Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


‘BONGO ALL STARS’ WAFANYA MAKAMUZI BUSINESS PARK, DAR

Baadhi ya wasanii waliokuwa wakiunda kundi la East Coast, Gwamaka Kaihura  GK na Mwana FA wakikamua. Shetta akipagawisha jukwaani na baadhi ya warembo waliohamasika na wimbo wake wa ‘Shikorobo’ na kuamua kuungana naye jukwaani. Chege na Temba wakionyesha uwezo wao.…

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Bongo Movies

Wanamuziki wa Bongo Wafanya Semina

WASANII wa bongo

Baadhi ya Wanamziki Wakiwa Kwenye Semina

Wanamuziki wa Bongo flava, Dansi na Taarab leo wanafanya semina ya kujadili juu ya ubora wa kazi zao za muziki (mastering) ili uweze kufanana na miziki mingine ya nje ya Tanzania, mdau mkubwa wa muziki Bongo Babu Tale alifungua semina hiyo kwa kuongelea suala hilo kwa undani zaidi juu ya Wanamuziki wa Bongo kujijenga vizuri ili ngoma wanazozitoa ziwezwe kupenyaa kila kona ya dunia kutokana na kiwango kufanana na miziki mingine, hivyo semina hii ni...

 

10 years ago

GPL

RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR

RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki watakaopiga shoo katika Usiku wa Fiesta 2014 ndani ya Viwanja vya Leaders jijini Dar es Salaam. T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu. Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man:...

 

11 years ago

GPL

JOSE CHAMELEONE AFANYA MAKAMUZI MAISHA CLUB DAR

Msanii mkubwa wa Uganda, Joseph Mayanja 'Dr Jose Chameleone' akitoa burudani usiku wa kuamkia leo Maisha Club jijini Dar. ...Burudani ikiendelea ndani ya Maisha Club.…

 

10 years ago

Vijimambo

RAPPA T.I KUFANYA MAKAMUZI FIESTA 2014 JIJINI DAR NI SHIIIIIIIIIDA



T.I atafanya makamuzi pamoja na wakali wengine watakaokuwa kwenye listi ya kutoa burudani Oktoba 18, mwaka huu.Staa huyo mwenye albamu nane ambazo ni I'm Serious, Trap Muzik, Urban Legend, King, T.I. vs. T.I.P., Paper Trail, No Mercy na Trouble Man: Heavy Is the Head ambapo nyingi kati yake zimefanya vizuri sana katika soko la muziki.
T.I ameshinda tuzo tatu za Grammy tangu aanze safari yake ya muziki. 
Baadhi…
RAPPA kutoka nchini Marekani, Clifford Joseph Harris,'T.I' ni mmoja wa wanamuziki...

 

11 years ago

GPL

MAFIKIZOLO KUTUA LEO JIJINI DAR, KUFANYA MAKAMUZI KESHO MLIMANI CITY

Kundi maarufu la muziki wa Kwaito la nchini Afrika Kusini, Mafikizolo linatarajia kutua mchana huu jijini Dar es Salaam kwa ajili ya onesho moja tu linalotarajia kufanyika katika ukumbi wa Mlimani City, kesho, Jumamosi Aprili 5 mwaka huu. Mafikizolo imekuwa na rekodi nzuri ya kushinda kwenye tuzo mbalimbali za muziki, kutokana na kupiga muziki na kucheza kwa umahiri, hasa mtindo wao maarufu wa Kwaito. Kundi hilo linaloundwa na...

 

10 years ago

Michuzi

MALAWI WAFANYA MAZOEZI CCM KIRUMBA LEO, TAYARI KUKUTANA NA TAIFA STARS KESHO JUMAPILI


Na Faustine Ruta, Mwanza.Timu ya Taifa ya Malawi (The Flames) pichani leo jioni imefanya mazoezi ya mwisho tayari kwa kuwakabili Wenyeji wao Tanzania Timu ya (Taifa Stars) mchezo utakaochezwa kesho jumapili saa 10.30 jioni katika Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza.
Wakibadilishana Mawazo wakati Wachezaji wa Malawi wanajifua mara ya mwisho kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jioni ya leo.
Tiketi za mchezo tayari zimeshaanza kuuzwa katika vituo vya Uwanja wa Nyamagana na uwanja wa CCM Kirumba kwa...

 

11 years ago

Michuzi

WINDHOEK WAFANYA KWELI SHEREHE YA KUTIMIZA MIAKA 3 YA BONGO MOVIE KATIKA UKUMBI WA EAST 24 MWISHONI MWA WIKI

 Mwenyekiti wa Bongo Movie akitoa maneno kwa wageni waalikwa pamoja na wasanii wa bongo movie na muziki nchini waliohudhuria sherehe hiyo iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika ukumbi wa East 24.  Keki ikikatwa kama ishara ya kumbukumbu ya kuzaliwa kwa Bongo Movie ikiwa imetimiza miaka 3  Rich Rich akilishwa keki na Mwenyekiti. Mwenyekiti wa Makampuni yaliyo chini ya Proin Group Of Companies, Bw Johnson Lukaza akipokea cheti cha kuthaminiwa kutoka kwa Mwenyekiti wa Bongo Movie kama...

 

9 years ago

TheCitizen

YOUR BUSINESS IS OUR BUSINESS : Study shows there’s good business in human waste!

Today is World Toilet Day… Cheers! The banner ‘Toilets save lives’ might sound mundane, far-fetched... Or, at best: a smart-alecky trader’s way of drawing attention to toilet-related ware be fobbed off upon unwary prospective customers…! 

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani