Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lugola: Kukubali serikali tatu ni kukwepa unafiki

>Mjumbe wa Bunge la Katiba Kangi Lugola, ametaja msimamo wake wa kuunga mkono serikali tatu kwamba ni kukwepa unafiki.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali tatu haziepukiki — Lugola

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kangi Lugola, amesema mfumo wa serikali tatu hauepukiki kwa kuwa Serikali ya Zanzibar tayari imekwisha kuvunja Katiba. Mjumbe huyo akizungumza na gazeti hili mjini...

 

11 years ago

Mwananchi

Lugola: Serikali ya CCM inaendeshwa kisanii

Mbunge machachari wa Mwibara, Alphaxard Kangi Lugola, amedai kuwa Serikali ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambayo yeye ni mbunge wake, inaendeshwa kisanii.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola ataka serikali ianzishe wizara maalumu ya walimu

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameitaka serikali kuanzisha wizara maalumu kwa ajili ya kushughulikia masuala ya walimu. Akiuliza swali bungeni jana kwa niaba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Esther...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yatumia makanisa kupinga serikali tatu

SERIKALI imeendelea kuibeza rasimu ya pili ya katiba iliyowasilishwa bungeni na aliyekuwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji mstaafu Joseph Warioba kwa madai kuwa imekuja na hoja ya...

 

11 years ago

Habarileo

‘Ni serikali tatu’

Rais Jakaya Kikwete (kulia) akipokea rasimu ya Katiba Mpya kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba mpya, Jaji Joseph Warioba wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika Dar es Salaam jana. (Picha na Mpigapicha wetu).MUUNDO wa serikali tatu umeendelea kuwa ndani ya Rasimu ya Katiba iliyokabidhiwa jana kwa Rais Jakaya Kikwete kutokana na ambacho Tume ya Mabadiliko ya Katiba imesema ndiyo itakuwa suluhu ya malalamiko juu ya kero za Muungano.

 

11 years ago

Habarileo

‘Tujaribu serikali tatu’

MCHAMBUZI wa masuala ya siasa na Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, Dk Benson Bana, ameshauri Watanzania kujaribu mapendekezo ya Rasimu ya Pili ya Katiba, ya mfumo wa Muungano wa serikali tatu bila hofu na kukabili changamoto zake.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wapinga serikali tatu

KAMATI ya vijana wapenda amani na viongozi wa dini ya Kiislamu wametoa wito kwa vijana kupinga pendekezo la serikali tatu lililomo kwenye rasimu ya pili ya Katiba. Akizungumza na waandishi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

JK apinga serikali tatu

RAIS Jakaya Kikwete amefanya kampeni ya wazi kutetea mfumo wa serikali mbili unaopiganiwa na Chama Cha Mapinduzi (CCM), huku akitumia muda mrefu kujaribu kuonyesha ‘ubaya’ wa mfumo wa serikali tatu....

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi waponda serikali tatu

WASOMI nchini  wamezidi kukataa muundo wa serikali tatu wakidai hauna manufaa kwa Watanzania. Kauli hiyo ilitolewa jijini Dar es Salaam jana na Profesa Bonaventure Rutinwa  wa  Chuo Kikuu cha Dar...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani