Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Etoile mabingwa Shirikisho Afrika

TIMU ya Tunisia ya Etoile Du Sahel juzi iliifunga Orlando Pirates 1-0 ya Afrika Kusini katika mchezo wa fainali ya Kombe la Shirikisho na kutwaa taji hilo kwa ushindi wa jumla ya mabao 2-1.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Yanga kuivaa Etoile Afrika

Mechi ya Yanga SC na Platnum FC iliyochezewa uwanja wa Taifa Dar
Wawakilishi pekee wa Tanzania katika mashindano ya kimataifa, timu ya Yanga, itacheza dhidi ya Etoile du Sahel ya Tunisia katika hatua ya 16-Bora ya Kombe la Shirikisho Afrika, imefahamika.

Yanga itaikabili Etoile baada ya miamba hao wa Tunisia kulazimisha sare ya 1-1 ugenini Angola dhidi ya Benfica jana na hivyo kusonga mbele kwa jumla ya mabao 2-1 kufuatia ushindi wa 1-0 katika mechi yao ya kwanza.

Yanga watacheza dhidi ya...

 

10 years ago

Habarileo

Marais kujadili Shirikisho la Afrika Mashariki

MKUTANO wa 16 wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), utafanyika mwishoni mwa mwezi huu jijini Nairobi, Kenya ambapo pamoja na mambo mengine utajadili hatua iliyofikiwa ya uanzishwaji wa Shirikisho la Kisiasa la Afrika Mashariki.

 

11 years ago

GPL

AZAM YAONDOLEWA KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA

TIMU ya Azam FC imeondolewa katika Michuano ya Kombe la Shirikisho Afrika baada ya kufungwa mabao 2-0 na Ferroviario de Beira ya Msumbuji. Kwa matokeo hayo, Azam imeondolewa kwa mabao 2-1 baada ya mechi ya kwanza iliyopigwa Chamazi, Dar kushinda bao 1-0 .

 

11 years ago

GPL

JENGO LA SHIRIKISHO LA AFRIKA MASHARIKI KIJIJINI NAMANGA

Huu ni muonekano wa ofisi za Shirikisho la Afrika Mashariki kwa upande wa Tanzania.  Jengo hili liko mpakani mwa Tanzania na Kenya Katika kijiji cha Namanga Wilaya ya Longido Mkoani Arusha. ( Picha na: Gabriel Ng’osha na Shani…

 

10 years ago

Mwananchi

KOMBE LA SHIRIKISHO AFRIKA: Yanga kutumia mbinu za Al-Ahly

>Kocha wa Yanga, Hans Pluijm amesema kikosi chake kipo tayari kwa vita na kuahidi kucheza soka la kushambulia muda wote dhidi ya  BDF XI ya Botswana.

 

9 years ago

BBCSwahili

Tp Mazembe mabingwa wa Afrika

Klabu ya soka ya TP Mazembe, ya Jamuhuri ya Kidemocrasia ya Congo imeutwaa ubingwa wa klabu bingwa barani Afrika.

 

10 years ago

BBCSwahili

Ivory Coast mabingwa wa Afrika

Ivory Coast imenyakuwa ubingwa wa Kombe la Mataifa ya Afrika mwaka 2015.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sudan yawaibisha mabingwa wa Afrika

Mabingwa wa afrika katika mchezo wa Soka Nigeria walifungwa bao moja na Sudan katika mechi ya kufuzu kwa dimba la bara Afrika.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani