Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LIWALE JIMBO LENYE MATATIZO LUKUKI

Liwale ni moja kati ya wilaya 6 za Mkoa wa Lindi Kusini mwa Tanzania. Upande wa Kaskazini inapakana na Mkoa wa Pwani, Mashariki inapakana na Wilaya ya Kilwa, Kusini inapakana na Wilaya ya Ruangwa na Magharibi inapakana na Mkoa wa Morogoro. Mbunge wa Liwale Faith Mitambo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Pia Liwale ni jimbo la uchaguzi linaloongozwa na Mbunge Faith Mitambo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM). Siku...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Tikitimaji; tunda lenye virutubisho lukuki

TIKITIMAJI ni kati ya tunda linaloonekana kupendwa na watu wengi katika miaka ya hivi karibuni. Sababu ya kupendwa ni kutokana na utamu wake na maji ambayo yanapatikana kiasi kwamba kama...

 

11 years ago

Mwananchi

Wazaramo: Kabila lenye sherehe lukuki, usipochangia, kushiriki unatengwa

>Tanzania ni nchi iliyojaliwa kuwa na makabila zaidi ya 120, yaliyounganishwa na lugha moja ya taifa ambayo ni Kiswahili. Miongoni mwa makabila hayo ya Tanzania, limo Kabila la Wazaramo, ambalo linapatikana katika mikoa ya Pwani na Dar es Salaam.

 

11 years ago

Mwananchi

Sauti za Busara 2014: Tamasha kubwa Afrika lenye changamoto lukuki

>Unapozungumzia tamasha la Sauti za Busara, unazungumzia tamasha la Bara la Afrika na dunia nzima. Maana yake ni tamasha linalokusanya maelfu ya wageni wanaolishuhudia kila mwaka.

 

11 years ago

GPL

BAGAMOYO JIMBO LA KIHISTORIA LENYE WATU MASKINI

D.k Shukuru Kawambwa. Kilometa 75, Kaskazini mwa Jiji la Dar es Salaam, ndipo unapopatikana mji mkongwe na wa kihistoria wa Bagamoyo ambao ni miongoni mwa miji yenye vivutio vya kipekee duniani, ulioanzishwa karne ya 18, ukiwa pembezoni mwa Bahari ya Hindi. Historia inaonesha kuwa Bagamoyo iliyopo Mkoa wa Pwani ndiyo kilikuwa kituo kikuu cha biashara ya watumwa na bandari ya kwanza katika mwambao wa Afrika Mashariki, achilia...

 

10 years ago

Vijimambo

KINANA ATEMBELEA JIMBO LA KALENGA LENYE HISTORIA YA KIPEKEE DUNIANI


 Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa akiwa amejipanga na machifu wasaidizi kumkaribisha Kinana kutembelea makumbusho ya Chifu Mkwawa katika Kijiji cha Kalenga, Iringa Vijijini wakati wa ziara ya kuimarisha uhai wa chama, kukagua utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2010
 Mrithi wa Chifu Mkwawa, Abdul Adam Mkwawa akitoa historia fupi ya Mkwawa  kwa Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiangalia silaha za jadi zilizotumika...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Madiwani Liwale ‘wamcharukia’ mtendaji

MADIWANI wa Halmashauri ya Wilaya ya Liwale, Lindi wamempa siku 10 Mtendaji wa wilaya hiyo kuhakikisha anachukua hatua za kisheria kwa kamati zinazosimamia miradi. Hatua hiyo imetokana na kuchoshwa na...

 

11 years ago

Mwananchi

Liwale washauriwa kujiunga na Vicoba

Wajasiriamali Wilaya ya Liwale, mkoani Lindi wameaswa kujiunga na Vicoba na kujenga tabia ya kutunza akiba ili kufikia malengo waliojiwekea.

 

11 years ago

Mwananchi

Mbaroni kwa kumnajisi mtoto msikitini Liwale

Mkazi mmoja wa Mtaa wa Mungurumu, wilayani Liwale mkoani Lindi, anashikiliwa na polisi kwa tuhuma ya kumbaka mtoto mwenye umri wa miaka tisa anayesoma darasa la pili katika Shule ya Msingi Kawawa.

 

10 years ago

Mwananchi

Wakulima Liwale kunufaika na mbegu za alizeti, ufuta

Chama cha Kuuza na Kununua Mazao cha Umoja, kilichopo wilayani Liwale, Mkoa wa Lindi kimeanza kutekeleza mradi wa kugawa mbegu za alizeti na ufuta kwa wakulima zaidi ya 700 zenye thamani ya Sh6 milioni.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani