Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Liverpool yaponea chupu chupu

Steve Gerrard aliifungia Liverpool kupitia mkwaju wa penalti na kuisaidia klabu yake kuilaza Fulham 3-2

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

YANGA NA ZIMBABWE CHUPU CHUPU MILL 100

Mechi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya FC Platinum ya Zimbambwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumapili imeingiza Sh 91,660,000.Kitita hicho cha Sh milioni 91 kimetokana na watazamaji 14,563 waliokata tiketi kushuhudia mchezo huo.Yanga iliwakung'uta Wazimbabwe hao kwa mabao 5-1 katika mechi hiyo ya kwanza ya Kombe la Shirikisho.Mgawanyo: Mgawanyo wa mapato katika mchezo huo ni, VAT 18% Sh 13,982,033, Gharama ya tiketi Sh 12,380,000, Uwanja 15% Sh ...

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto albino chupu chupu

IGP Ernest ManguMTOTO wa umri wa miaka sita, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), anayeishi Kijiji cha Ndoleleji, amekoswakoswa na watu waliokuwa wakimvizia akiwa katika michezo, baada ya watoto wenzake kuchukua uamuzi wa kumlinda.

 

11 years ago

Mwananchi

Simba yaponea chupuchupu

Timu ya Simba, jana iliponea chupuchupu kuchapwa na Mtibwa Sugar katika mechi ya Ligi Kuu Bara baada ya kulazimisha sare ya bao 1-1 katika mechi iliyochezwa kwenye Uwanja wa Jamhuri, Mrogoro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ndege ya Lufthansa yaponea ajali

Ndege ya kampuni ya Ujerumani ya Lufthansa imenusurika na ajali baada ya kuepuka kugongana na ndege isiyokua na rubani

 

11 years ago

BBCSwahili

Brazil yaponea kuaga mashindano

Brazil imeponea kuaga kombe la dunia kwa mikwaju ya penalti dhidi ya Chile

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria yaponea marufuku ya FIFA

Fifa imethibitisha kuwa Nigeria imefanikiwa kukwepa kupigwa marufuku kutoka kwa soka ya kimataifa.

 

10 years ago

BBCSwahili

ManCity yaponea huku United ikishinda

Mabingwa wa ligi ya Uingereza Manchester City wamewachwa kwa alama nane na viongozi wa Ligi hiyo kufikia sasa Chelsea

 

5 years ago

BBC

Watford 3-0 Liverpool: Liverpool 'unburdened' as unbeaten run comes to end

Liverpool's trip to Watford was supposed to be a landmark day for the Reds but it ended up being one for the wrong reasons, reports Gary Rose.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani