Lubuva amshangaa Mbowe
Na Veronica Romwald, Dar es Salaam
MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi la vijana kubaki vituoni ili kulinda kura.
Kauli hiyo ya Lubuva ambayo aliitoa Dar es Salaam jana wakati akizungumza na waandishi wa habari inaonekana kumjibu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe.
Akihutubia mkutano wa kampeni jijini Dar es...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mzalendo Zanzibar03 Oct
Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura
Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]
The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.
11 years ago
Mwananchi03 Jul
Mbowe amshangaa Pinda kuhusu Ukawa
11 years ago
Mwananchi22 May
DC amshangaa Mwenyekiti CCM
10 years ago
GPL
JINI KABULA AMSHANGAA BUSHOKE!
10 years ago
Bongo Movies21 Jul
Diamond Amjibu Jokate, Amshangaa Kwakutoa Pongezi
Mkali wa ngoma ya Nana,ambaye amenyakua tuzo ya MTV MAMA kama Mtumbuizaji Bora wa Afrika,Diamond Platnamz amemjibu mwanamitindo Jokate Mwegelo baada kuandika ‘status’ kwenye akaunti ya Instagram yake na kumpongeza msanii huyo kunyakua tuzo na kusema mbona hakumsapoti kwa kumpost kwenye akaunti yake kabla ya kutwaa tuzo hiyo.
Akizungumza na XXL ya Clouds Fm,Diamond alisema kuwa baada ya kuambiwa alichopost Jokate kumjibu Diamond baada ya kupost video ikimuonyesha mwanamitindo huyo akicheza...
5 years ago
Michuzi
DC IKUNGI AMSHANGAA MEMBE KWA TAMKO LAKE


Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi, Noverty Kibaji, akizungumzia mchakato wa kumdhamini anayeomba ridhaa ya kugombea urais mwaka huu kupitia chama hicho Rais Dk. John Magufuli.

11 years ago
GPL
LUCY KOMBA AMSHANGAA AUNT KUISHI MBALI NA MUMEWE
10 years ago
TheCitizen25 Mar
CHALLENGE: It's tough job: Lubuva