Lugola kushawishi wananchi wasiichague CCM 2015
Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola.
Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema atawashawishi wananchi wasikichague Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba mwaka huu ikiwa serikali haitatekeleza miradi ya kupekeleka maji katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara na hasa jimboni kwake.
Lugola aliyasema hayo jana, wakati akichangia mjadala kuhusu taarifa ya utekelezaji ya Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira na ile ya Kilimo, Mifugo na Maji baada ya...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog01 Sep
UVCCM washauriwa kushawishi wenzao kukipa ushindi CCM
Katibu wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Haji Machano Juma akisisitiza jambo katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea Uchaguzi Mkuu iliyofanyika Uroa Kusini Unguja. Kulia kwake ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu ya Taifa NEC Khamis Ali, Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya hiyo Mbarouk Mrakib, na Mlezi wa kundi maalum na Mbunge wa Vijana Tauhida Galos. (Picha na Faki Mjaka-Maelezo Zanzibar).
Mwenyekiti wa UVCCM Wilaya ya Mfenesini Mbarouk Mrakib akitoa mada yake katika Semina elekezi kwa Vijana kuelekea...
11 years ago
Mwananchi11 May
Lugola: Serikali ya CCM inaendeshwa kisanii
9 years ago
Vijimambo28 Sep
COMRADE MWIGULU NCHEMBA SASA AINGIA MANYARA,WANANCHI WAFURIKA KUIUNGA MKONO CCM UCHAGUZI MKUU 2015
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xaf1/v/t1.0-9/12043106_430199550515612_2776231540165560381_n.jpg?oh=8af372d05f66de2b05cd3408696594ff&oe=56A26AFE)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xpa1/v/t1.0-9/12039614_889236764463482_8155304396541486319_n.jpg?oh=0a223245c9e52dfa638cec812350dd84&oe=56A881D7)
![](https://scontent-mrs1-1.xx.fbcdn.net/hphotos-xfp1/v/t1.0-9/11049607_430199623848938_2305083269899712315_n.jpg?oh=42259c196beed29722404ebb62f9e2d0&oe=568F62A3)
9 years ago
Vijimambo22 Sep
CCM ndio chama kinachopendwa zaidi na wananchi Takwimu zinaonyesha kwamba wananchi hawaelewi nafasi rasmi ya Ukawa
![](http://dar24.com/wp-content/uploads/2015/09/Lowassa-vs-Magufuli.jpg)
Chadema ni chama cha pili kinachopendwa kushinda vyama vingine vya...
9 years ago
Vijimambo09 Sep
TSUNAMI YA CCM LEO MKOANI TANGA,WANANCHI WANAIMANI KUBWA NA CCM NA WANAAMINI MAGUFULI NI CHAGUO SAHIHI
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/11988502_424692677732966_6064218054379201055_n.jpg?oh=ee9f25ea0f5c902e8effeba4888ffc2e&oe=565D104E)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xlp1/v/t1.0-9/12003985_424692727732961_1793569102632477343_n.jpg?oh=351993483d0fafa4a4ebdcd32bc152b8&oe=56A6EE3C)
![](https://scontent.xx.fbcdn.net/hphotos-xpf1/v/t1.0-9/12004959_424692757732958_8936487882388301917_n.jpg?oh=28eee986159be896b3ed880ee77025be&oe=56AA1741)
10 years ago
Mwananchi24 Mar
Makundi kushawishi wagombea yapingwa
9 years ago
Mwananchi15 Nov
SAIKOLOJIA : Je, unazijua mbinu za kushawishi?
11 years ago
Tanzania Daima28 Jun
Wanavikoba wahamasishwa kushawishi wenzao wajiunge
RAIS wa Vikoba Endelevu Tanzania, Devota Likokola, amewataka wanachama wa vikundi vya vikoba kuwahamasisha wananchi kujiunga ili kuondokana na utegemezi kwenye familia zao. Likokola alitoa wito huo hivi karibuni, wakati...