Lugola ataka serikali ianzishe wizara maalumu ya walimu
MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameitaka serikali kuanzisha wizara maalumu kwa ajili ya kushughulikia masuala ya walimu. Akiuliza swali bungeni jana kwa niaba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Esther...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo12 Dec
Mbunge ataka Wizara Maalumu kwa walimu
MBUNGE wa Viti Maalumu, Ester Bulaya (CCM), ameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuunda Wizara Maalum itakayoshughulikia masuala ya walimu, kuliko ilivyo sasa ambapo walimu hawana wizara yao maalum. Katika swali lake la nyongeza Bulaya alitaka kujua ni kwanini hadi sasa Serikali haijaona umuhimu wa kufanya hivyo.
5 years ago
CCM BlogMBUNGE KISHIMBA ATAKA SERIKALI IANZISHE CHUO CHA WIZI
Mbunge wa Kahama Mjini kupitia CCM Jumanne Kishimba, ameiomba Serikali ifungue chuo cha wizi kwa kuwa matukio ya wizi katika sekta za umma na Halmashauri nyingi umeshamiri kwa kiasi kikubwa na kwamba chuo hicho kitasaidia wale watu wanaoenda kuchunguza wezi, kuzijua mbinu zao na kuwabaini.Hayo ameyabainisha Jijini Dodoma wakati wa mkutano wa 19, kikao cha 39, wakati wa uchangiaji wa hoja ya Kamati ya Kudumu ya Huduma za Serikali za Mitaa, na kueleza kuwa ni vyema chuo hicho kikawekwa japo...
11 years ago
Tanzania Daima03 Mar
Diwani ataka serikali iongeze walimu
BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Kagera, limeiomba serikali kujizatiti zaidi kuzalisha walimu wengi hapa nchini ili kukuza sekta hiyo muhimu. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na...
11 years ago
Tanzania Daima29 Mar
Serikali tatu haziepukiki — Lugola
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Kangi Lugola, amesema mfumo wa serikali tatu hauepukiki kwa kuwa Serikali ya Zanzibar tayari imekwisha kuvunja Katiba. Mjumbe huyo akizungumza na gazeti hili mjini...
11 years ago
Mwananchi11 May
Lugola: Serikali ya CCM inaendeshwa kisanii
11 years ago
Mwananchi04 Apr
Lugola: Kukubali serikali tatu ni kukwepa unafiki
10 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
10 years ago
Vijimambo06 Oct
Polisi wachana bango la walimu linalohoji posho Bunge Maalumu
Bukoba. Maandamano ya walimu kuingia katika Uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba kuadhimisha Siku ya Walimu Duniani, jana yalipata mtafaruku baada ya polisi kuyaingilia na kuchana bango mojawapo lililohoji posho za wajumbe wa Bunge la Katiba.Bango hilo la kitambaa cheupe lilikuwa na maandishi yanayohoji posho ya Sh300,000...
11 years ago
Habarileo07 May
Mbunge ataka ahadi za Rais kutengewa mfuko maalumu
MBUNGE wa Viti Maalumu, Martha Mlata (CCM) ametaka ahadi za Rais zitengewe mfuko maalumu ili ziweze kutekelezeka kwa wakati.