Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


TAS: Serikali iongeze huduma saratani ya ngozi

CHAMA cha watu wenye ulemavu wa ngozi (TAS) kimeitaka serikali kuongeza vituo vya afya vitakavyokuwa vinatoa huduma ya saratani ya ngozi. Ombi hilo lilitolewa jijini Dar es Salaam jana na...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Mwananchi

AFYA YA NGOZI: Saratani ya ngozi aina ya Melanoma ni hatari kiasi gani?

>Tangu tuanze kuichambua mada hii ya maradhi ya saratani ya ngozi, tumeangazia mambo mbalimbali ikiwamo saratani ni nini, aina za saratani, makundi ya watu yanayoathiriwa zaidi na saratani hii ya ngozi.

 

11 years ago

Michuzi

Rais Kikwete azindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiwahutubia wananchi wakati akizindua huduma za uchunguzi wa saratani ya mlango wa kizazi na saratani ya matiti Mkoani Tabora, katika uwanja wa Chipukizi mkoani humo. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na baadhi ya akina mama wa Tabora. Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akimpongeza Dkt. Joseph Komwihangiro, Mkurugenzi wa Marie Stopes kwa kuwa mstari wa mbele katika huduma na elimu za mzazi wa mpango Jumamosi Mei 7, 2014 wakati akizindua ...

 

11 years ago

GPL

UGONJWA WA SARATANI YA NGOZI (MELANOMA)-2

WIKI iliyopita tulieleza jinsi ugonjwa huu unavyomuingia mtu na matatizo yake.
 Tulieleza dalili lakini nyingine ni tezi za mwili za kwenye makwapa na kwenye nyonga huvimba, mgonjwa atatokwa na uvimbe kwenye ngozi, atapoteza uzito kwa kasi bila kujua sababu, atapata kikohozi kisichoisha, atapoteza fahamu au kupata kifafa,  ataumwa kichwa. TIBA
Kuna tiba nyingi za kitabibu, zilizogawanyika katika makundi mbalimbali....

 

10 years ago

BBCSwahili

Saratani ya ngozi: Tishio Uingereza

Uingereza imetajwa kuwa katika hatari zaidi ya kukabiliwa na ugonjwa wa saratani ya ngozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Diwani ataka serikali iongeze walimu

BARAZA la Madiwani la Halmashauri ya Wilaya ya Muleba, Kagera, limeiomba serikali kujizatiti zaidi kuzalisha walimu wengi hapa nchini ili kukuza sekta hiyo muhimu. Kauli hiyo imetolewa hivi karibuni na...

 

10 years ago

Habarileo

Albino vijijini hatarini kupata saratani ya ngozi

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino) wanaoishi vijijini, wana hatari ya kupata magonjwa ya saratani ya ngozi, kutokana na kutokuwa na elimu ya afya bora na utunzaji wa ngozi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wadau wasaidie Albino kupatiwa matibabu saratani ya ngozi

WATU wenye ulemavu wa ngozi (albino), wamekuwa wakisumbuliwa na maradhi ya ngozi hususan saratani ya ngozi. Maradhi hayo hadi sasa, baadhi ya watu huyachukulia kuwa labda hayana tiba, hiyo inatokana...

 

10 years ago

Vijimambo

Mbunge aitaka serikali iongeze kasi kuwasaka wauaji wa albino.

Mbunge wa Viti Maalum, Al Shaymaa Kwegyir (pichani), ameapa kufa akipambana kuwatetea watu wenye ulemavu wa ngozi (albino) kuiomba serikali kuongeza kasi ya kuwasaka na kuwafikisha mahakamani watu wanaojihusisha na vitendo vya utekaji na mauaji hayo.

Alitoa ahadi hiyo wakati wa maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kazi za Jamii iliyofanyika katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Profesa Hubert Hairuki (HKMU) jijini Dar es Salaam jana.

Alisema ipo haja ya kuweka sheria kali hata ikibidi wauaji wa...

 

5 years ago

Michuzi

TAS WAIOMBA SERIKALI KUANGALIA NAMNA YA KUWASAIDIA WATU WENYE UALBINO

  Na Farida Saidy,Morogoro

Chama cha Watu wenye ualbino ( TAS) kimeiomba serikali kuangalia upya sera na  miongozo   katika sekta ya  afya kuwasidia watu wenye ualbino katika upatikanaji wa vifaa kinga  ikiwemo mafuta maalumu ya kujipaka ,kama ilivyo  katika upatikanaji wa dawa za kufumpaza virusi vya Ukimwi ARV zinavyotolewa bure katika vituo vya afya na zahanati.

Kauri hiyo imetolewa mkoani Morogoro na katibu wa  Tas Taifa Musaa Kabimba  katika kliniki ya ngozi  kwa watu wenye ualbino,...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani