LIPUMBA AWASIHI JUVICUF WASIANDAMANE, WAKUBALIANA NAYE
Polisi wakiwa wamejiimarisha kuzuia maandamano ya Vijana wa CUF eneo la Buguruni. Wananchi wakijadiliana kuhusu tukio…
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo17 Sep
MCHUNGAJI MTIKILA AIBUKA NA KIHOJA HIKI LEO,NAYE AUNGANA NA LIPUMBA NA SLAA KUIMBA WIMBO WA LOWASSA,SOMA HAPO KUJUA
NA KAROLI VINSENTMWENYEKITI wa cha Democratic Party (DP), Christopher Mtikila ameibuka na kihoja pale alipowataka Watanzania siku ya kupiga kura tarehe 25 octoba mwaka huu kutoipigia kura kipengele cha Urais na wataka watanzaniakuwachagua wabunge na Madiwani peke yake,kwakuwa wagombea wote wa urais waliosiamishwa kwenye vyama vayo hawana uwezo wa kuliongoza taifa hili.Kauli ya hiyo ya Mchangaji Mtikila ameitoa leo Jijini Dar es Saalam wakati wa mkutano na waandishi wa Habari ambapo...
10 years ago
Daily News13 Feb
Police say no to planned JUVICUF demo
IPPmedia
Daily News
THE police in Dar es Salaam have banned a demonstration by the youth wing of the Civic United Front, JUVICUF, planned for Friday to urge the National Electoral Commission (NEC) to increase days for registration in the Biometric Voter Register (BVR) from ...
CUF youth wing set to demonstrate todayIPPmedia
all 4
11 years ago
GPL![](http://1.bp.blogspot.com/-pLspje4uoXs/Ur2H2KTg_VI/AAAAAAAAxis/MqgxTn2UT4o/s640/01.JANUARY+MAKAMBA+5.jpg?width=640)
MAKAMBA AWASIHI BODABODA WA MWANZA
11 years ago
Mwananchi22 Jul
Dk Kashilillah awasihi wabunge wanawake
10 years ago
Habarileo09 Mar
Askofu Anglikana awasihi Watanzania kuhusu uchaguzi
ASKOFU wa Kanisa la Anglikana Tanzania Dayosisi ya Dodoma, Dk Dickson Chilongani amewataka Watanzania wasikubali kuchaguliwa viongozi kwa maslahi binafsi.
10 years ago
Dewji Blog21 Sep
Afande Sele awasihi wasanii kuwa na moyo wa kusaidiana
![](http://2.bp.blogspot.com/-3Dd2xTKMBHY/VB64CVvJVeI/AAAAAAACrUs/K9a-pgpi8JQ/s1600/1.jpg)
Baadhi ya Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza jioni ya leo kwenye tamasha la Fiesta 2014 lenye kauli mbiu (sambaza upendo) wakiwasili mapema leo mchana nyumbani kwa Mama Mkwe wa Afande Sele,mtaa wa Amani mjini Morogoro kwa madhumuni ya kutoa pole kwa Afande Sele pamoja na Familia ya marehemu ya aliyekuwa Mzazi mwenzake Afande Sele,Marehemu Asha aliyetambulika zaidi kwa jina la Mama Tunda,ambaye leo anatimiza siku Arobaini tangu afariki na kuzikwa.
![](http://1.bp.blogspot.com/-Pm-4pKjmoD8/VB64GRimMhI/AAAAAAACrVg/fh8A39hukbc/s1600/2.jpg)
Baadhi ya Wasanii wanaotarajiwa kutumbuiza...
10 years ago
Mtanzania09 Sep
JK, Ukawa wakubaliana
![Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/09/Ukawa-Ikulu.jpg)
Rais Jakaya Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TDC) alipokutana nao jana Ikulu ndogo mjini Dodoma. Picha na Ikulu
NA WAANDISHI WETU DAR, DODOMA
HATIMAYE mvutano kati ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) na Serikali umefikia kikomo baada ya pande mbili hizo kukubaliana na Rais Jakaya Kikwete kuboresha Katiba ya mwaka 1977 na kuingia kwenye Uchaguzi Mkuu mwakani.
Hatima hiyo ilifikiwa jana kwenye kikao kilichofanyika kati ya Rais Kikwete na Kituo cha Demokrasia...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-AZKKtQUwhFk/VaSpLlZQn7I/AAAAAAABCec/ivhiSjbWdVU/s72-c/693.jpg)
MAKAMU WA KWANZA WA RAIS ZANZIBAR, BALOZI SEIF AWASIHI WAUMINI WA KIISLAMU KUFUTURU PAMOJA
![](http://4.bp.blogspot.com/-AZKKtQUwhFk/VaSpLlZQn7I/AAAAAAABCec/ivhiSjbWdVU/s640/693.jpg)
Waumini wa Dini ya Kiislamu Nchini wanapaswa kuurejesha tena utamaduni wao wa asili wa kufutari pamoja nje ya Nyumba zao kama walivyokuwa wakifanya wazee wa zamani ili kuongeza upendo baina yao.
Ukumbusho huo umetolewa na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi mara baada ya futari ya pamoja iliyotayarishwa na Kampuni ya Vitega Uchumi ya Jamani na kuwashirikisha baadhi ya...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s72-c/16.jpg)
WAZIRI MEMBE AWASIHI WATANZANIA KUTOCHAGUA VIONGOZI WANAOSAKA UONGOZI KWA KUTOA RUSHWA
![](http://3.bp.blogspot.com/-ZYtRNgnAcoo/VWtgpizxV1I/AAAAAAAC5Q8/rD8UAIgG4Vs/s640/16.jpg)
lililofanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari Benjamin Mkapa na kudhaminiwa na Kampuni ya Dira ya Mtanzania. PICHA NA MICHUZI JR.PICHA ZAIDI BOFYA HAPA
![](http://2.bp.blogspot.com/-Q4Nn6kOfI3M/VWtgplbIDGI/AAAAAAAC5Q4/dsuPNWP8-7w/s640/17.jpg)