Yanga kazi moja tu Zimbabwe
NA MWANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
WAWAKILISHI wa pekee Tanzania katika michuano ya Kombe la Shirikisho, timu ya Yanga leo itakuwa na kazi moja tu ya kuhakikisha inapata sare au ushindi dhidi ya wapinzani wao, FC Platinum ya Zimbabwe ili kusonga mbele kwenye michuano hiyo.
Yanga itashuka kwenye uwanja wa ugenini wa Mandava kuvaana na wenyeji wao katika mchezo wa marudiano, huku ikiwa na mtaji wa mabao 5-1 walioupata katika mchezo wa awali uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-thcW9dlQuvI/VX3D-_hkKbI/AAAAAAAAIy0/Jo4zjjuzOc0/s72-c/Zimbabwe%2Bvs%2BUS%2524.jpg)
10 years ago
BBCSwahili16 Mar
Yanga yaiadhibu Platnum ya Zimbabwe 5-1
10 years ago
BBCSwahili01 Apr
Yanga yaapa kuia Platinum FC ya Zimbabwe
10 years ago
Mwananchi16 Sep
Diamond, Flavour, katika kazi moja
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/TARUKDkBK7q1qV2InaM2r6s0EuzZOZB7vxSymLsj1U3OOkjNdAg3xE-pa0Y3d0xpP2EQ0w75FdT*6QVp6sG2uLjTqlCUrZtl/faida.jpg)
FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Alvera: Tulikwenda sekondari Rugambwa kwa kazi moja tu
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9aUnvOUxlX2LaeHEnGbWV6FIBSalNvAvlmLeXT7Xr0nOJa4jA7WYEs23h4g3fE9Jvkmg8BLRPwKV6zz7RgznLj/MAHABA.jpg)
FAIDA, HASARA ZA WAPENZI KUFANYA KAZI OFISI MOJA -2
9 years ago
Habarileo05 Nov
Yanga waenda likizo wiki moja
UONGOZI wa timu ya soka ya Yanga umetoa mapumziko ya wiki moja kwa wachezaji wake hadi Novemba 12, mwaka huu baada ya Ligi Kuu ya Tanzania Bara kuwa imesimama kwa muda.
9 years ago
Mtanzania29 Dec
Yanga, Azam kundi moja Mapinduzi
HUSSEIN OMAR NA KOMBO ALI, ZANZIBAR
KLABU za Yanga na Azam zimepangwa kundi moja kwenye michuano ya Kombe la Mapinduzi, ambayo inatarajiwa kuanza kutimua vumbi visiwani Zanzibar, Januari 2, mwakani katika Uwanja wa Amaan.
Kwa mujibu wa ratiba iliyopangwa jana, Yanga na Azam wako Kundi B la michuano hiyo pamoja na timu za Mafunzo na Mtibwa Sugar ya Ligi Kuu Tanzania Bara.
Wakati Kundi A, lina timu za Simba, URA ya Uganda, JKU ya Unguja na Jamhuri ya Pemba kundi ambalo linaonekana kuwa dhaifu...