Lulu:Sijawahi Kuwa Mweusi, Rangi ya Mtume Nimezaliwa Nayo
Urembo:Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi majuzi alitupia picha yake ya zamani mtandaoni (hiyo hapo juu) ikiwa kama ni “ThrowBackThursday” (TBT) yake, na kuiandikia mameno haya;
“Let me ThrowitBack ,Shikana Mama, Enzi ZaUjana
Sijawahi kuwa mweusi lol..! Rangi Ya Mtume Nimezaliwa Nayo”
Wengi walimsifu na kumpongeza Lulu kwa kuweza kuitunza ngozi yake kwakutupia “comments” na kugonga “likes” za kutosha kwenye picha hiyo, kwani anaonekana kuwa...
Bongo Movies
Habari Zinazoendana
5 years ago
BBCSwahili11 Mar
Ubaguzi wa rangi: ‘Je, Familia yangu itamkubali mpenzi wangu mweusi?’
11 years ago
GPLSIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU
11 years ago
Habarileo31 Jul
Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa
MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.
10 years ago
BBCSwahili16 Jun
Mwanaharakati anayejidai kuwa ''Mweusi''
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/aDRZat70esGfw4s9d60KdCX7aKOpPIvtsRCQkAUNyTz8w-pZJzkxgovsSV9njgyBRj9xU*Mwm93HdgDAHU6S5qc*ja8H4lrv/07lorettalynch.w529.h352.2x.jpg?width=650)
MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/j-DiiE-nbb9BcO3LHbhEFEy2GyK2E5CzlTuUXgwcuvn4gvyhMPM5xmEaszXRb6pppBo0niYfnfgpNePMU9GgG*4AC3kpUidj/luluu.jpg)
LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI
10 years ago
Mwananchi12 Oct
Kuwa wa kisasa kwa kutoka na rangi ya njano
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s72-c/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
TMA yatolea ufafanuzi juu ya taharuki ya hali ya anga kuwa na Rangi mbili
![](https://1.bp.blogspot.com/-5FMyxUrOHSI/XpnamZQWXQI/AAAAAAALnRA/sOMNijfmNVgelm159fUctaOZr8KcjS8oACLcBGAsYHQ/s640/12534693323_d9a2657a41_o.jpg)
KUFUATIA kuwepo kwa taharuki na maswali kutoka kwa Umma juu ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au ya chungwa jana Aprili 16,2020 katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya hewa nchini TMA imetolea ufafanuzi hali hiyo na kusema kuwa ni hali ya kawaida kutokea.
Katika taarifa yake iliyotolewa leo Aprili 17, 2020 imeeleza kuwa, hali hiyo hutokea wakati jua linapozama au kuchomoza katika mazingira yenye kuwa na hali ya hewa kama vile mawingu,...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/n6JmThHrscbbA-PK9cqGaYFdeDNZUaj1m-zKaUcdZ9TNwhNEVAoFx72HfDeq*WQPpoUu0Hy1MtWx4oxjzucPtX87S8DVO62G/CHEKANAKITIME.jpg?width=650)
NIMEZALIWA KWA ZULU NATAL