Lowassa vs Magufuli:Yupi ni ‘shetani nafuu’ tumpe kura?
PAPA Francis – Kiongozi wa Kanisa Katoliki duniani aliwahi kusema hivi: “This is me, a sinner on
Mwandishi Wetu
Raia Mwema
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi01 Jul
Kura tumpe mgombea, dalali, chama au ilani?
9 years ago
Vijimambo15 Oct
MAKADIRIO YA AHADI 10 KUBWA ZILIZOTOLEWA NA MAGUFULI NA LOWASSA KWA WAPIGA KURA
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/JE-15Oct2015.png)
Kadiri inavyoonekana, ahadi hizo zikitekelezwa kwa asilimia 100, zitafanya muujiza kwa kuibadili Tanzania kutoka katika hali duni ya upatikanaji wa...
9 years ago
Habarileo02 Oct
Lowassa aahidi kuanzisha benki ya mikopo nafuu
MGOMBEA urais kwa tiketi ya Chadema anayeungwa mkono na vyama vya CUF, NCCR-Mageuzi na NLD, Edward Lowassa amesema akiteuliwa kuwa rais ataanzisha benki ya maendeleo kwa ajili ya kutoa mikopo kwa wananchi wa kipato cha chini.
9 years ago
Raia Mwema07 Nov
Jinsi wapiga kura wa vijijjini ‘walivyomwibia’ Lowassa kura
Hatimaye uchaguzi umemalizika!
Kitila Mkumbo
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://4.bp.blogspot.com/-au3Cp1u7Xqo/Vi0CI8mQlMI/AAAAAAAAW-g/vC3Sq13nhn0/s72-c/2X6A0449.jpg)
9 years ago
Vijimambo08 Sep
Lowassa: Kwanini kura hazitaibiwa.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Lowassa-8Sept2015.jpg)
Lowassa anayewakilisha pia muungano wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) vya NCCR-Mageuzi, NLD na Chama cha Wananchi (CUF), amesema ana imani kubwa kwamba katika uchaguzi mkuu mwaka huu, hakutakuwa na hila zozote za kuiba kura kwa...
9 years ago
Mtanzania31 Aug
Lowassa: Nahitaji kura milioni 10 tu
NA MAREGESI PAUL, IRINGA
MGOMBEA urais wa Ukawa kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amesema anahitaji kura milioni 10.2 aweze kushinda uchaguzi mkuu.
Kutokana na hali hiyo amewataka Watanzania wajitokeze kwa wingi kupiga kura Oktoba 25 mwaka huu na watakapomaliza kumpiga kura, wawe tayari kuzilinda zisiibwe na Chama Cha Mapinduzi.
Lowassa aliyasema hayo mjini hapa jana alipohutubia maelfu ya wakazi wa Mji wa Iringa katika Uwanja wa Gangilonga.
“Mwaka huu...
9 years ago
Mtanzania20 Oct
Lowassa: Msimpe kura Dk. Mwakyembe
FREDY AZZAH, KYELA
MGOMBEA Urais wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Edward Lowassa, amepata mapokezi makubwa jimboni kwa hasimu wake kisiasa, Dk. Harrison Mwakyembe.
Wakati akihutuhubia mkutano wa hadhara katika Uwanja wa Takoshiri jimboni humo jana, Lowassa aliwataka wananchi wa jimboni hilo wamwadhibu Dk. Mwakyembe kwa kumchagua mgombea ubunge wa Chadema anayewakilisha Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Abraham Mwanyamaki.
“Nawashukuru sana kwa mapenzi yenu, naomba mapenzi...
9 years ago
Habarileo16 Sep
Lowassa ahimiza wafuasi wampigie kura
MGOMBEA wa urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema haitoshi kwa watu kuendelea kufurika katika mikutano yake pasipo kutia nia ya kumpigia kura ili aweze kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.