Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


YANGA NA ZIMBABWE CHUPU CHUPU MILL 100

Mechi ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika kati ya Yanga dhidi ya FC Platinum ya Zimbambwe kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam, Jumapili imeingiza Sh 91,660,000.Kitita hicho cha Sh milioni 91 kimetokana na watazamaji 14,563 waliokata tiketi kushuhudia mchezo huo.Yanga iliwakung'uta Wazimbabwe hao kwa mabao 5-1 katika mechi hiyo ya kwanza ya Kombe la Shirikisho.Mgawanyo: Mgawanyo wa mapato katika mchezo huo ni, VAT 18% Sh 13,982,033, Gharama ya tiketi Sh 12,380,000, Uwanja 15% Sh ...

Vijimambo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Liverpool yaponea chupu chupu

Steve Gerrard aliifungia Liverpool kupitia mkwaju wa penalti na kuisaidia klabu yake kuilaza Fulham 3-2

 

10 years ago

Habarileo

Mtoto albino chupu chupu

IGP Ernest ManguMTOTO wa umri wa miaka sita, mwenye ulemavu wa ngozi (albino), anayeishi Kijiji cha Ndoleleji, amekoswakoswa na watu waliokuwa wakimvizia akiwa katika michezo, baada ya watoto wenzake kuchukua uamuzi wa kumlinda.

 

10 years ago

Bongo5

New Music: Gosby f/ Meek Mill — O To 100/ The Catch Up Remix

Ngoma mpya ya Gosby kutoka kwenye mixtape yake ‘MissTape’ yenye nyimbo nyimbo takriban 15. Gosby aliiambia Bongo5 kuwa kila wiki atakuwa akitoa ngoma moja. Hii ni O To 100/ The Catch Up Remix aliyomshrikisha Meek Mill.

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaiadhibu Platnum ya Zimbabwe 5-1

Timu ya Yanga nchini Tanzania imejisafishia njia ya kuendelea na michuano ya Kombe la Shirikisho barani Afrika

 

10 years ago

Mtanzania

Yanga kazi moja tu Zimbabwe

NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

WAWAKILISHI wa pekee Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga leo itakuwa na kazi moja tu ya kuhakikisha inapata sare au ushindi dhidi ya wapinzani wao, FC Platinum ya Zimbabwe ili kusonga mbele kwenye michuano hiyo.
Yanga itashuka kwenye uwanja wa ugenini wa Mandava kuvaana na wenyeji wao katika mchezo wa marudiano, huku ikiwa na mtaji wa mabao 5-1 walioupata katika mchezo wa awali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es...

 

10 years ago

BBCSwahili

Yanga yaapa kuia Platinum FC ya Zimbabwe

Serikali ya Tanzania imeipatia klabu ya Yanga ndege kwa kwenda Zimbabwe kucheza mechi ya marudiano dhidi ya wenyeji, Platinum FC.

 

10 years ago

Vijimambo

Milioni 100 zaiua Yanga U/Taifa

Wachezaji wa Yanga (kijani na njano) wakichakarika mbele ya wapinzani wao, Ndanda FC, katika mechi ya ligi kuu bara kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam jana Jumapili. By Khatimu Naheka Timu hiyo ambayo imesajili wachezaji wengi chipukizi na wasio na uzoefu, imewahi kukanya Dar es Salaam mara moja tu lakini walipofika kwenye Stand Kuu ya Mabasi Ubungo wakaonyeshwa uelekeo wa Mbagala ambako walikwenda kucheza na JKT Ruvu na walipotoka wakapitiliza kwao Mtwara wakabaki kuusikia tu...

 

10 years ago

Vijimambo

YANGA NG'ARI NG'ARI TAIFA SASA KWENDA ZIMBABWE WAKIWA NA MZUKA ZAIDI

Amisi na Msavu waing'arisha Yanga taifa kiroho safi warudi kileleni baada ya kuilaza Kagera 2-1 sasa kwenda Zimbabwe wakiwa full mziki kiroho safi.

Simba huko Tanga wakalia kigoda na kuogeshwa mara 2 bila majibu na maafande wa mgambo JKT licha ya majigambo mengi baada ya kuilaza Yanga na Mtibwa, wagoma kuingia vyumba vya kubadirishia nguo na kwenda kubadirishia kwenye basi lao

 

9 years ago

Michuzi

The BBC hosts debates throughout Africa as part of the 100 Women season More than 100 conversations across the world will discuss what it means to be a “good girl” or an “ideal woman”

On 1st December, BBC 100 Women – a season dedicated to shining a light on women’s lives around the world –will bring together a series of debates from across the globe, to be broadcast live on television on BBC World News, on Radio on the BBC World Service and online on bbc.com.
The BBC will host debates throughout the day at BBC Broadcasting House in London, while more than 100 conversations will happen across the globe in eight languages. In Africa, many groups across the continent will...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani