Nigeria mabingwa kikapu
Timu ya taifa ya Nigeria ya mchezo wa kikapu imetwaa ubingwa wa mpira wa kikapu barani Afrika baada ya kuichapa Angola
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi01 Sep
Lord Barden mabingwa wa kikapu
10 years ago
BBCSwahili31 Aug
Nigeria mabingwa wa Afrika mchezo wa vikapu
9 years ago
Bongo509 Nov
Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.
Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.
Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.
Mshambuliajia Victor Osimhen...
11 years ago
Mwananchi10 Apr
Kikapu wawili hao Marekani
11 years ago
BBCSwahili12 Sep
Marekani yatinga fainali kikapu
10 years ago
BBCSwahili08 Oct
Mashindano ya mpira wa kikapu yaendelea
11 years ago
Mwananchi15 Dec
Kikapu wataja timu ya Taifa
11 years ago
Tanzania Daima15 Dec
18 wateuliwa timu ya taifa kikapu
SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...