LOWASSA, MAGUFULI SILAHA ZA MWISHO
![](http://api.ning.com:80/files/TxtLZ0aSbwxnHmbntZcL51LblXcnpZ-RAp8oQqONKxgzvRbVKLpwRPZUXFii81m7qCVa14vpL6RlFepHhVSWN907t1pQbII9/hiyomagufuli.png?width=650)
John Pombe Magufuli akiwa kwenye mkutano wa Kampeni. Mwandishi wetu WAGOMBEA wawili vinara katika uchaguzi mkuu ujao, John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Ngoyai Lowassa wa Chadema, anayewakilisha umoja wa vyama vinavyounda Ukawa, sasa A silaha zao za mwisho ikiwa ni takriban wiki tatu kabla ya tukio hilo kubwa, Ijumaa linaripoti. Duru za kisiasa kutoka kambi zote mbili zinasema, huu ni wakati wa kubadili...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/roXUastOvhTPSnWyE7-f2J-OSsprF-oLxud2K7z3cyerOjyhgHqU6KoUuLKwFvygqO5VQ6MQjocNKo1grAMC-okTXmHZZ9Pp/Mangufuliz.jpg)
UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!
10 years ago
Mwananchi28 Feb
Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe
10 years ago
Mwananchi28 Jul
UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?
10 years ago
Mwananchi13 Jul
Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha
9 years ago
Habarileo12 Nov
Magufuli kuishangilia Stars mwanzo mwisho
RAIS wa Awamu ya Tano nchini, Dk John Magufuli anatarajiwa kuwa mmoja wa mashabiki watakaoipa nguvu timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia Urusi 2018 dhidi ya Algeria kwenye Uwanja wa Taifa keshokutwa Jumamosi.
9 years ago
Dewji Blog20 Oct
LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD
Mh.Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho katika geneza liloweka mwili wa Shujaa wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi katika viwanja vya karimjee jijini Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.
Mke wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja vya karimjee Oct 20,2015.
Mh.Mmbowe Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF Selestine Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili...
9 years ago
MillardAyo26 Dec
Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha)
Rais John Pombe Magufuli aliagiza December 9 2015 iwe siku ya usafi nchi nzima, na agizo likatekelezwa kama ilivyoagizwa. Lakini viongozi wa ngazi mbalimbali wengine walijipangia kwamba kila baada ya muda fulani ufanyike usafi kwenye maeneo mbalimbali… mmoja wa walioagiza hivyo ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Thabit Mwambungu nae aliagiza kwamba usafi ufanyike mara […]
The post Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha) appeared first on...
10 years ago
Raia Tanzania13 Aug
Dk. Magufuli, Lowassa 50/50
ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.
Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.
Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...
9 years ago
Raia Mwema14 Oct
Ni Lowassa au Magufuli?
USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali
Mwandishi Wetu