Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lulu:Sijawahi Kuwa Mweusi, Rangi ya Mtume Nimezaliwa Nayo

Urembo:Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi majuzi alitupia picha yake ya zamani mtandaoni (hiyo hapo juu) ikiwa kama ni “ThrowBackThursday” (TBT) yake, na kuiandikia mameno haya;

“Let me ThrowitBack ,Shikana Mama, Enzi ZaUjana
Sijawahi kuwa mweusi lol..! Rangi Ya Mtume Nimezaliwa Nayo”

Wengi walimsifu na kumpongeza Lulu  kwa kuweza kuitunza ngozi yake kwakutupia “comments” na kugonga “likes” za kutosha kwenye picha hiyo, kwani anaonekana kuwa...

Bongo Movies

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

BBCSwahili

Ubaguzi wa rangi: ‘Je, Familia yangu itamkubali mpenzi wangu mweusi?’

Mapenzi kati ya watu weusi na watu wa asili ya Asia yapo lakini mara zote yanakutana na vipingamizi vingi.

 

11 years ago

GPL

SIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU

Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’. KAMA ilivyo ada mpenzi msomaji wa safu hii ya Kiti cha Moto, wiki iliyopita tulimleta kwenu mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’ ambaye mlimuuliza maswali na leo tumewaletea majibu aliyoyatoa. UNGANA NAYE... Msani wa fiamu Bongo,  Elizabeth...

 

11 years ago

Habarileo

Zitto: Sijawahi kuwa Ukawa

Zitto KabweMBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Kabwe Zitto (Chadema) amesisitiza hajawahi kuwa katika kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wala kundi lolote ndani ya Bunge Maalumu la Katiba isipokuwa, yuko kwenye linalotaka maridhiano.

 

10 years ago

BBCSwahili

Mwanaharakati anayejidai kuwa ''Mweusi''

Wazazi wa mwanaharakati mmoja wa haki za raia nchini Marekani wamesema kuwa anajifanya kuwa mtu mweusi kwa miaka kadhaa sasa.

 

10 years ago

GPL

MWANAMKE MWEUSI ATEULIWA KUWA MWANASHERIA MKUU NCHINI MAREKANI

Loretta Lynch ateuliwa kuwa mwanasheria mkuu nchini Marekani. Ikulu ya white house nchini Marekani inasema kuwa rais Brack Obama amemteua mwendesha mashtaka wa mji wa New York Loretta Lynch kuwa mkuu wa sheria nchini humo.Msemaji wa ikulu ya white house alisema kuwa mkuu huyo mpya wa sheria atateuliwa rasmi leo Jumamosi. Ikiwa uteuzi wake utaidhinishwa na bunge la seneti Loretta Lynch atakuwa mwanamke wa kwanza mwenye asili ya...

 

10 years ago

GPL

LULU AFUNGUKA KUWA HAPENDI KUWA KATIKA UHUSIANO WA MAPENZI

Stori: Imelda Mtema Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ amefunguka kuwa kamwe hapendi kuwa katika uhusiano wa kimapenzi na masharobaro akidai kuwa siku zote ni pasua kichwa ila anazimikia watu wazima waliomzidi sana umri. Staa wa filamu hapa Bongo mwenye mvuto wa kipekee, Elizabeth Michael ‘Lulu’ akipozi.. Akizungumza na mwandishi wa habari hii, Lulu alisema...

 

10 years ago

Mwananchi

Kuwa wa kisasa kwa kutoka na rangi ya njano

Kawaida katika fasheni kama ilivyo fani nyingine, mitindo huenda na kurudi. Hivyo si jambo la ajabu kwa sasa kukuta mitindo iliyofanya vizuri kwenye miaka ya themanini inaonekana kuwa juu kwa sasa.

 

5 years ago

Michuzi

TMA yatolea ufafanuzi juu ya taharuki ya hali ya anga kuwa na Rangi mbili

Na Karama Kenyunko globu ya jamii. 
KUFUATIA kuwepo kwa taharuki na maswali kutoka kwa Umma juu ya muonekano wa anga kuwa na rangi nyekundu au ya chungwa jana Aprili 16,2020 katika baadhi ya maeneo nchini, Mamlaka ya Hali ya hewa nchini TMA imetolea ufafanuzi hali hiyo na kusema kuwa ni hali ya kawaida kutokea.
Katika taarifa yake iliyotolewa leo Aprili 17, 2020 imeeleza kuwa, hali hiyo hutokea wakati jua linapozama au kuchomoza katika mazingira yenye kuwa na hali ya hewa kama vile mawingu,...

 

10 years ago

GPL

NIMEZALIWA KWA ZULU NATAL

Baada ya kuzamia Ulaya jamaa yetu mmoja hatimaye akawa anaishi Uswisi. Lakini maisha yake yalikuwa ya kujifichaficha maana alikuwa hana vibali vya kuishi huko. Washikaji wenzie wakamwambia dawa hapa ni kufanya juu chini aoe mwanamke wa Kiswisi, hapo lazima atapata uraia. Katika sakasaka hatimaye mama mmoja mzeemzee akaingia mkenge na kudhania anapendwa akakubali kuolewa na Mbongo. Mbongo akawa  amejitambulisha  kuwa eti...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani