Etoile mabingwa Shirikisho Afrika
TIMU ya Tunisia ya Etoile Du Sahel juzi iliifunga Orlando Pirates 1-0 ya Afrika Kusini katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho na kutwaa taji hilo kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Yanga kuivaa Etoile Afrika
![](http://shaffihdauda.co.tz/wp-content/uploads/2015/03/msuva-yanga.jpg)
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Yanga, itacheza dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika hatua ya 16-Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika.
Yanga itaikabili Etoile baada ya miamba hao wa Tunisia kulazimisha sare ya 1-1 ugenini Angola dhidi ya Benfica jana na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 katika mechi yao ya kwanza.
Yanga watacheza dhidi ya...
10 years ago
Habarileo21 Nov
Marais kujadili Shirikisho la Afrika Mashariki
MKUTANO wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), utafanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Nairobi, Kenya ambapo pamoja na mambo mengine utajadili hatua iliyofikiwa ya uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki.
11 years ago
GPLAZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA
TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .
11 years ago
GPLJENGO LA SHIRIKISHO LA AFRIKA MASHARIKI KIJIJINI NAMANGA
Huu ni muonekano wa ofisi za Shirikisho la Afrika Mashariki kwa upande wa Tanzania. Jengo hili liko mpakani mwa Tanzania na Kenya Katika kijiji cha Namanga Wilaya ya Longido Mkoani Arusha. ( Picha na: Gabriel Ng’osha na Shani…
10 years ago
Mwananchi13 Feb
KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly
>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya BDF XI ya Botswana.
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Tp Mazembe mabingwa wa Afrika
Klabu ya soka ya TP Mazembe, ya Jamuhuri ya Kidemocrasia ya Congo imeutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Afrika.
10 years ago
Michuzi21 Aug
10 years ago
BBCSwahili09 Feb
Ivory Coast mabingwa wa Afrika
Ivory Coast imenyakuwa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015.
10 years ago
BBCSwahili12 Oct
Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika
Mabingwa wa afrika katika mchezo wa Soka Nigeria walifungwa bao moja na Sudan katika mechi ya kufuzu kwa dimba la bara Afrika.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania