SIJAWAHI KUTAKA KUMUOA LULU
Mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’. KAMA ilivyo ada mpenzi msomaji wa safu hii ya Kiti cha Moto, wiki iliyopita tulimleta kwenu mwanamuziki wa Bendi ya The African Stars ‘Twanga Pepeta’, Ramadhan Muhoza ‘Pentagon’ ambaye mlimuuliza maswali na leo tumewaletea majibu aliyoyatoa. UNGANA NAYE... Msani wa fiamu Bongo, Elizabeth...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Qvxzmt4uuyVj3grGgyQeFVjJi16doQawmFpuzA8-NgFlQhiP1iQ5B7clDpvCVJPUrkoGtMGV3Jy1n0Hu9SOVyzfTAmoDsMDf/Cheniiii.jpg?width=650)
DK. CHENI AFUNGUKA KUMUOA LULU
10 years ago
Bongo Movies31 Jan
Lulu:Sijawahi Kuwa Mweusi, Rangi ya Mtume Nimezaliwa Nayo
Urembo:Mrembo na mwigizaji wa filamu za kibongo, Diana Elizabeth Michael ‘Lulu’ hivi majuzi alitupia picha yake ya zamani mtandaoni (hiyo hapo juu) ikiwa kama ni “ThrowBackThursday” (TBT) yake, na kuiandikia mameno haya;
“Let me ThrowitBack ,Shikana Mama, Enzi ZaUjana
Sijawahi kuwa mweusi lol..! Rangi Ya Mtume Nimezaliwa Nayo”
Wengi walimsifu na kumpongeza Lulu kwa kuweza kuitunza ngozi yake kwakutupia “comments” na kugonga “likes” za kutosha kwenye picha hiyo, kwani anaonekana kuwa...
10 years ago
Bongo Movies13 Dec
LULU: Mimi ni Mchamungu,Mwenye Matarajio Makubwa Maishani…That’s Lulu
"Mimi ni mcha Mungu, mpenda maendeleo,ni mtu ambae nipo focused,ni mtu ambae nina matarajio makubwa,mtuambae nataka kufika mbali-That’s Lulu "
Muigizaji wa Filamu, Elizabeth Michael “Lulu” aliyasema hayo leo akiwa studio kabla ya kuimbiwa wimbo Dogo Aslay msanii kutoka yamoto Band.
11 years ago
CloudsFM16 Jul
NUH MZUWANDA KUMUOA SHILOLE
Staa wa Bongo Fleva,Nuhu Mzuwanda ameweka wazi mahusiano yake na msanii mwenzake,Zuwena Mohamed’Shilole’kwa wazazi wake na kwamba ana mpango wa kumuoa msanii huyo.
Kwa mujibu wa baba mzazi wa msanii huyo aitwaye Mzee Mlawa amefunguka kwenye U heard na Soudy Brown amesema kuwa mwanaye huyo alimueleza kuwa anataka kumuoa mchumba wake huyo(Shilole).
‘’Mi sina tatizo kama wamependana waache waoane tu nasubiri wajukuu tu’’alisema baba Nuh Mziwanda. Aidha amefunguka kuwa mkwe wake huyo alimuona...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JH0C62scBfAG0ez8zzTpnNzUhrVMIt4vfIGOdDr2k21yzj5cPK2BGDoipZwXitfiIWmaqGdkFAllh1Ys*9dtQAToq3tS8WXJ/jokate.jpg)
JOKATE ASAKA MWANAUME WA KUMUOA
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/zLSzH-96bg*6TxeyvTwbpTzSXOp4o5qVpVd4vKdJEl-QaG6zgD1c9m3cNPY8LWaToTtXkztPDwAhuDyaFG6YXUmTq3Jm0P3M/mchungaji.jpg)
MCHUNGAJI ASHTUA KUMUOA DOGODOGO!
10 years ago
Bongo Movies24 Feb
Manaiki: Sijakata Tamaa Kumuoa Wolper
Mwigizaji wa filamu mwenye mikasa ya aina yake, Manaiki Sanga ‘The Don’ amesema kuwa hajakata tamaa kumuoa msanii mwenzake, Jacqueline Wolper na kwamba bado anaendelea kuwashawishi wazazi wake.
Akiongea na Gazeti la Uwazi, Manaiki aliweka wazi kuwa bado anawashawishi wazazi wake wakubaliane na uchaguzi wake kwakuwa ndiye mtu anayempenda.
“Ni upande mmoja tu wa ndugu zangu ambao wapo kijijini Mbeya na hawamfahamu Walper ila sijakata tamaa na naamini watanielewa tu kwa maaana ndoto yangu...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/wfufAsrgkK-IsEocpntR2klz8v3kCzGyNbpTRYC9bgaWfK1A0AP9p-RJA51hpIWKYvo*tmBeaVyrA5u-Ww2a*35CobnLTveR/ray.jpg?width=650)
RAY: SINA MPANGO WA KUMUOA CHUCHU
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/JHS5fnHuLYk*l598Lp0sfNDra*GH7-TdQtvFYNXZI89G1HKDn0AOiQf2*evw5qRmmWjrWEPSnC4echhksYDlPswdyxGLR7*q/JOHARI.jpg)
JOHARI: RAY HAWEZI KUMUOA CHUCHU