Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lucy Ngowi

SHIRIKA la Kimataifa la Uhamiaji limeadhimisha Siku ya Kimataifa ya Ukimwi kwa kuzungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi Muhimbili (Muhas) kwa kutoa elimu ya Ukimwi.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MBUNGE LUCY OWENYA AKABIDHI JEZI KWA TIMU ZILIZOFUZU ROBO FAINALI YA LUCY OWENYA CUP 2015

Dkt Fidelis Owenya akikabidhi jezi kwa vilabu nane vilivyo fuzu kucheza hatua ya robo fainali katika mashindano ya kombe la Mbunge lijulikanalo kama Lucy Owenya Cup 2015 yanayofanyika katika jimbo la Moshi vijijini.Baadhi ya iongozi wa timu zilizofuzu hatua ya robo fainali wakifunga jezi zao mara baada ya kukabidhiwa kwa ajili ya hatua ya robo fainali. Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.
PICHA ZAIDI BOFYA HAPA

 

11 years ago

Vijimambo

Patrick Ngowi Won AABLA

Mtanzania Patrick Ngowi ameshinda award ya AABLA (mfanyabiashara kijana wa mwaka 2014) jijini Nairobi nchini Kenya 

 

11 years ago

Michuzi

Elihuruma Ngowi joins Serengeti Breweries Ltd

Mr. Elihuruma Ngowi has joined Serengeti Breweries Ltd. as Brand Manager with a profound experience in Customer Care, Marketing and Sales after having spent over eight (8) years at Vodacom Tanzania Ltd.
At Vodacom, he worked in various departments from Customer Care to Marketing and finally with Sales & Distribution Department where he held key positions, most notably as Product Marketing Manager, Devices & Alternative Channels Manager and Franchise Operations Manager respectively. He is also...

 

9 years ago

Mtanzania

DIAMOND,Ngowi ndani ya Tuzo za TFAA

diamondNA CHRISTOPHER MSEKENA

BAADA A ya kutwaa tuzo tatu za AFRIMA wikiendi iliyopita, Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ pamoja na Patrick Ngowi wametajwa kuwania Tuzo za The Future Awards Africa (TFAA) zinazohusu vijana wenye umri kuanzia 18-31 waliofanya vizuri kwenye nyanja tofauti.

Katika tuzo hizo Diamond ameingia kama msanii wa muziki aliyefanya vizuri kwa mwaka huu na Patrick Ngowi ameingia kwenye tuzo hizo kama mjasiriamali wa masuala ya nishati ya jua.

Wabongo hao wanaungana na nyota...

 

10 years ago

Bongo5

Sheria Ngowi afiwa na mama yake mzazi

Mbunifu wa mavazi wa kimataifa, Sheria Ngowi amefiwa na mama yake mzazi. “It is with deep sadness that I announce the passing of my beloved mother, Mary Thomas Ngowi,” ameandika Sheria. “She was an incredible soul who made countless sacrifices so that I could become the man – and now Sheria Ngowi– I am today,” […]

 

5 years ago

Michuzi

Introducing Nchi Yangu Tanzania by Lillian Ngowi


issamichuzi · Nchi yangu Tanzania by Lillian Ngowi

 

10 years ago

Dewji Blog

Sheria Ngowi awataka wanamitindo wanaochipukia nchini kujitambua

ndo sheria

Sheria Ngowi pembeni yake ni Aj Mynah ambae ni Mkurugenzi wa Black Fox Model Afrika na anaefuata ni Ednda Ndebalema wa Ndibs Makeup wakizungumza na wanamitindo hao katika mafunzo yaliyoandaliwa na Black Fox katika klabu ya Paparaz iliyopo Sleep Way Masaki.

IMG_6577

Sheria Ngowi akiwafunda somo wanamitindo.

IMG_6596

IMG_6560

Wakapata nafasi ya kupiga nae picha.

IMG_6550

Wakiwa kwenye picha ya pamoja.

Na Evance Ng’ingo

WANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili...

 

10 years ago

Michuzi

Wanamitindo wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua - Sheria Ngowi



Na Evance Ng'ingoWANAMITINDO wanaochipukia nchini wametakiwa kujitambua pamoja na kuwa na mikakati ya kujitangaza zaidi ili kupata soko la ndani na nje ya nchi.
Wito huo ulitolewa jana na Mwanamitindo mahiri wa mavazi nchini Sheria Ngowi wakati akizungumza na Wanamitindo kutoka kampuni ya Black Fox Model Africa.
Ngowi pamoja na mtaalamu wa urembaji Edna Ndibarema wa kampuni ya Ndiba Style walialikwa na Mkurugenzi wa Kampuni hiyo, ya Black Fox Model Africa, Aj Mynah kuzungumzia fursa zilizopo...

 

9 years ago

Mwananchi

SHERIA NGOWI : Nitaisaidia Serikali kupunguza tatizo la ajira

Ni nembo iliyojizolea umaarufu mkubwa duniani. Imewahi kuvaliwa na watu maarufu wakiwamo Rais Jakaya Kikwete pamoja na rais Edgar Lungu wa Zambia, si ajabu kusikia nembo hii ikivalisha mawaziri na hata Rais mpya wa nchi hii.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani