Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LINAH KUNA STAA ALITAKA TUFANYE USAGAJI

Makala: Joseph Shaluwa
NIKISEMA msichana huyu ni kati ya mastaa wa Bongo Fleva wanaofanya vizuri nitakuwa sijampa sifa za bure! Ni kweli anaweza. Sauti yake, anavyoweza kutawala jukwaa ni kati ya mambo yanayosherehesha sifa hiyo. Staa wa Bongo Fleva Linah Sanga akisikiliza kwa makini baadhi ya maswali ya wanahabari wa GPL. Ni msichana mdogo tu, mzaliwa wa tatu kati ya watano kutoka familia ya mzee Peter Sanga. Jina lake...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Bongo Movies

Hii Ndio Show na Kauli ya Mwisho ya Sharo, Sikujua Kwanini Alitaka Tufanye Kazi na Stanbakora-KITALE

Show ya mwisho kufanya na marehemu sharo ilikuwa mwembe yanga show ya DTV nakumbuka ilikuwa inaitwa "NI WAKATI WAKO" baada ya hapo kesho asubuhi tukaenda tanga kushuti movie yetu hii (Safara Hasara) ambayo 20/04/2015 ndio inatoka tukamaliza kushuti salama salimini tukarudi DAR usiku napigiwa simu na marehemu sajuki anataka niende kwenye show yake iringa CHANGIA SAJUKI tarehe 25/11/2012 akabaki kwa sababu alikuwa katoka magomeni kaamia sinza ana siku mbili bado mgeni sinza basi mimi nikafanya...

 

9 years ago

Dewji Blog

SHAMBULIZI LA PARIS: Polisi wasema kuna mshambuliaji mmoja wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani!

 

Paris-shooting (5)

Wanahabarina mashabiki wa soka wakiwa wamejikusanya ndani ya uwanja huo wa mpira ambao nje kulitokea mlipuko huo wa mabomu uliouwa watu zaidi ya 120 usiku wa Novemba 13.2015 katika jiji la Paris.

Na Rabi Hume na mashirika ya habari

Polisi waliokuwa wakikagua mashabiki wa mpira waliokuwa wakiingia uwanjani katika mchezo wa kirafiki kati ya Ufaransa na Ujerumani wameuambia mtandao wa Wall Street Journal kuwa kuna mshambuliaji wa tukio hilo alitaka kuingia uwanjani.

Polisi wamesema kuwa...

 

10 years ago

GPL

JOKATE: MAPENZI YA STAA KWA STAA MBONA POA TU!

Jokate Mwegelo ‘Kidoti’. Saphyna Mlawa, Dar es Salaam
ANAJULIKANA kwa jina la Jokate Mwegelo ‘Kidoti’, alianza kupata umaarufu kupitia fani ya urembo lakini kwa sasa sauti yake kusikika kwenye Bongo Fleva na kazi zake za urembo ndizo zinamfanya asomeke kwenye vyombo vya habari. Mwanamuziki Ali Kiba. Jokate ambaye alitumia alama iliyopo kwenye uso wake kujipa jina la utani la Kidoti, amezungumza na...

 

9 years ago

MillardAyo

Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi

Ikiwa ni zaidi ya wiki moja toka mchezaji wa timu ya taifa ya Honduras Arnold Peralta itangazwa kauwawa kwa risasi, December 28 mitandao mingi ya Ulaya imeripoti kifo cha staa mwingine wa soka aliyeuwawa kwa kupigwa risasi. December 27 aliyekuwa mchezaji wa timu ya taifa ya El Salvador Alfred Pacheco ameuawa kwa kupigwa na risasi wakati akiwa […]

The post Baada ya kuuwawa kwa risasi kwa staa wa soka wa Honduras, staa mwingine tena kauwawa kwa risasi appeared first on...

 

11 years ago

GPL

WOLPER ATESWA NA USAGAJI

Stori: Mayasa Mariwata
MWIGIZAJI Jacqueline Wolper, amesema anaumizwa sana na tetesi zinazozagaa kama moto wa kifuu kitaani kuwa anajihusisha na vitendo vya usagaji. Jacqueline Wolper. Akizungumza na paparazi wetu kuhusiana na skendo hiyo, mwanadada huyo alisema, akiwa kama mwanamke anayejitambua na kumtukuza vyema Mungu wake jambo hilo limekuwa likimuumiza. “Roho inaniuma sana kuhusiana na hizo taarifa sijui niongee...

 

10 years ago

GPL

NIMETENGWA, KISA USAGAJI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa Filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’ amesema sasa hivi yuko kwenye wakati mgumu kutokana na baadhi ya marafiki na ndugu kumtenga wakimhusisha na skendo ya usagaji. Msanii wa Filamu za Kibongo, Isabela Francis ‘Vai wa Ukweli’. Akichonga na paparazi wetu, Vai alisema amekuwa akiumia na kukosa raha kwani kila kona anayokatiza anaitwa msagaji kutokana na...

 

10 years ago

GPL

SMS ZA USAGAJI ZA ANTI LULU ZANASWA

Stori: Waandishi Wetu Kimenuka! Mama mmoja mkazi wa Sinza jijini Dar es Salaam, aliyejitambulisha kwa jina la Mama Zahara, ameibuka na madai mazito akimtuhumu msanii wa filamu ambaye pia ni mjasiriamali, Lulu Mathias Semagongo ‘Anti Lulu’ kumtumia ‘SMS’ za usagaji mwanaye aitwaye Zahara, Ijumaa lina kisa na mkasa.
Mama huyo, akiwa amefura, alitinga kwenye Ofisi za Magazeti Pendwa ya Global Publishers...

 

11 years ago

GPL

AUNTY LULU: NITAFANYA DHAMBI ZOTE SI USAGAJI

Stori: Gladness Mallya
MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ amefunguka kuwa yupo tayari kutenda dhambi zote lakini si ya usagaji. MSANII wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’. Akistorisha na Bongowood hivi karibuni, Aunty Lulu alisema usagaji umekithiri kwa mastaa wa kike Bongo na ameshuhudia baadhi yao (hakuwataja majina) wakiwadekea wanawake wenzao ‘kimalovee’....

 

10 years ago

GPL

AUNTY LULU AMWANGUKIA MAMA’KE KWA USAGAJI

Stori: Imelda Mtema
SORY! Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ amefunguka kuwa skendo ya kujihusisha ya vitendo vya kisagaji inayomuandama imemsababishia msala mkubwa kwa mama yake na kuamua kumuomba radhi. Staa wa filamu Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ akiwa ndani ya ofisi za Global. Akizungumza na paparazi wetu, Aunty Lulu alisema mama yake ana ugonjwa wa presha hivyo amejirekebisha...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani