Lugola: Serikali ya CCM inaendeshwa kisanii
Mbunge machachari wa Mwibara, Alphaxard Kangi Lugola, amedai kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo yeye ni mbunge wake, inaendeshwa kisanii.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Serikali tatu haziepukiki — Lugola
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kangi Lugola, amesema mfumo wa serikali tatu hauepukiki kwa kuwa Serikali ya Zanzibar tayari imekwisha kuvunja Katiba. Mjumbe huyo akizungumza na gazeti hili mjini...
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Lugola: Kukubali serikali tatu ni kukwepa unafiki
11 years ago
Tanzania Daima12 Dec
Lugola ataka serikali ianzishe wizara maalumu ya walimu
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameitaka serikali kuanzisha wizara maalumu kwa ajili ya kushughulikia masuala ya walimu. Akiuliza swali bungeni jana kwa niaba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Esther...
10 years ago
Vijimambo03 Feb
Lugola kushawishi wananchi wasiichague CCM 2015
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Kangi-03Feb2015.jpg)
Mbunge wa Mwibara (CCM), Kangi Lugola amesema atawashawishi wananchi wasikichague Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika nchini Oktoba mwaka huu ikiwa serikali haitatekeleza miradi ya kupekeleka maji katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara na hasa jimboni kwake.
Lugola aliyasema hayo jana, wakati akichangia mjadala kuhusu taarifa ya utekelezaji ya Kamati ya Ardhi, Maliasili na Mazingira na ile ya Kilimo, Mifugo na Maji baada ya...
11 years ago
Mwananchi13 Jul
Tume ya Uchaguzi inaendeshwa kwa ‘rimoti’?
11 years ago
Mwananchi13 May
Bajeti za wizara zinaandaliwa kisanii
11 years ago
Mwananchi27 Jun
MAONI: Vita dhidi ya dawa za kulevya ni ya ‘kisanii’
10 years ago
Bongo Movies05 Apr
Mwigizaji Jack Wolper Ashutumiwa Kumsahau Aliyemtoa Kisanii Katika Tasnia ya Filamu Bongo
Ubuyu Mpya Kutoka Instagram kwenye page ya mrekebishatabia kuhusu Mrembo Mwigizaji Wolper Kumsahau aliyemwingiza katika Tasnia ya Filamu:
'HISTORIA: Je unajua aliyemtoa kisanii Jackline Wolper mpaka kupata umaarufu nchini ni nani? Ni mdada mkali wa wa siku nyingi kwenye masuala ya sana Lucy Komba ambaye hivi sasa anaishi na familia yake nchini Denmark.
Alikutana nae kwenye ofisi moja bongo akamuomba namba ya simu walipoachana baada ya kama dk 10 akamuandikia msg anaomba amsaidie kwenye sanaa...
11 years ago
Tanzania Daima25 Jan
Lugola amfyatua JK
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), amemshambulia Mwenyekiti wa chama hicho taifa, Rais Jakaya Kikwete, kuwa chama kitafia mikononi mwake. Lugola, alisema kitendo cha Rais Kikwete kukataa kuwaondoa madarakani mawaziri...