Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lord Barden mabingwa wa kikapu

Timu ya Lord Barden Powel imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mpira wa kikapu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari ya Afrika Mashariki (Feasssa), yaliyofungwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Makongo, Lord Barden fainali Feasssa

Timu ya kikapu ya Makongo na Lord Barden Powell zote za Tanzania zimekata tiketi ya kucheza fainali kwenye mashindano ya shule za sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki (Feasssa) yanayomalizika leo na kufungwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

 

10 years ago

Mwananchi

Lord Barden safi, Kizuka hoi Feasssa

Timu ya kikapu ya Lord Barden imekata tiketi ya kucheza robo fainali ya mpira wa kikapu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa), huku dada zao Kizuka wakihitaji ushindi dhidi ya mabingwa watetezi, St Mary’s Kitende leo.

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria mabingwa kikapu

Timu ya taifa ya Nigeria ya mchezo wa kikapu imetwaa ubingwa wa mpira wa kikapu barani Afrika baada ya kuichapa Angola

 

5 years ago

Daily Times

Lord Voldemort comes to Lahore

Lord Voldemort comes to Lahore  Daily Times'Harry Potter': Why JK Rowling Won't Confirm How Horcruxes are Made  Showbiz Cheat SheetHarry Potter: 10 People Voldemort Killed That The Movies Didn't Show  Screen RantHarry Potter's Daniel Radcliffe Attempts To Answer A Voldemort Question Fans Have Asked For Years  CinemaBlendDaniel Radcliffe Isn't Ruling Out the Possibility of a 20-Year 'Harry Potter' Reunion  Showbiz Cheat SheetView Full coverage on Google...

 

10 years ago

IPPmedia

We are not the same ooh; even the Lord loves variety.


We are not the same ooh; even the Lord loves variety.
IPPmedia
College is this interesting place to be, my favourite learning stage experience so far, a really memorable stage of the learning ladders and in fact a place where some of us came to grow up hehheh... Interesting right? If there's a student who won't admit that ...

 

9 years ago

Bongo5

Lord Eyez aupania mwaka 2016

Lord Eyes

Rapa kutoka Weusi, Lord Eyez ameonesha kuupania mwaka 2016, kuufanya uwe ni mwaka wa kulipa madeni yote anayodaiwa na mashabiki wake waliomkosa kwa kipindi kirefu.

Lord Eyes

Ukimya wake uliosababisha kuwepo na maswali mengi likiwemo la kama ametengana na Weusi ulivunjwa na rapa huyo hivi karibuni alipoweka wazi kuwa bado yupo Weusi.

“Napenda kuwaambia mashabiki zangu kuwa mwaka 2016 ni mwaka wangu sasa kufanya kweli, kwani ukimya wangu umeendana na kupika kazi mpya na mpaka sasa nimeshafanya kazi...

 

10 years ago

BBCSwahili

Siridhishwi na Justin Gatlin:Lord Cole

Lord Coe amesema haridhishwi na uteuzi wa Justin Gatlin kuwa miongoni mwa wachezaji hao 10.

 

10 years ago

BBCSwahili

Lord Coe kuwania Urais IAAF

Sebastian Coe ametangaza kuwania Urais katika shirkisho la riadha la International Association of Athletics Federations (IAAF)

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani