, anatarajia kufanya mkutano wa hadhara kesho jijini Tanga, ikiwa ni sehemu ya ziara ya kuwashukuru Watanzania waliompigia kura wakati wa uchaguzi mkuu.
Taarifa iliyotolewa kwa vyombo vya habari Dar es Salaam jana na Mkuu wa Idara ya Habari na Mawasiliano wa Chadema, Tumaini Makene, ilisema katika ziara hiyo Lowassa...
9 years ago
Dewji Blog27 Nov
Mbunge wa Ubungo Said Kubenea awatembelea wananchi wake kuwashukuru!
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://2.bp.blogspot.com/-NkUVkZUtc8k/VnDAEhIx51I/AAAAAAAAXdQ/hxnQy9uNFZ8/s72-c/8-chadema.jpg)
MHESHIMIWA EDWARD LOWASSA KUFANYA ZIARA YA KUWASHUKURU WAPIGA KURA
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-z16N9rsDTLw/Va9c0-7VjQI/AAAAAAAHq-g/NoZnOsgyGW4/s72-c/_MG_9176.jpg)
MAGUFULI AENEDELEA KUJITAMBULISHA NA KUWASHUKURU WANACHI WA CHATO MPAKA DODOMA KWA KISHINDO.
![](http://4.bp.blogspot.com/-z16N9rsDTLw/Va9c0-7VjQI/AAAAAAAHq-g/NoZnOsgyGW4/s640/_MG_9176.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-IusBAqaNXZ8/Va9cs4g2SEI/AAAAAAAHq-A/MHizzm8rZL0/s640/_MG_9110.jpg)
9 years ago
MichuziKUBENEA AWATEMBELEA WANANCHI WAKE KUWASHUKURU KWA KUMCHAGUA NA KUJUA CHANGAMOTO ZAO
10 years ago
Dewji Blog15 Jul
Mgombea mwenza, Samia Suluhu, awaaga na kuwashukuru wafanyakazi wenzake ofisi ya Makamu wa Rais
![](http://4.bp.blogspot.com/-CYqE0xCwXUo/VaYlj1IyKBI/AAAAAAACfr8/EHfv3Jfp5Z8/s640/03.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-HSnE6FiMaPA/VaYnvictEfI/AAAAAAACfvg/yEb7H3eNWx8/s640/01.jpg)