Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Makongo, Lord Barden fainali Feasssa

Timu ya kikapu ya Makongo na Lord Barden Powell zote za Tanzania zimekata tiketi ya kucheza fainali kwenye mashindano ya shule za sekondari za Jumuiya ya Afrika Mashariki (Feasssa) yanayomalizika leo na kufungwa na Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Lord Barden safi, Kizuka hoi Feasssa

Timu ya kikapu ya Lord Barden imekata tiketi ya kucheza robo fainali ya mpira wa kikapu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa), huku dada zao Kizuka wakihitaji ushindi dhidi ya mabingwa watetezi, St Mary’s Kitende leo.

 

10 years ago

Mwananchi

Lord Barden mabingwa wa kikapu

Timu ya Lord Barden Powel imetawazwa kuwa bingwa mpya wa mpira wa kikapu kwenye mashindano ya Shule za Sekondari ya Afrika Mashariki (Feasssa), yaliyofungwa jana kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

 

10 years ago

Mwananchi

Makongo yafanya mauaji Feasssa

Timu ya netiboli ya Makongo imekuwa timu ya kwanza kufunga magoli mengi kwenye mashindano ya Shule za Sekondari Afrika Mashariki (Feasssa), baada ya kuicharaza bila huruma LCC Islamique ya Burundi magoli 107-4.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mchujo FEASSSA kuanza Agosti 10

MCHUJO wa kufuzu ushiriki wa michuano ya Shule za Sekondari za Afrika Mashariki (FEASSSA) unatarajiwa kuanza Agosti 10 katika viwanja vya Shule ya Sekondari Makongo, jijini Dar es Salaam. Kwa...

 

10 years ago

Mwananchi

Kikwete mgeni rasmi Feasssa

Rais Jakaya Kikwete anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa).

 

10 years ago

Michuzi

Mashindano ya FEASSSA yaanza kutimua vumbi

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe akitoa hotuba kwa niaba ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wakati wa uzinduzi wa mashindano ya Michezo ya shule za Sekondari za Afrika Mashariki yajulikanayo kama FEASSSA (Federation of East Africa Secondary Schools Sports Association), jana katika Uwanja wa Taifa Jijini Dar es Salaam. Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu, (Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa) Mhe. Hawa Ghasia akiwakaribisha wanamichezo...

 

10 years ago

Mwananchi

Tanzania yatamba kung’ara Feasssa

Wakati pazia la michuano ya 13 ya Shirikisho la Shule za Sekondari Afrika Mashariki na Kati (Feasssa) likifunguliwa asubuhi hii, makocha wa timu za Tanzania wamewatoa hofu mashabiki wakisema wamejipanga kubakisha ubingwa nyumbani.

 

11 years ago

Daily News

Six killed, 12 others injured in Makongo accident


Six killed, 12 others injured in Makongo accident
Daily News
AT LEAST six people died and twelve others were seriously injured following an accident that involved two commuter buses 'daladalas ' at Makongo area along Bagamoyo Road in Dar es Salaam on Saturday. Confirming the accident, the Kinondoni Regional ...

 

10 years ago

Daily News

Makongo resident arrested over sodomy allegations


Makongo resident arrested over sodomy allegations
Daily News
POLICE in Coast region are holding a resident of Makongo Juu in Dar es Salaam region Msose Michael (35), for allegedly sodomizing two girls aged 12 and 16 years on Friday. Coast region Acting Police Commander Mr Athumani Mwambalaswa said on ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani