Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LOWASSA, MAGUFULI SILAHA ZA MWISHO

John Pombe Magufuli akiwa kwenye mkutano wa Kampeni. Mwandishi wetu WAGOMBEA wawili vinara katika uchaguzi mkuu ujao, John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Ngoyai Lowassa wa Chadema, anayewakilisha umoja wa vyama vinavyounda Ukawa, sasa A silaha zao za mwisho ikiwa ni takriban wiki tatu kabla ya tukio hilo kubwa, Ijumaa linaripoti. Duru za kisiasa kutoka kambi zote mbili zinasema, huu ni wakati wa kubadili...

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

GPL

UCHAGUZI 2015: MAGUFULI, LOWASSA MWISHO WA UBISHI!

Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM). Mwandishi Wetu Hatimaye zile mbio za Kampeni za Uchaguzi Mkuu 2015 zilizoanza Agosti 23, mwaka huu, leo zinafikia tamati ambapo wagombea wawili wenye msisimko wa aina yake, Dk. John Pombe Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Ngoyai Lowassa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), wanafunga kazi katika Majiji ya Mwanza na Dar. MAGUFULI MWANZA Baada ya… ...

 

10 years ago

Mwananchi

Pumzi ya mwisho Lowassa, Membe

Wakati makada wa CCM wakivuta pumzi ya mwisho kwa matarajio ya kuondolewa kifungo cha miezi 12 ili wajitose rasmi kuwania urais, Kamati Kuu ya chama hicho inakutana leo kukiwa na habari kuwa itatumia muda mwingi kujadili mwelekeo wa mchakato wa Kura ya Maoni na badala wa wanachama hao sita.

 

10 years ago

Mwananchi

UCHAMBUZI: Lowassa, mwanzo au mwisho wa ndoto zake?

>Jioni ya Januari 25, 1965 wakati Waingereza walipomzika Waziri Mkuu wao maarufu wa zamani, Winston Churchill katika makaburi ya St Martin’s Church, Bladon eneo la Oxford ilimaanisha kuwa Waingereza walikuwa wanamzika mmoja wa wanasiasa wazuri waliowahi kutoa tafsiri nzuri ya neno siasa.

 

10 years ago

Mwananchi

Watu wenye silaha wavamia kituo cha polisi Dar, waua, waiba silaha

>Watu wenye silaha wamevamia kituo cha polisi cha Staki Shari jijini Dar es Salaam ambapo katika tukio hilo, watu saba wameripotiwa kuuawa, huku silaha zilizokuwepo katika kituo hicho zikiibwa.

 

9 years ago

Habarileo

Magufuli kuishangilia Stars mwanzo mwisho

RAIS wa Awamu ya Tano nchini, Dk John Magufuli anatarajiwa kuwa mmoja wa mashabiki watakaoipa nguvu timu ya soka ya taifa ya Tanzania `Taifa Stars’ katika mchezo wa kuwania kufuzu Kombe la Dunia Urusi 2018 dhidi ya Algeria kwenye Uwanja wa Taifa keshokutwa Jumamosi.

 

9 years ago

Dewji Blog

LOWASSA Aongoza wananchi kutoa heshima za mwisho za marehemu Dkt.Emmauel John Makaidi aliyekuwa Mwenyekiti chama cha NLD

msiba lows

Mh.Edward Lowassa akitoa heshima za mwisho katika geneza liloweka mwili wa Shujaa wa Mabadiliko Dkt.Emmanuel Mkaidi  katika viwanja vya karimjee jijini Dar -es- Salaam leo Oct 20,2015.

regina

Mke wa Mh.Edward Lowassa Mma Regina akisalimi na mjane wa Dkt Mkaidi katika msiba wa aliyekuwa Mwenyekiti wa Dkt. Emmanuel Makaidi katika viwanja vya karimjee Oct 20,2015.

msiba mbowe

Mh.Mmbowe Mwenyekiti wa Chadema wakisalimiana na katibu mkuu wa TFF  Selestine Mwesigwa mara baada ya kutoa heshma za mwisho wa pili...

 

9 years ago

MillardAyo

Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha)

Rais John Pombe Magufuli aliagiza December 9 2015 iwe siku ya usafi nchi nzima, na agizo likatekelezwa kama ilivyoagizwa. Lakini viongozi wa ngazi mbalimbali wengine walijipangia kwamba kila baada ya muda fulani ufanyike usafi kwenye maeneo mbalimbali… mmoja wa walioagiza hivyo ni Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Said Thabit Mwambungu nae aliagiza kwamba usafi ufanyike mara […]

The post Agizo la Rais Magufuli linatiliwa mkazo, Songea leo ni usafi tu mwanzo mwisho.. (+Picha) appeared first on...

 

10 years ago

Raia Tanzania

Dk. Magufuli, Lowassa 50/50

ZIKIWA zimesalia siku 72 kabla ya kufanyika kwa Uchaguzi Mkuu mwaka huu, baadhi ya wachambuzi wa masuala ya siasa nchini wanaamini kuwa hadi sasa hakuna mgombea mwenye uhakika wa ushindi wa moja kwa moja.

Wagombea wawili, Dk. John Magufuli wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Edward Lowassa wa Chadema ndio wanaotarajiwa kuwa na ushindani mkubwa.

Akizungumzia uchaguzi huo, Mwenyekiti wa Jukwaa la Katiba Tanzania (Jukata), Deus Kibamba, aliliambia Raia Tanzania kuwa uchaguzi wa mwaka huu...

 

9 years ago

Raia Mwema

Ni Lowassa au Magufuli?

USHINDANI Mkali katika uchaguzi wa mwaka huu unamfanya mtu atake kujua kama Baba wa Taifa, Mwali

Mwandishi Wetu

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani