Kikapu wawili hao Marekani
Wachezaji wawili kati ya watatu wa mpira wa kikapu wanatarajia kuondoka leo kwenda kwenye majaribio katika Chuo cha Post University, Marekani.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili12 Sep
Marekani yatinga fainali kikapu
10 years ago
BBCSwahili21 Dec
Polisi wawili wauawa Marekani
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Wanajeshi wawili wa Marekani wauawa Jordan
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s72-c/unnamed%2B(10).jpg)
ajali yaua watu wawili na kujeruhi wawili mkoani lindi
![](http://4.bp.blogspot.com/-Cligph6jib0/VDzQz8fMwXI/AAAAAAAGqbM/8Vi_SHP7uwM/s1600/unnamed%2B(10).jpg)
Kamanda Mzinga aliwataja waliokufa...
10 years ago
Bongo Movies04 Dec
DUNIANI WAWILI WAWILI:Huyu Hapa Hana Hata Undugu na Wema Sepetu
Ule usemi wa duniani watu wawili wawili umedhiiika kwa muigizaji wa bongo movies,Wema Sepetu.Je hii ni kweli?.Hebu kutana na huyu mwanadada anaetumiajina la TUERNY kwenye mtandao wa INSTAGRAM.Kizuri zaidi wema mwenye anamfahamu hii nikutokana na moja kati ya marafiki wa Wema Ku-comment kwenye picha ya dada huyu akidai kuwa dada huyu anafanana na Wema na dadae Wema Ku-reply kwa kuonyesha kuwa anamfahamu na anamuita mke mweza.....Hebuzicheki picha zake hizi na kisha useme kama kunaumuhimu wa...
10 years ago
Mwananchi06 Dec
Bahanuzi, Omega hao Ndanda
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/KtF8hZpsH-1W0g6VF*osoRI*1huINF0SBL9-8ZXKmtlX-cHNwuxoCkvw54bKb1yu79akm4RuPxCLq*vmwlotUUDFcd1VIjUK/juma_kaseja.jpg?width=640)
Kaseja: Waleteni hao Simba SC
10 years ago
Mtanzania18 May
Busungu, Mandawa hao wakaribia Simba
Na Judith Peter, Dar es Salaam
WASHAMBULIAJI wawili, Rashid Mandawa na Malimi Busungu, wanakaribia kutua ndani ya timu ya Simba kwa ajili ya msimu ujao wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara.
Mandawa (Kagera Sugar) na Busungu (Mgambo JKT) ni moja ya washambuliaji wazawa waliofanya vizuri ligi kuu msimu uliopita, Mandawa akicheka na nyavu mara 10, huku straika mwenzake huyo akifunga nane.
Chanzo cha ndani ya Simba kililipasha MTANZANIA jana kuwa mazungumzo yao na wawili hao yamefikia sehemu...
9 years ago
Mtanzania30 Nov
Kili Stars chapa hao Wahabeshi
NA MWANDISHI WETU
TIMU ya Taifa ya Tanzania Bara, ‘Kilimanjaro Stars’ leo saa 10.00 jioni itakuwa ikisaka nafasi ya kuingia nusu fainali ya Kombe la Kagame pale itakapovaana na wenyeji Ethiopia kwenye mchezo wa robo fainali.
Huo utakuwa ni mchezo wa pili kwa pande hizo mbili kukutana ndani ya siku tatu baada ya juzi kuvaana katika mechi ya hatua ya makundi wakitoka Kundi A na Ethiopia kulazimisha sare ya bao 1-1.
Bao la Kili Stars lilifungwa na winga machachari Simon Msuva huku Ethiopia...