Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Nigeria mabingwa wa Afrika mchezo wa vikapu

Nigeria imeishinda Angola 74-65 katika fainali ya mashindano ya Afrobasket na kujinyakulia taji la kwanza kwenye mashindano hayo

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

Dar mabingwa mchezo wa vishale "Darts" Taifa

Machezaji wa vishale(Darts) wa klabu ya Friedz ya Tiptop Manzese jijini Dar es Salaam wakiwa wameshika kikombe mara baada ya kuibuka mabingwa katika fainali za mashindano ya mchezo huo yaliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.Friendz walizawadiwa Kikombe na Pesa taslimu Shilingi 100,000/=. Bingwa wa mchezaji mmoja mmoja (Singles) wa mchezo wa Vishale(Darts), Erry Boates kutoka klabu ya Lugalo akishangilia na kikombe mara baada ya kuibuka bingwa katika mashindano ya...

 

11 years ago

Michuzi

Timu ya watoto wa mtaani kutoka Tanzania iliyoibuka mabingwa wa dunia katika mchezo wa soka yapokewa kishujaa

Afisa Mawasiliano Serikalini wa Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bw. Frank Shija akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wachezaji wa timu ya watoto wa mitaani    Mwenyekiti wa Timu ya watoto wa mitaani ya jijini Mwanza Alfat Mansoor (Dogo) akizungumza na waandishi wa habari mara baada ya timu hiyo kuwasili uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jana jijini Dar es Salaam.  Mchezaji aliyesabibisha timu ya watoto wa mitaani kutoka Tanzania kuibuka mabingwa wa Dunia...

 

9 years ago

BBCSwahili

Nigeria mabingwa kikapu

Timu ya taifa ya Nigeria ya mchezo wa kikapu imetwaa ubingwa wa mpira wa kikapu barani Afrika baada ya kuichapa Angola

 

9 years ago

BBCSwahili

Tp Mazembe mabingwa wa Afrika

Klabu ya soka ya TP Mazembe, ya Jamuhuri ya Kidemocrasia ya Congo imeutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Afrika.

 

9 years ago

Bongo5

Nigeria mabingwa wa dunia kombe la vijana

Nigeria 3

Timu ya taifa ya vijana ya Nigeria, Golden Eaglets chini ya miaka 17 imetwaa ubingwa wa kombe la dunia kwa vijana.

2731461_full-lnd

Nigeria iliwafunga Mali katika mchezo wa fainali kwa mabao 2-0 ambapo goli la kwanza lilifungwa na mshambuliaji Victor Osimhen na Funsho Ibrahim Bamgboye akiongeza bao la pili na la ushindi.

2731456_big-lnd

Kikosi cha cha vijana cha Nigeria kimeweza kutetea ubingwa wake baada ya kutwaa taji hilo la dunia la vijana mwaka 2013 walipoishinda Meixco kwa mabao 3-0.

Nigeria 3

Mshambuliajia Victor Osimhen...

 

9 years ago

Habarileo

Etoile mabingwa Shirikisho Afrika

TIMU ya Tunisia ya Etoile Du Sahel juzi iliifunga Orlando Pirates 1-0 ya Afrika Kusini katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho na kutwaa taji hilo kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast mabingwa wa Afrika

Ivory Coast imenyakuwa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Al Ahly ni mabingwa wa Afrika wa Voliboli

Al Ahly ilishinda bingwa mtetezi Esperance ya Tunisia seti 3-1 katika mechi ya fainali ya mashindano ya voliboli ya klabu bingwa Afrika

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika

Mabingwa wa afrika katika mchezo wa Soka Nigeria walifungwa bao moja na Sudan katika mechi ya kufuzu kwa dimba la bara Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani