Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Diwani ataka serikali iongeze walimu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Kagera, limeiomba serikali kujizatiti zaidi kuzalisha walimu wengi hapa nchini ili kukuza sekta hiyo muhimu. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Lugola ataka serikali ianzishe wizara maalumu ya walimu

MBUNGE wa Mwibara, Kangi Lugola (CCM), ameitaka serikali kuanzisha wizara maalumu kwa ajili ya kushughulikia masuala ya walimu. Akiuliza swali bungeni jana kwa niaba ya Mbunge wa Viti Maalumu, Esther...

 

11 years ago

Tanzania Daima

TAS: Serikali iongeze huduma saratani ya ngozi

CHAMA cha watu wenye ulemavu wa ngozi (TAS) kimeitaka serikali kuongeza vituo vya afya vitakavyokuwa vinatoa huduma ya saratani ya ngozi. Ombi hilo lilitolewa jijini Dar es Salaam jana na...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge aitaka serikali iongeze kasi kuwasaka wauaji wa albino.

Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymaa Kwegyir (pichani), ameapa kufa akipambana kuwatetea watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kuiomba serikali kuongeza kasi ya kuwasaka na kuwafikisha mahakamani watu wanaojihusisha na vitendo vya utekaji na mauaji hayo.

Alitoa ahadi hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kazi za Jamii iliyofanyika katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Profesa Hubert Hairuki (HKMU) jijini Dar es Salaam jana.

Alisema ipo haja ya kuweka sheria kali hata ikibidi wauaji wa...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani Tarime ataka eneo la maziko

DIWANI wa Nyamisangura, Thobias Ghati (CHADEMA), ameitaka Halmashauri ya Mji wa Tarime, mkoani Mara kutatua kero ya ukosefu wa eneo la kuzikia na kusababisha maiti zaidi ya moja kuzikwa katika...

 

11 years ago

Habarileo

Mbunge ataka Wizara Maalumu kwa walimu

MBUNGE wa Viti Maalumu, Ester Bulaya (CCM), ameiomba Serikali iangalie uwezekano wa kuunda Wizara Maalum itakayoshughulikia masuala ya walimu, kuliko ilivyo sasa ambapo walimu hawana wizara yao maalum. Katika swali lake la nyongeza Bulaya alitaka kujua ni kwanini hadi sasa Serikali haijaona umuhimu wa kufanya hivyo.

 

11 years ago

Habarileo

Kawambwa ataka tatizo la walimu litatuliwe nchini

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru KawambwaWAZIRI wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Dk Shukuru Kawambwa amesema ili kuboresha elimu nchini lazima tatizo la upungufu wa walimu litatuliwe.

 

10 years ago

Habarileo

Oluoch ataka Tume ya Utumishi wa Walimu katiba mpya

MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Ezekiah Oluoch ameshawishi wajumbe wenzake kuhakikisha Tume ya Utumishi wa Walimu, inaundwa na inatambuliwa na Katiba mpya.

 

10 years ago

Habarileo

Diwani wa Chadema apongeza serikali

DIWANI wa Kata ya Kilagano Halmashauri ya Wilaya ya Songea Vijijini (Chadema), Batholomew Mkwera, amepongeza serikali kwa kumaliza kero mbalimbali katika kata yake.

 

9 years ago

Habarileo

Diwani wa Chadema atangaza kushirikiana na serikali

DIWANI wa kata ya Dodoma Makuru Mjini hapa, Pascal Matula (Chadema) amesema yupo tayari kushirikiana na Serikali inayoingia madarakani ili kuwaletea wananchi maendeleo. Akizungumza na waandishi wa habari jana, Matula alisema kutotoa ushirikiano ni kuikataa serikali wakati nao wamechaguliwa na wananchi kwa kupigiwa kura.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani