Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria mabingwa kikapu

Timu ya taifa ya Nigeria ya mchezo wa kikapu imetwaa ubingwa wa mpira wa kikapu barani Afrika baada ya kuichapa Angola

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

Lord Barden mabingwa wa kikapu

Timu ya Lord Barden Powel imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mpira wa kikapu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari ya Afrika Mashariki (Feasssa), yaliyofungwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

BBCSwahili

Nigeria mabingwa wa Afrika mchezo wa vikapu

Nigeria imeishinda Angola 74-65 katika fainali ya mashindano ya Afrobasket na kujinyakulia taji la kwanza kwenye mashindano hayo

 

9 years ago

Bongo5

Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana

Nigeria 3

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

2731461_full-lnd

Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

2731456_big-lnd

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Nigeria 3

Mshambuliajia Victor Osimhen...

 

11 years ago

Mwananchi

Kikapu wawili hao Marekani

Wachezaji wawili kati ya watatu wa mpira wa kikapu wanatarajia kuondoka leo kwenda kwenye majaribio katika Chuo cha Post University, Marekani.

 

11 years ago

BBCSwahili

Marekani yatinga fainali kikapu

Marekani imetinga fainali kombe la dunia mpira wa kikapu kwa kuichapa Lithuania vikapu 96-68.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mashindano ya mpira wa kikapu yaendelea

Mashindano ya mpira wa kikapu ya klabu bingwa kutoka kanda ya tano barani Afrika yanaendelea mjini Kigali.

 

11 years ago

Mwananchi

Kikapu wataja timu ya Taifa

Shirikisho la Mpira wa Kikapu Tanzania (TBF) limewaita wachezaji 18 kuunda kikosi cha Timu ya Taifa ya Kikapu.

 

11 years ago

Tanzania Daima

18 wateuliwa timu ya taifa kikapu

SHIRIKISHO la Mpira wa Kikapu (TBF) limeteua makocha wa timu ya taifa itakayoshiriki michuano ya Maadhimisho ya Miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, mapema mwakani. Makocha walioteuliwa ni Evarist Mapunda...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani