Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DC IKUNGI AMSHANGAA MEMBE KWA TAMKO LAKE


 Mkuu wa Wilaya ya Ikungi, Edward Mpogolo, akijaza fomu jana za kumdhamini  Rais Dk.John Magufuli anayeomba ridhaa ya chama chake kugombea urais mwaka huu. Kulia ni ,Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi, Noverty Kibaji.
Katibu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi, Noverty Kibaji, akizungumzia mchakato wa kumdhamini anayeomba ridhaa ya  kugombea urais mwaka huu kupitia chama hicho Rais Dk. John Magufuli. Wana CCM wakijaza fomu za kumdhamini mgombea wao. Kulia ni Katibu...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

GPL

VURUGU ZA AFRIKA KUSINI, WAZIRI MEMBE ATOA TAMKO

Na Denis Mtima / GPL WAZIRI wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mhe. Bernard Membe (pichani) ametoa tamko kuhusiana na Watanzania waliopo nchini Afrika Kusini. Waziri Membe amesema Watanzania 21 watarejeshwa nchini kutokana na vurugu zinazoendelea za wenyeji kuwashambulia wageni huko Afrika Kusini. Aidha, Membe ameongeza kuwa Watanzania watatu wamefariki kwa maradhi lakini si kuuawa katika vurugu hizo, hivyo hakuna mtu...

 

9 years ago

Michuzi

SERIKALI YASEMA TAMKO LAKE LA TIBA ASILI NA MBADALA LIKO PALEPALE

Na Magreth  Kinabo- MAELEZO
Serikali imesema kwamba tamko lake lilitolewa hivi karibuni kuhusu matangazo ya Tiba Asili na Tiba Mbadala palepale kwa kuwa lengo lake ni kuboresha huduma hiyo. Hivyo kama  kuna mtoa huduma ambaye amekwazika na tangazo hilo ipo tayari kuzungumza naye.
Kauli hiyo imetolewa leo na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu wakati akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tamko hilo kwenye ukumbi wa mikutano wa wizara hiyo jijini Dar...

 

10 years ago

Mzalendo Zanzibar

Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura

Mwenyekiti wa Tume Damian Lubuva Saturday, October 3, 2015 MWENYEKITI wa Tume ya Taifa Uchaguzi nchini Jaji Mstaafu Damian Lubuva, ameeleza kushangazwa na kauli zinazotolewa na baadhi ya vyama vya siasa wakiwahamasisha wafuasi wao hasa kundi […]

The post Mwenyekiti wa Tume Ya Uchaguzi Jaji Mstaafu Damian Lubuva Amshangaa MBOWE Kwa Kuhamasisha Vijana Kubaki Vituoni Kulinda Kura appeared first on Mzalendo.net.

 

11 years ago

Dewji Blog

Rais aagiza kufunguliwa kwa mgodi wa dhahabu wa Mattany Ikungi

DSC01539

Rais wa Shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina, akizungumza na wachimbaji madini wa machimbo ya dhahabu kijiji cha Mhintiri tarafa ya Ihanja wilaya ya Ikungi .Rais Bina pamoja na mambo mengine, aliagiza kufunguliwa kwa mgodi wa dhahabu unaomilikiwa na Mattany Khalifa uliofungwa baada ya kuvamiwa na wachimbaji wadogo.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

RAIS wa shirikisho la wachimba madini Tanzania, John Bina, ameagiza kufunguliwa mara moja kwa mgodi wa dhahabu wa Mattany Ikungi na kuonya...

 

5 years ago

Michuzi

IKUNGI YATEMBEA NA FALSAFA YA RAIS JPM KWA ASILIMIA 100

Mkuu wa Mkoa wa Singida Dk. Rehema Nchimbi mwenye miwani akizungumza na akina mama wafanya biashara ya viazi lishe wa Kitongoji cha Kideka kijiji cha Nkunikana kuhusu kuchukua tahadhari ya kujikinga na Corona-Covid 19,Pichaini kulia Mkuu wa Wilaya ya Ikungi Edward Mpogolo kushoto Mkurugenzi Mtendaji Justice Kijazi


Mkuu wa Mkoa wa Singida Dkt. Rehema Nchimbi(mwenye miwani) akitoa maelekezo ya namna bora ya kufanya kazi katika kikundi kwa wakikundi cha Jitume Vijana chenye vijana...

 

11 years ago

Dewji Blog

MNEC Ikungi awataka viongozi wa dini kukemea maovu kwa vijana

DSC00613

Mjumbe wa halmashauri kuu (NEC) CCM taifa wilaya ya Ikungi, Jonathan Njau, akizungumza na viongozi wa makanisa ya Free Pentekoste, KKKT na Roman katoliki kijiji cha Kipumbuiko muda mfupi kabla ya kuwakabidhi msaada wa mifuko 60 kwa ajili ya ujenzi, uboreshaji wa majengo ya makanisa yao.

Na Nathaniel Limu, Ikungi

VIONGOZI wa madhehebu ya dini jimbo la Singida mashariki mkoa wa Singida, wameombwa kuwaelimisha na kuwahimiza vijana kuishi maisha mema na ya uadilifu, ili kupunguza kasi ya...

 

5 years ago

Michuzi

DC IKUNGI ATOA MAAGIZO MAZITO YA UGONJWA WA CORONA KWA MAAFISA AFYA


Mkuu wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo,  akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Mpugizi Kata ya Mwaru wilayani humo. 
Na Dotto Mwaibale.
MKUU wa Wilaya ya Ikungi mkoani Singida, Edward Mpogolo amewaagiza maafisa Afya wa wilaya hiyo kupita kwenye maeneo yenye muingiliano wa kila siku wa watu, minadani na maegesho ya malori yaendayo nje ya nchi na yaingiayo nchini kukagua hatua za tahadhari za maambukizi ya ugonjwa  wa Corona.
Mpogolo alitoa maagizo hayo jana wakati akufungua...

 

5 years ago

Michuzi

CCM IKUNGI CHATOA KARIPIO KWA WANAOJIPITISHA PITISHA KUTOA RUSHWA ILI WACHAGULIWE

Na Jumbe Ismailly IKUNGI
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) Wilaya ya Ikungi,Mkoani Singida
kimekamilisha zoezi la kutoa mafunzo kwa viongozi wa serikali za
vijiji,mitaa na vitongoji waliochaguliwa katika uchaguzi wa serikali
za mitaa na kutoa karipio kali kwa baadhi ya watu wanaotarajia
kugombea nafasi mbali mbali za uongozi kwenye uchaguzi mkuu ujao
walioanza kujipitisha pitisha na kutoa rushwa kwamba majina yao
hayatasita kukatwa.

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Ikungi,Bwana...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani