LOWASSA KATIKA UBORA WAKE, MJINI DODOMA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_LQt5PMSZrU/VfM4ukqbnBI/AAAAAAAABtU/4QahYtzw2w8/s72-c/OTH_1198.jpg)
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa, akinadi sera zake kwa umati wa wakazi wa Mji wa Dodoma waliokuwa wamefurika kwa wingi kwenye Uwanja wa Barafu, Mjini humo leo Septemba 11, 2015, ikiwa ni sehemu ya muendelezo wa Mikutano yake ya Kampeni za Uchaguzi Mkuu, unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.PICHA NA OTHMAN MICHUZI, DODOMA
Mgombea Urais wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh....
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-8DltHaidhJA/Vd_F8CNpjYI/AAAAAAAAyCY/907U3EMwmys/s72-c/DSC_0880.jpg)
MAMA SAMIA KATIKA UBORA WAKE KATIKA MAJIMBO YA MONDULI NA LONGIDO MKOANI ARUSHA
![](http://2.bp.blogspot.com/-8DltHaidhJA/Vd_F8CNpjYI/AAAAAAAAyCY/907U3EMwmys/s640/DSC_0880.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-DP5BZ3NexLI/Vd_GSlhcTKI/AAAAAAAAyC4/LBGmVAYvIYI/s640/DSC_0924.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-DLbznLJV8O4/Vd_XWH7dwUI/AAAAAAAAyF4/3HsOAN5aQGQ/s640/maji.jpg)
10 years ago
GPLGAZETI LA UWAZI MIZENGWE KATIKA UBORA WAKE
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/G-0527-9_xY/default.jpg)
9 years ago
Dewji Blog02 Sep
Magufuli katika ubora wake Mkoani Mtwara jioni ya leo
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia chama cha Mapinduzi
Dkt John Pombe Magufuli,akiwahutubia wananchi wa mji wa Mtwara
waliojitokeza kwa wingi kumsikiliza kwenye mkutano wa kampeni
unaoendelea jioni hii katika uwanja wa Mashujaa.Wakazi wa mji wa Mtwara wakiwa wamejitokeza kwa wingi kwenye mkutano wa
hadhara wa kampeni za CCM,unaofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa
CCM,wakimsikiliza mgombea Urais wa chama hicho Dkt John Pombe Magufuli.
Picha ya juu na chini wafuasi wa...
9 years ago
Vijimambo![](http://img.youtube.com/vi/I8WK1WGyX-k/default.jpg)
MAMA SAMIA AONYESHA UBORA WAKE KATIKA KAMPENI JIMBO LA MBOZI, MBEYA
![](http://4.bp.blogspot.com/-IXfuZ0dVpXs/ViO_OY1itFI/AAAAAAAA0pQ/f91SPAmNKNI/s640/DSC_1453.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-OgDhyayfxvI/ViPAVG4TbqI/AAAAAAAA0ps/FIYW4IZAvpA/s640/DSC_0006.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-XgmVf_4MAYA/ViPASOs3bTI/AAAAAAAA0pk/Xnnwn7d29RE/s640/DSC_0009.jpg)
10 years ago
MichuziMh. Lowassa akipiga tizi mjini dodoma leo
10 years ago
Dewji Blog19 May
Pinda ateta na Lowassa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Waziri Mkuu, Mstaafu, Edward Lowassa kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Mei 19, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
10 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/FXkFLUV2MHg/default.jpg)
LOWASSA ARUDISHA FOMU LEO MJINI DODOMA, ATEMA CHECHE KWA WANAOMTUHUMU
WAZIRI Mkuu Mstafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Mh. Edward Lowassa, amerejesha fomu za kuomba kuteuliwa kuwania kiti cha Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 25, mwaka huu.
Mh. Lowassa ambaye alikuwa amesindikizwa na Wenyeviti wa CCM wa mikoa 12 kutoka bara na visiwani, aliwasili makao makuu ya chama hicho mjini Dodoma majira ya saa 8:30 mchana wa leo Julai 1, 2015, na kupokewa na Naibu Katibu Mkuu wa CCM (Tanzania Bara), Rajabu...
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-DnF2HuD2N6s/VZuqkU8-GTI/AAAAAAAAgp8/sbVR7JhJHHo/s72-c/1.jpg)
TAREHE 11 JULAI CCM KUMTANGAZA MGOMBEA WAKE MJINI DODOMA
![](http://3.bp.blogspot.com/-DnF2HuD2N6s/VZuqkU8-GTI/AAAAAAAAgp8/sbVR7JhJHHo/s640/1.jpg)
“Leo tarehe 7 mwezi wa saba tunaanza vikao vya mchakato wa mkutano mkuu wa taifa wa CCM ambao unnategemewa pamoja na mambo mengine utapitisha ilani ya uchaguzi ya mwaka 2015-20 20 lakini pia utateua mgombea wa urais wa jamhuri ya muungano wa tanzania kupitia CCM, na pia kutakuwa na kikao cha halmashauri kuu ambacho...